Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka shamba hukowekeni video ili tutoe maoni yetu,wengine tupo shambani leo,tupo mbali na TV
mulizoea kuwa peti peti, kwa sasa huo muda haupoWataanzania tumekiingia cha kike, watu wanahitaji maneno ya faraja wanaenda kuambiwa hivyo kweli!
Mungu yupo.Kuna Kitu Ningependa Kusema Kuhusu Mwonekano Mpya wa Rais,ila Sina 7m...
Acha Nifunge Bakuli Langu...
kwani mswahili ni nanjMiaka mitano tutaona Kama decade kwa mipasho utafikiri mswahili dah aseee.
Ngoja yakukute namba tutasoma wote ila kila mtu itakua namba yake na kwa wakati wakeUko sawa Amri jeshi wetu My.John Joseph Pombe Magufuli.
Eti?mnalipa mishahara?Yataenda kulipa mishahara,jamani watu si wametoa misaada?sasa hiyo misaada kwa nini isipelekwe?
Tutapeleka kwenye uwanja wa ndege chatoWakifanikiwa kujisaidia asilimia 100,hiyo michango iliyochangwa itapelekwa wapi?
Nia ya kusaidia wanayo tatizo hao wasimamizi, watakula pesa zote kabla kuzifikisha kwa wahusika. Msaada unachinjwa toka juu mpaka chini. Wahanga wanaishia kung'aa macho.Serikali iwasaidie lakini si vizuri kuwapa ahadi hewa hasa kujenga nyumba zao. Labda serikali iwaondolee kodi kwenye vifaa vya ujenzi hasa cement, bati na nondo
Kwa kweli sina milioni saba ya kulipa... Ila Mkuu ana maneno mazito! Anasema waathirika wasikae tu huko wanangoja hela za serikali kwa sbb wanasikia zimechangwa,waanze kujisaidia kwanza wao na serikali itawasaidia pale waliposhindwa.
Mkuu anasema mtu ukuta umedondoka, anataka asubiri serikali ndio imtengenezee! Watu wajue tetemeko ni janga la asili halijaletwa na CCM. Waanze kwa kujenga wenyewe kuta zilizodondoka sio wasubiri serikali, sababu maisha yanendelea na watu wanatakiwa wafanye kazi kwa kujenga nyumba zao na sio kila kitu serikali itafanya.
Na wale wanasiasa wanaotaka kutumia janga hili kujinufaisha kisiasa mkuu anasema waache mara moja.
Na kasema wote wanaotumia janga hili kukusanya misaada kwa njia ya kitapeli, basi wakamatwe mara moja.
Kuna Komenti Niliandika Kuhusu Mwonekano wa Rais,ila Ikafutwa!Mungu yupo.
Alkuw wap huyuu