Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

Hilo la kusema watu wajiongeze wasisubir serikal ni ukwel fulan mchungu ambao hatuwez kuukubali.
Kwa maana kuna mtu anaweza kua na ufa tu Ila akakaa kusubir....
As long as una uwezo wa kufanya kitu fulan basi uanze nacho.
 
Hatimaye mkuu kazungumza japo kwa kuchelewa sana. Ila naomba niulize: hivi inawezekana kukawa na watu wanaoamini kuwa "tetemeko limeletwa na serikali" mpaka mkuu atake wananchi wafahamishwe kuhusu hilo?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13], eti halijaletwa na serikali
 
Hatimaye mkuu kazungumza japo kwa kuchelewa sana. Ila naomba niulize: hivi inawezekana kukawa na watu wanaoamini kuwa "tetemeko limeletwa na serikali" mpaka mkuu atake wananchi wafahamishwe kuhusu hilo?
Ndiyo mkuu! Kama kuna walioamini kuwa kupatwa kwa jua kuliratibiwa na serikali tukufu ya Jpm na kuamuliwa kuwa tukio hilo lifanyike Mbeya wanashindwa vipi kuamini kuwa tetemeko ni kazi ya serikali? Kama ujinga Ni mtaji basi serikali ina 99% ya share zote.
 
Kuna usahihi katika kauli ya Rais hasa kwa wale wanaoutumia haya Majanga kama njia ya kubweteka, maana majanga yameshatokea na maisha yatendelea na serikali haitaweza kusaidia kila mtu , mfano wale wanaotaka wajengewe Nyumba na serikali.

hata hivyo kuna ambao hawataweza kufanya shughuli zao za kila siku mpaka mambo yawe shwari.
 
Back
Top Bottom