Hio ndio inapaswa kuwa kauli ya kiongozi...sio kuwapa watu matumaini hewa...
..huu ni wakati wa kuwafariji wahanga.
..siyo muda wa kutoa kauli za kukaripia.
..wengine wanaweza kumuona kama mtu asiyejali na aliyekosa huruma kwa waathirika.
..zaidi hakukuwa na haja ya kujibizana na wanasiasa waliokosoa namna serikali ilivyochelewa kuwasaidia wahanga.
..FOCUS yote iwe ktk kuwasaidia wananchi na siyo kulumbana na wanasiasa wenzake.
..Kwa kweli kauli hizi zinasikitisha na kushangaza.