Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Huyu mzee kachanganyikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu bila adhabu tulizopewa utotoni pengine tusingekuwa ni watu tuliokuja kuwa na heshima utu uzimani.
Ukiondoa zile cases za binti kubakwa ambazo ni chache, nyingine zote ni zile za msichana au mvulana kwa utashi wao wenyewe kuingia kwenye mapenzi wakiwa mashuleni.
Hawa ni lazima watishwe kwa kuambiwa kwamba wanafanya starehe na wapenzi wao kwa gharama ya kuwa tayari kupoteza nafasi ya elimu bure.
Huwezi kuwa na elimu bure halafu yule anayepewa bure aamue kutoiheshimu kwa kuendekeza umalaya shuleni.
Huyu ni mtu wa kucheza na matukio tu soon utajionea hasa hii week-end/week hii sidhani kama itapita bila jambo kubwa kuibuliwa la kujitafutia maujiko.Nakumbuka siku moja nilikula pili pili kwenye mtori wa moto, kwa akili zangu za hovyo nikajiwahi na maji ya baridi kupoza pili pili, kumbe ndio nilikuwa nazidisha maumivu kooni.
Ukiuvagaa wa pilipili dawa ni kutulia
Na nyie mlivyokuwa watu wa kuishi kwa matukio mtatekwa kirahisi. Tayarisheni matamko tu.Anaweza kuja na ziara ya kushitukuza katika Taasisi fulani na kuamua kumsimamisha kazi CEO wa Taasisi husika.
Anaweza kuja na uteuzi wa kujaza nafasi zilizo wazi na akatoa hotuba itakayolenga kufunikia hii kauli yake tena ukizingatia week-end ndio hiyo inaanza.
Anaweza pia kumpiga chini mtu anaetajwatajwa kwa kashifa yoyote ile ili tu aonekane ni mzalendo na afunike hii kauli.
Anaweza kutoa tamko lolote lile litakalo wafurahisha wananchi na kuwasahaulisha hii kauli yake
Hii ndio tabia yake pale anapokose bwana huyu.
Tuliomsoma wala hatupi shida bali inakuwa ni rahisi tu kwetu kutabiri atafanya nini katika mazingira fulani.
Time will tell.
Ukizungumzia shule za kata kwa sasa ni nyingi labda kwa zile kata ambazo vijiji viko mbali kutoka kimoja hadi kingine, ukweli ni kwamba wanafunzi wanafanya mapenzi kwa hiari yao suala sio umaskini na sio umbali mtoto wa sister angu tulipata nae shida sana kila siku usiku yeye lazima atoroke alikanywa sana lakini wapi nikaletewa mimi na hatukumuweza na yeye alipata kila alichohitaji ili asome mwisho wa siku aliacha shule kutokana na ujauzito na hapo ni baada ya kutoa mimba mbili kwa siri akishirikiana na mama akeSasa mfano mwanafunzi wa shule ya kata anayetembea kilomita 8 hadi 10 ndipo afike shuleni alafu akiwa njia akirudi nyumbani akabakwa.
Je huyu akipata mimba atanyimwa kusoma???
Duh umetisha chips yai ni hatar kumbeChips Mayai INA nguvu sana kuliko hata makatazo ya dini, maagizo ya wazazi na hotuba Kali ya Rais. Chips Mayai na fanta sijui vina nini jamani, wasichana hawasikii wala hawaambiwi kitu Mbele ya chips Mayai na fanta.
Wewwww nani kakwambia ni ugumu wa maisha......tamaa tu za mabinti wa siku hizi hakuna loloteHuyo jamaa mduanzi sana
Suala la wanafunzi kupata mimba mashuleni kwa asilimia kubwa linachangiwa na ugumu wa maisha unaopelekea wazazi kushindwa kuwatimizia majukumu yao watoto wao
Ww jiulize kwa nini wanaopata mimba nyingi za utotoni ni watoto wa maskini na sio matajiri
Nadhani hapo utapata jibu sahihi na utaacha kusifia upuuzi wa hilo lijamaa lisizonje