Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa uelewa wake mkubwa wa kitukufu ikiwa ni juu ya phd, hiyo ilikuwa ni tafisda ya kusisitiza kuwa wahanga wasikae kusubiri wala kutarajia kuwa serikali ina jukumu la kuwasaidia (kwa sababu siyo iliyoleta tetemeko hili). Pengine limeletwa na UKAWA au UKUTA.Hatimaye mkuu kazungumza japo kwa kuchelewa sana. Ila naomba niulize: hivi inawezekana kukawa na watu wanaoamini kuwa "tetemeko limeletwa na serikali" mpaka mkuu atake wananchi wafahamishwe kuhusu hilo?
You can't fool all the people all the time! Stop fooling us! Hawajahitaji kupewa ahadi hewa, wapo tayari kupokea hata hicho kidogo, ilimradi kimetolewa kwa nia ya dhati! Labda utuambie hiyo nia haipo!Nchi hii tulizoea kauli za kinafiki zisizotekelezeka, sasa tumepata Raisi anayenyoosha maneno hata kwenye wakati mgumu ni kuongea ukweli tu kwa kwenda mbele.
Kwa wapinzani ni haki yao kikatiba kubeza ukweli ambao umesemwa na Mh raisi, wao walitaka Raisi atoe ahadi zisizotekelezeka ili ije kuwa mtaji wa kisiasa huko mbeleni.
Hizi ni zama za kunyoosha maneno, mh raisi ameanza na sisi huku kitaa tuige mfano wako maana tumekuwa jamii ya kinafiki kupindukia
Alikuwa tuition kwa ras simba akijaribu kama ataweza kutapika ngeli kwenye vikao vya baraza la umoja wa mataifaAlkuw wap huyuu
Tulizoea lakini tulikuwa hai,wanaoambiwa maneno haya ni wafiwa na marehemu.mulizoea kuwa peti peti, kwa sasa huo muda haupo
Rais wa Kenya ametoa maneno ya faraja kwa watanzania, Rais wa Tanzania katoa kichambo
Kwani kasema uongo? Mbona ni kweli tupu? Nimesikia mpaka viongozi wa makanisa wanataka wajengewe makqnisa yao. Hii ni aibu. Wekeni bima nyumba zenu japo hata bima hazihusiki na majanga ya asili. Serikali haijengi nyumba ya mtu kwa majanga asili. Utapata turubali na hema kwa muda wakati unahangaika ku settle na si kujengewa nyuma. Amkeni!Miaka mitano tutaona Kama decade kwa mipasho utafikiri mswahili dah aseee.
Rais wa Kenya ametoa maneno ya faraja kwa watanzania, Rais wa Tanzania katoa kichambo
Haa Yaani Ni Sarakasi Tu!!!Alkuw wap huyuu