..hajarushiwa madongo yoyote.
..ila naona kama yuko TOO SENSITIVE, anataka asifiwe hata pale alipokosea.
..kitendo chake cha kutoonekana akiwafariji waathirika ndiyo sababu ya kulaumiwa na wanasiasa wenzake.
..mimi ningekuwa mshauri wa Raisi ningemshauri asitumie kipindi hiki kulumbana na wanasiasa.
..huu ni muda wa KUWAFARIJI waathirika wa tetemeko la ardhi. We should focus on waathirika.
..Raisi akianza kujitetea ktk kipindi hiki cha MAOMBOLEZO kwa maneno kama "CCM haijasababisha tetemeko" inaoneka kama mtu anayejali maslahi ya chama na si maslahi ya waathirika.
Kila mara amesisitiza kuwa ni Rais wa wote. Hilo ni kweli kwasababu Rais ni kiongozi wa nchi
Kauli na matamko yanapaswa ku reflect maana hiyo ya Rais wa wote
Hata kama wapo watakaomtuhumu kichama, kazi ya kujibu kichama awaachie viongozi wenzake wa vyama. Yeye anatakiwa ajibu kama kiongozi wa wote
Kwahili tukio anaongea kama Rais wa wote na wanaomsikiliza ni wote
Ku insinuate tuhuma za uchama kunapoteza maana ya ujumbe.
Kwa mfano, hakukuwa na sababu za kusema tetemeko halikuletwa na CCM.
Mbona kila mtanzania anajua hilo!
Hili limekaribisha hoja nyingine kuwa, hajafika eneo la tukio licha ya kuahirisha safari.
Wapinzani waliokwenda wana haki ya kuzungumza na kufariji wahanga na wananchi
Sioni tatizo la kutoa misaada eti mpaka ipipitie ofisi ya waziri mkuu. Hii yote ni kuwa sensitive na wapinzani bila sababu. Lengo ni kuwasaidia watu, kama wahusika hawapo kuna tatizo gani watanzania wengine wakasaidia wenzao?
Kauli kama kubweteka inaondoa uzito wa ujumbe. JokaKuu alisema 'awe consoler in chief'
Si lazima ajibu kila tuhuma, lakini ni wajibu kuhakikisha hakuna anayeumia kwasababu tetemeko halitokei kwa waliobweteka, ni janga na hakuna aliyeomba ili asubiri msaada