Serikali inapaswa ipeleke mchango wote uliopatikana na ugawanywe kidogo kidogo kutokana na watu walivyo athirika.
Serikali itakua imetimiza wajibu wa kusimamia michango.
Mambo ya mfanye kazi na hamjapeleka michango ya watanzania iliyochangwa si maneno ya hekima, wapeleke michango, then ndo waambiwe wamalizie kwa kufanya kazi kwa wale ambao michango haitotosha , mfano mtu aliyebomokewa na nyumba apelekewe huo mchango ajenge msingi, ndo aambiwe afanye kazi amalizie nyumba.
Katika hizo familia pia kuna wahitimu wanaosubiri ajira, mfanye kazi, ajira mmebana , huu si upuuzi.