Rais Magufuli: Sitegemei kutangaza hata siku moja kwamba tunajifungia ndani (Covid19), tutaendelea kuchukua tahadhari zingine za kiafya. Akemea Chanjo

Shamba la miti oyeeee! Uchumi wa kati oyeee!! Dhuluma kwa wafanyakazi oyeee! Wizi wa kura oyeee!! Uminywaji wa demokrasia na uhuru wa habari huko nchini Puerto Rico, oyeee!!
Mfanyakazi yupi kadhulumiwa?? Ufipani kama vile mumevurugwaaa
 
Kwani ma ARV nani kakwambia nimazuriii. Waulize watumiajiii.
 
Kuna chanjo isiyo na side effect ewe mwanasayansi?

Rais anadai chanjo ya cervical cancer ilisababisha watu wasizae. Ssa nikuhoji wwe mwanasayansi ni tiba gani ya saratani isiyo na side effects kwa mwili? Je exception ya 0.2% inahalalisha kuwa chanjo fulani haifai?

Kma mnaona wazungu ni wauaji kataeni ARV zao za bure, kataeni misaada ya mashine za MRI au CT Scan or wateva mnayodhani wanataka kutumalizia alafu mje na mbadala tuone.

Sio unakejeli dawa ya ugonjwa A hku unakubali dawa ya ugonjwa B while supplier ni mmoja!!
 
Ni wapi wazungu wametangaza kuwa chanjo zitajaribiwa africa au kwetu?? kinyume kabisa chanjo wameanza kuchoma wao wakimaliza ndio tutakumbukwa huku. Ni wakati wa kuongea na facts sio opinion. Je watoto wadogo hawachomwi chanjo ya kifua kikuu? zamani ilikuwa hakuna siku hizi wanachomwa. Hao aliosema chanjo ya kizazi ni wapi lazima aweka facts tukianza kupeleka nchi kwa opinion sio facts basi na kuhakikishia huko mbele sio kuzuri tutakuwa blacklisted nchi zote. Kuna watu watakuja kusema hatuna shida ya kwenda huko bila kusahahu mahitaji yetu mengi ni huko. angalizi mwisho wetu sio mzuri na uhakika na hilo.
 
Kwa hiyo huyo "mungu" anatusikia zaidi Watanzania kuliko hata Waisraeli tunakokwendaga kuhiji?

Za kuambiwa....................................... 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️
 
Ukitawaliwa na chukia hisia za chuki hazikutoki
 

Attachments

  • IMG-20210127-WA0002.jpg
    79.6 KB · Views: 1
Hahahha kawakomesha!

Mlifikiri kelele zenu sasa zitamfanya aanze kulia lia kwamba sasa tunafanyaje, au mara hooo tutaleta chanjo, for what?

Nyie endeleeni kupiga domo nchi inasonga
 
Nchi hii inawatu wa ajabu eti wanasayansi wetu? kwa lipi walilofanya hata panadol hawajui ni copy paste. hiyo chanjo ingekuwa mbaya si wangetuletea sisi huku mbona wameanza wao kuchoma na hata jana EU walikuwa wakali kutopata chanjo kwa wakati. Hizi dhana kuona mtu mkubwa anaongea inatisha. Cancer yenyewe ukitibia utapata shida sana, akaone watu wenye figo ingekuwa sio machine zao tungekufa kama kuku. Kila dawa ina athari lakini faida kubwa. watoto wadogo wanachomwa chanjo na wanapata homa lakini faida ni kubwa sasa aende apige ban na chanjo za watoto, leo hii vifo vya watoto vimepungua sana kwa ajili ya chanjo hizi za bure. kwanini tunashindwa kushukuru.
 
Mimi ni CCM damu damu lakini lazima niseme ukweli kuwa huyu jamaa ni kichaa. Haiwezekani rais wa nchi anaongea mambo ya kipuuzi na mna hii tena ni Dr. ambaye nchi imetumia hela kumsomesha.
Swali lako ni fupi tu,

Tangu kelele za korona zianze duniani kote, sasa yapata mwaka na ushee, Je, kuna nchi ambayo imefanikiwa kukomesha korona nchini mwake??

Kama hakuna, mbona ni makelele Tu yasiyo na majibu halisi ya kukomesha huo ugonjwa?

Chanjo siyo?? Mbona kelele zimezidi huko Kwa wenye chanjo?
 
Kwa hiyo huyo "mungu" anatusikia zaidi Watanzania kuliko hata Waisraeli tunakokwendaga kuhiji?

Za kuambiwa....................................... [emoji2089] [emoji2089] [emoji2089] [emoji2089]
Mungu siyo amstwrdam kwamba kwa vile tulimnyima kura Lisu basi hatajibu maombi yetu
 
Eti wanasayansi.

Hebu kajifunze kuanzika vizuri kwanza ndio uje tujadiliane.
 
Hv unadhan aliewaita haya kuwa ni mataga alikosea???
 
Be honest bro!! Despite their best efforts, they are still infected! The best way to control Covd 19, has not existed since it entered the world
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…