barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Kauli nzito toka kiongozi makini, huyu ndiye vitabu vilimuongelea, hatimaye kaja!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka unafananisha nyumba za wazabuni,ambazo ahadi yake ilikuwepo tangu enzi za JK ,unataka kufananisha na tetemeko?,Braza, kwahiyo nyumba za Migomigo ni kanyanga?
We umeona mbali na tatizo letu tunapenda kubembelezwa hata pasipo na uwezekano, wajitahidi tu ndugu zetu hata hizo pesa zikichangwa kiasi gani haziwez kucover all their loses bora ujianzie serikali ikija umalizie ubaki na akiba walauMh. Raisi amesema watu wafanye kazi wasibweteke wasisubiri serikali kuyafanyia kila kitu. Tetemeko limeshatokea serikali itarekebisha miundombinu aliyoharibika na itwasaidia wananchi katika yale itakayoweza.
Sasa ahadi hewa ni kawaambia wananchi serikali itawajengea nyumba zenu zote, itawapatia mahitaji yenu yote wakati wakijua serikali haina uwezo huo, mwisho wa siku wakishindwa kutekeleza ndiyo inakuwa mtaji kwa wanasiasa wa Upinzani
Mwaga mambo hapaNimejua ni kwann serikali haikupeleka misaada.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]Hapa tumeingia cha kike jamani,mbona najuta kua mtanzania.
Mwaga mambo hapa
Hayo ndio maneno mazito mkuu!!Kwani unafikiri tamko lolote au neno lolote toka kwa Rais wa nchi linakuwa jepesi?Haya ndio maneno mazito tuliyoyasubiri toka kwa Rais baada ya week nzima ya majanga...Au kwako maneno ya Rais ya aina hii ni maneno mepesi??Mbona unachokiandika wewe ni tofauti na kinachoelezwa kwenye hiyo habari? Maneno mazito yako wapi hapo?
Ni kweli, wananchi wanatakiwa wasibweteke kusubiri misaada ya serikali ili kuendelea na ukarabati sehemu zilizoharibika.
Kwa sababu serikali itachangai sehemu itakayoweza na siyo kuwaaminisha waathirika mambo ambayo hayawezekani kama ilivyotokea kule Kahama.
Bwana heee,hivi unajua kwa Tanzania kumiliki nyumba ni shughuli pevu sana,kwa halii ya kiuchumi watu washapatwa na majanga alafu ndo waanze pandisha nyumba inawezekana ila co kirahisi hvy,maana wengine ndo wachangishane ukoo mzima.Waanze kufyatua tofali, wachome mengne watasaidiwa ,walioumia sawa ila kama umetoka mzma nyanyua kuta,tulideka sana watz now tujue kujiongeza
Waanze kufyatua tofali, wachome mengne watasaidiwa ,walioumia sawa ila kama umetoka mzma nyanyua kuta,tulideka sana watz now tujue kujiongeza
Hata kufyatua tofali la tope ni shughuli?Bwana heee,hivi unajua kwa Tanzania kumiliki nyumba ni shughuli pevu sana,kwa halii ya kiuchumi watu washapatwa na majanga alafu ndo waanze pandisha nyumba inawezekana ila co kirahisi hvy,maana wengine ndo wachangishane ukoo mzima.
michango itasaidia kuboresha miundo mbinu na kuwapa mahema ya kujisitiri ila wafanye kazi wanaanze wao serikali itawapa taff watakapo shindwaSerikali imeshindwa kutimiza WAJIBU wake kama mkusanya kodi. Ningeamini kuwa ni 'msema kweli' kweli kama angeanza kwa kuuambia umma kuwa serikali ilishindwa kuwahisha huduma inayostahiki kama serikali. Sasa kwa nini asiwapelekee hiyo misaada inayoombwa na kusimamiwa na serikali na kuwaambia wao wandelee kwa juhudi zao pale misaada inapoishia. Aje aone kama kuna mtu atamlaumu au kulaumu serikali. Huyu mtukufu tukimwita majina mabaya mnaishia kutunyanyasa, lakini ni binadamu wa aina ya ajabu.
Hahaaa, dua la kuku hiloUlaaniwe ufe uzame na wewe huko utakapokuwa unasafiri