Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

Huko sumbawanga kuna kaya 24 nyumba zao paa zimechukuliwa na upepo. nao tena wanasubiri serikali ikawajengee mbona kazi ipo
Kweli siku izi sumbawanga hakuna uchawi tena. .yaan wameshindwa kuzuia upepo? ?[emoji86] [emoji86]
 
Kauli ya Mh Rais ilikuwa nzito mno. Kuna watu wamepoteza ndugu pale. Wapo wengine imewachukua miaka 30 kujenga nyumba zao. Wengine hawana kilichosalimika. Kama serikali haina uwezo, kauli za faraja zingetosheleza. Haiwezekani waombolezaji, uwaambie mkisha zika wahini kulima.
Maafa, yamfike mwingine yakikufika wewe ndio utajua tafsiri. Kuna watu wanahitaji counseling. Wengine maisha yao hayatakaa Sawa tena hadi siku ya mwisho. Tunatofautiana sana kwenye kuhimili misukosuko.
Tuwe na huruma.
 
ni kushukuru kawambia kuhusu tetemeko kutoletwa na selikari. kama mbeza watu walidiriki kuishukuru serikal kwa kupeleka kupatwa kwa jua. hao kagera wangeshindwa kuilaani serikali kupeka tetemeko huko?

Earthquake is natural, needless to say. But vulnerability i.e. capacity to respond to earthquake is political, man-made, and if you wish the creation of the government and politics. Time to see things as they are.
 
Hatimaye mkuu kazungumza japo kwa kuchelewa sana. Ila naomba niulize: hivi inawezekana kukawa na watu wanaoamini kuwa "tetemeko limeletwa na serikali" mpaka mkuu atake wananchi wafahamishwe kuhusu hilo?
unashangaa? wapo wanasiasa tena wakubwa wanataka ionekane kama serikali na ccm ndio wameleta tetemeko bukoba. baada ya tetemeko wamefika bukoba kama mshale hadi after shocks zimewakuta bukoba. kufika tu wakaanza kumlaumu rais kwamba hajafika bukoba na kulaumu serikali.
 
Serikali haijatoa chochote hadi sasa kwa sababu haina pesa yan imefulia...basi sawa,wawape hizo pesa za misaada hakuna haja ya kuwasimanga wahanga.....yani mtu ukiwa huna pela na ukijua utaombwa pesa haya ndo huwaga mujibu yake
Zitatumika kuimarisha chama chakavu
 
Kauli ya Mh Rais ilikuwa nzito mno. Kuna watu wamepoteza ndugu pale. Wapo wengine imewachukua miaka 30 kujenga nyumba zao. Wengine hawana kilichosalimika. Kama serikali haina uwezo, kauli za faraja zingetosheleza. Haiwezekani waombolezaji, uwaambie mkisha zika wahini kulima.
Maafa, yamfike mwingine yakikufika wewe ndio utajua tafsiri. Kuna watu wanahitaji counseling. Wengine maisha yao hayatakaa Sawa tena hadi siku ya mwisho. Tunatofautiana sana kwenye kuhimili misukosuko.
Tuwe na huruma.
akili chache kubwa ndizo zitakazoelewa ulichoandika! s/o to you mkuu!!
 
Zilzala ndiyo kitu gani? Msaada wanapewa, kuna shida gani kusema waendelee na ujenzi huku wakisubiri hiyo misaada?
Zilzala ndio tetemeko la ardhi,
Kungekuwa hakuna shida wadau wasingelalamika.
 
Back
Top Bottom