Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini la mbeya halikutolewa majibu ya ufafanuzi au kwakuwa lilijaa shukrani na si lawama?!Ndiyo mkuu! Kama kuna walioamini kuwa kupatwa kwa jua kuliratibiwa na serikali tukufu ya Jpm na kuamuliwa kuwa tukio hilo lifanyike Mbeya wanashindwa vipi kuamini kuwa tetemeko ni kazi ya serikali? Kama ujinga Ni mtaji basi serikali ina 99% ya share zote.
Tumezoea longolongo na kutiana moyo kwenye hakuna, bora awaandae kisaikolojia kuliko kufanya tulivyozoeaLakini afadhali kawaeleza ukweli ingawaje mchungu. Nafikiri kipindi hiki watu watatia akili tu.
Hakuna aliyewahi kupatwa na janga akaitegemea serikali maisha yake yote, kwani majanga mangapi tushashuhudia hapa Tanzania na watu si wanaishi?Kuna usahihi katika kauli ya Rais hasa kwa wale wanaoutumia haya Majanga kama njia ya kubweteka, maana majanga yameshatokea na maisha yatendelea na serikali haitaweza kusaidia kila mtu , mfano wale wanaotaka wajengewe Nyumba na serikali.
hata hivyo kuna ambao hawataweza kufanya shughuli zao za kila siku mpaka mambo yawe shwari.
Umeona eh?kikwete alihudhuria misiba mpaka wakawa wanamsema humu ni rais wa misiba,tena kuna mmoja alisema hayo mambo ya kuhudhuria misiba ni mambo ya waswahili teh teh teh,
jk ana hekima
Nadhani humu jukwaani kuna na wagonjwa wa fikra! Hili janga halikuletwa na serikali na wala hao walioathirika hawakuliita!Unatia aibu.... Ni hasara kwa familia yako maana hawana mlezi!
Maneno ya faraja yanasaidia nini sasa ikiwa ukweli watu wanahitaji kukarabati makazi yao?
Yani familia yako haina msosi alafu unawapa maneno ya faraja kwamba msijali chakula mtapata tu! Badala ya kuwambia jishughulisheni wewe unawaambia watandike mikeka wakae wasubiri kuletewa?
Hovyo kabisa
Very cavalier!Mbaaya sana hii. Poleni sana mliofikwa na kadhia hii.
Bora angendelea kukaa kimya tu!
Very cavalier!
Maneno ya kifedhuli sana