chiba89
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 424
- 196
itapangiwa kazi nyingineWakifanikiwa kujisaidia asilimia 100,hiyo michango iliyochangwa itapelekwa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itapangiwa kazi nyingineWakifanikiwa kujisaidia asilimia 100,hiyo michango iliyochangwa itapelekwa wapi?
Ni kweli hamna kitu. Lowasa hajachangia hata senti tano.Hamna kitu
afadahali umeyanukuu kwa hiyo lughaNagazengele numba ami ng'wana?Onene yaya gete!yalinukuliwa maneno hayo na wakazi wa Mwakata Kahama iliponyesha mvua ya matofali ya mawe, yakisemwa na mtu mkubwa sana nchi hii
ha ha kwa ras simba? dah umetisha mkuuAlikuwa tuition kwa ras simba akijaribu kama ataweza kutapika ngeli kwenye vikao vya baraza la umoja wa mataifa
Hahahahahah
Bora angeendelea kubaki huko ndani kuliko kutoa kama hizi kwa watu ambao wanahitaji faraja kwa kipindi hiki kigumu.Ndani
Habari za mwanzugi ngoshaMbona unachokiandika wewe ni tofauti na kinachoelezwa kwenye hiyo habari? Maneno mazito yako wapi hapo?
Ni kweli, wananchi wanatakiwa wasibweteke kusubiri misaada ya serikali ili kuendelea na ukarabati sehemu zilizoharibika.
Kwa sababu serikali itachangai sehemu itakayoweza na siyo kuwaaminisha waathirika mambo ambayo hayawezekani kama ilivyotokea kule Kahama.
Si hao ukawa wameenda kujikusanya huko wakitaka kuwaamisha watu kama lile janga ni la ccmHatimaye mkuu kazungumza japo kwa kuchelewa sana. Ila naomba niulize: hivi inawezekana kukawa na watu wanaoamini kuwa "tetemeko limeletwa na serikali" mpaka mkuu atake wananchi wafahamishwe kuhusu hilo?
Bwana wee.... hata mimi nachoka kabisa, hakuna kinachoeleweka hapo. Nani kasema mafuriko yameletwa na serikali?naomba niulize: hivi inawezekana kukawa na watu wanaoamini kuwa "tetemeko limeletwa na serikali" mpaka mkuu atake wananchi wafahamishwe kuhusu hilo?
Ulitaka awaambieje sasa... Hivi mtaelimika lini?Maneno ya kifedhuli sana
huwez jua labda amewafananisha na wale watu juzi juzi walishukuru serikali kuwapelekea lile tukio la kupatwa kwa jua kijijin kwaoUkweli upi alioongea wewe? Lini wahanga wa tetemeko la ardhi walilalamika kwamba tetemeko lililetwa na Serikali!? Kwanini wadhihakiwe katika kipindi kigumu kwao!? Acheni tabia ya kuunga mkono kauli za kuudhi kama hizi. Watu wamepoteza waume zao, watoto wao, wazazi wao etc badala ya kuambiwa maneno ya kuwaletea faraja wanakejeliwa!? Anaweza kutumia kauli kama hizi kwenye kuomba kura!? Mbona kwenye kuomba kura ni unyenyekevu wa hali ya juu!?
Leo Sumbawanga nako wamepata majanga ya mvua kubwa ya upepo na barafu. Kuna nyumba zimebomoka na kuezuliwa paa, mifugo imekufa. OMBI langu kwao wakae tuu kimya maaana wasiombee kutana na tetemeko la maneno.Upo chato au kijiji gan?
Mkuu... Kwanini tusitumie akili zetu wakati mwingine? Kuna ubaya gani kimwambia mtu fanya unapoweza serikali itafanya utapoishia? Ulitaka awape maneno ya kutia moyo kuwaridhisha tu!... Unafiki ndio umetufikisha hapa .... Asante Magu si mnafiki.Wataanzania tumekiingia cha kike, watu wanahitaji maneno ya faraja wanaenda kuambiwa hivyo kweli!
Kwani hizo pesa za misaada watu wanazichanga ni za serikali? Serikali haijatoa hata senti, pesa zote ni watu wamechangaKwa hiyo unataka Serikali iwajengee nyumba??
Ulitaka achangie bei ganiNi kweli hamna kitu. Lowasa hajachangia hata senti tano.