Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Basi angeitaja tu hiyo sehemu.Sijaona tatizo la alichokisema hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi angeitaja tu hiyo sehemu.Sijaona tatizo la alichokisema hapo
Inabidi walio chini yake wawe makini sana na kauli wanazotoa.Hii awamu hawajawahi kuwa na safu inayoonana. Kila mtu na lwake. Mwisho rais anatoa uamuzi unaoacha tahayari au anatumbua alieenda tofauti.
Kuna wakati humu ilisemwa mtu na makamu wake hawaelewani. Hili la mimba ni ushahidi tosha. Laiti kama inafaa kutumbua makamu!!
Na ameonyesha kukerwa sana na wanaotofautiana nae. Huenda waziri wa afya akaenda. Hakuna alietoa kauli tofauti nae akabaki salama. Labda kwa kua huyu alitoa kabla ya mkuu.Inabidi walio chini yake wawe makini sana na kauli wanazotoa.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] big upnaona watetezi wa ushoga mnataka kuandamana maana nyie ndio huwa mnakosea ile sehemu
Hujui unalolisema kwasababu wewe ni mtia mimba.Hapo kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!
Sasa serikali inahusianaje na utoaji mimba?mimba inatolewaje kabla haijapatikana?mmmh kinachofwata kutakuwa na ongezeko kubwa la watoaji mimba.
Hakuna anayekataa tatizo ni lugha ajaribu kutafuta maneno mazuri kufikisha ujumbe wake.japo simkubali sizonje ila hili aliloliongea kuhusu ushoga ni ukweli mtupu hata wanyama hawaingiliani kinyume na maumbile
Mleta mada anazungumzia lugha iliyotumika sio ushoga.naona watetezi wa ushoga mnataka kuandamana maana nyie ndio huwa mnakosea ile sehemu
Kujiendeleza atajiendeleza lakini sio kwa mgngo wa serekali , kama hujamueeza mzee raisHapo kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!
naomba ujijibu mwenyewe, mana majibu yako wazi kabisa.Sasa serikali inahusianaje na utoaji mimba?mimba inatolewaje kabla haijapatikana?
Habari wanaJF,
Leo akiwahutubia wakazi wa Bagamoyo, Mkoani Pwani. Rais Magufuli amesema hakuna Mwanafunzi aliyebeba ujauzito atakayerudi shule katika utawala wake. Akaongeza kuwa hawezi kufanya kazi ya kusomesha wazazi.
" Inaweza kufika kipindi darasa zima linawatoto, Mwalimu akifundisha wao wanatoka nje kwenda kunyonyesha".
Hata kama ni watoto wangu, yani nikupeleke shule alafu upate mimba nikurudishe? Aende akapate mimba aone kama nitamrudisha.
Mimi nimetoa fedha ili mwanafunzi asome bure, halafu leo mtu apate mimba arudi shule? Ndani ya utawala wangu, haitotokea.
Wakati mwingine ukizikiliza hizo NGOs zitakuwa zinalipeleka taifa pabaya. Ndani ya utawala wangu haitotokea. NEVER.
Hizi NGOs kama zinawapenda sana hao watoto zikafungue shule zao za kusomesha wazazi. Serikali haiwezi kuwasomesha.
Hawa wanaotuletea haya mambo hawatupendi ndugu zangu. Wametuletea dawa za kulevya, wameleta ushoga ambao hata ng'ombe hawana.
Huku kuiga iga tutakuja kuiga mambo ambayo hata hayafai. Wanakuja na misaada ambayo ni mali zetu wametuibia.
Nyie wafugaji mmefuga lakini hamjawahi kuona hata mbuzi au nguruwe amekosea huu mchezo. Lakini wao wanataka Watanzania wakosee.
Wakati huo huo, Rais amesema kuwa anawaomba msichukue maeneo ya Magereza, hata mimi nikifungwa siku moja nipate sehemu ya kulima.
Rais Magufuli ametoa eneo la ekari 65 kwa wananchi lililokuwa na mgogoro kati yao na Jeshi la Magereza.
Tumieni akili hata kidogo tu,kwa hiyo mnapromote mimba za utotoni?naomba ujijibu mwenyewe, mana majibu yako wazi kabisa.