Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

Hii yote shauri ya Pasco kung'ang'ania eti "sema neno moja tuu na roho yangu itapata ahueni"
Ona sasa neno gani hilo? Kwani nani kasema tetemeko limeletwa na Ccm?
Halafu hata hilo la kusema watu wafanye kazi wasibweteke hata kama ni ukweli sio wakati wake huu wakiwa msibani.
Mzee aendelee kukaa kimya inatosha
Unaijiabisha
 
Bwana wee.... hata mimi nachoka kabisa, hakuna kinachoeleweka hapo. Nani kasema mafuriko yameletwa na serikali?

Na wanaposema watu wajenge kuta zao wasisubiri misaada ya serikali they don't make any sense. Majawali katoa speech hapo hapo kasema msaada mkubwa wanaohitaji kwa sasa na wanaopokea kwa wingi ili waupeleke kwa wananchi ni vifaa vya ujenzi. Sasa hao wanaopelekewa ni kina nani, watakaochelewa kujijengea?

Kwa sababu kama serikali inatangaza inaleta misaada ( which means vinakuja bure) ya vifaa vya ujenzi kwa nini niwahi kuingia gharama za kujenga?

Okay, au ujumbe ni kwamba tusipende vya bure, okay, kwa hiyo vinavyokuja vitauzwa? Kama vitauzwa basi tusubiri bei yao lazima itakuwa bei ya kutupa kwa sababu wenyewe wamepewa bure! Nothing makes sense here!

ITV wanasema Majaliwa amesema serikali inawashukuru wahisani wa nchi mbali mbali. Misaada iliyotoka ndani je, ni uchafu?

Wanasema Museveni na Kenyatta wametoa misaada, sielewi, hivi hizi ni pesa zao binafsi ama za serikali zao? Ahsante tumwambie nani, Museveni ama Waganda? Maana haya ni madikteta na makabaila, Mu7 na Kenyata, yanaweza kuwa na hela zao mifukoni. Marekani inapotoa misaada hawasemi Barack Obama ametoa misaada, tunaambiwa "KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"!

Hakuna kinacho make sense hapa, hakuna kinachoeleweka.

Kwa nini nijenge na misaada wanasema inakuja, anakuja kupewa nani, atakaechelewa kujenga?
Halafu serikali ina chaguliwa kutatua shida za watu, na shida zinyewe ndio hizi moja wapo
 
Tumekariri Hapa Kazi tu!!!! Kweli Rais tunae wa wanyonge,kujichimbia kote huko katoka na kauli ya kukatisha Tamaa........
 
Mungu mwenye nguvu amzidishie ulinzi mheshimiwa rais Magufuli, amvike taji la nguvu na uweza wa hali ya juu, ili aweze kuleta mabadiliko chanya makubwa sana ya kiuchumi na kimfumo na hatimaye watanzania waweze kupata huduma za jamii zilizo bora kabisa kuwahi kutokea.
 
Leo Sumbawanga nako wamepata majanga ya mvua kubwa ya upepo na barafu. Kuna nyumba zimebomoka na kuezuliwa paa, mifugo imekufa. OMBI langu kwao wakae tuu kimya maaana wasiombee kutana na tetemeko la maneno.
Kule mafund wengi usjekuta kimetengenzwa kile kutafuta kick
 
Unaijiabisha
Wewe unaongea tu hayajakukuta, nikuulize kwa nn kwenye msiba watu wanachangishwa rambi rambi?
Hawa ndugu zetu hawa kujipanga kwa hili tukio kabisa kwahiyo hatuwezi sema wafanye kazi wakati psychologically wameathirika sana, faraja ni muhimu sana ktk matatizo
 
..hajarushiwa madongo yoyote.

..ila naona kama yuko TOO SENSITIVE, anataka asifiwe hata pale alipokosea.

..kitendo chake cha kutoonekana akiwafariji waathirika ndiyo sababu ya kulaumiwa na wanasiasa wenzake.

..mimi ningekuwa mshauri wa Raisi ningemshauri asitumie kipindi hiki kulumbana na wanasiasa.

..huu ni muda wa KUWAFARIJI waathirika wa tetemeko la ardhi. We should focus on waathirika.

..Raisi akianza kujitetea ktk kipindi hiki cha MAOMBOLEZO kwa maneno kama "CCM haijasababisha tetemeko" inaoneka kama mtu anayejali maslahi ya chama na si maslahi ya waathirika.

Hata kwa mfano akiwa mgonjwa tukio likitokea lazima atokee, sasa Waziri mkuu na makamu wa nini?

Mimi ningekuwa mshauri wake, ningemshauri hivyo hivyo , fire kwa fire.

Ningeelewa kama wapinzani wangewatembelea na wakawasaidia bila ku drag in rais. Kama una nia njema ukifanya jambo wananchi watakuelewa tu, kwanini domo kubwa kwenye media, harafu upande mwingine ushauriwe usijibu?
 
Mkuu... Kwanini tusitumie akili zetu wakati mwingine? Kuna ubaya gani kimwambia mtu fanya unapoweza serikali itafanya utapoishia? Ulitaka awape maneno ya kutia moyo kuwaridhisha tu!... Unafiki ndio umetufikisha hapa .... Asante Magu si mnafiki.
Lini alikwenda kagera akaambuwa kuwa wanakagera wanataka kujengewa nyumba na serikali? Watu wanahitaji maneno mazuri ya faraja katika kipindi hili! Jiongeze mkuu usiwe kama robot "mr yes man"
 
Lini alikwenda kagera akaambuwa kuwa wanakagera wanataka kujengewa nyumba na serikali? Watu wanahitaji maneno mazuri ya faraja katika kipindi hili! Jiongeze mkuu usiwe kama robot "mr yes man"
Unatia aibu.... Ni hasara kwa familia yako maana hawana mlezi!

Maneno ya faraja yanasaidia nini sasa ikiwa ukweli watu wanahitaji kukarabati makazi yao?

Yani familia yako haina msosi alafu unawapa maneno ya faraja kwamba msijali chakula mtapata tu! Badala ya kuwambia jishughulisheni wewe unawaambia watandike mikeka wakae wasubiri kuletewa?

Hovyo kabisa
 
  • Thanks
Reactions: nao
Nimeamini ule ukweli kuwa ukoo wa Rais wa wasukuma na mainjinia kuwa wanakichaa naanza kuuona,, huyu jamaa hatoboi 2020 naona jeshi kushika hatamu
 
Bwana wee.... hata mimi nachoka kabisa, hakuna kinachoeleweka hapo. Nani kasema mafuriko yameletwa na serikali?

Na wanaposema watu wajenge kuta zao wasisubiri misaada ya serikali they don't make any sense. Majawali katoa speech hapo hapo kasema msaada mkubwa wanaohitaji kwa sasa na wanaopokea kwa wingi ili waupeleke kwa wananchi ni vifaa vya ujenzi. Sasa hao wanaopelekewa ni kina nani, watakaochelewa kujijengea?

Kwa sababu kama serikali inatangaza inaleta misaada ( which means vinakuja bure) ya vifaa vya ujenzi kwa nini niwahi kuingia gharama za kujenga?

Okay, au ujumbe ni kwamba tusipende vya bure, okay, kwa hiyo vinavyokuja vitauzwa? Kama vitauzwa basi tusubiri bei yao lazima itakuwa bei ya kutupa kwa sababu wenyewe wamepewa bure! Nothing makes sense here!

ITV wanasema Majaliwa amesema serikali inawashukuru wahisani wa nchi mbali mbali. Misaada iliyotoka ndani je, ni uchafu?

Wanasema Museveni na Kenyatta wametoa misaada, sielewi, hivi hizi ni pesa zao binafsi ama za serikali zao? Ahsante tumwambie nani, Museveni ama Waganda? Maana haya ni madikteta na makabaila, Mu7 na Kenyata, yanaweza kuwa na hela zao mifukoni. Marekani inapotoa misaada hawasemi Barack Obama ametoa misaada, tunaambiwa "KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"!

Hakuna kinacho make sense hapa, hakuna kinachoeleweka.

Kwa nini nijenge na misaada wanasema inakuja, anakuja kupewa nani, atakaechelewa kujenga?
Hukumwelewa rais rudia kusoma
 
Katika huu uzi nmejifunza kitu kimoja tu!

Ukawa wameshikiwa akili...
 
Basi tu kwa sababu kajiwekea faini milioni saba ukimsema lakini huyu mtu sijui,!
 
Back
Top Bottom