Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na je asingeenda uko? Hlo nalo swaliHivi ingetokea Chato kauli hizi zingetoka ?!
kama kiongoz hakupaswa kuzungumza hivyo. Nimekuja kugundua kitu flan the president is proud.Nimemsikia akisema waathirika wa tetemeko la ardhi wafanye kazi wasikae tu kusubiria Serikali iwasaidie, tetemeko halijaletwa na Serikali
Si kama simpendi mkuu lakini kuna watu wanahitaji maneno ya faraja si maneno makavu kiasi hichoNa je asingeenda uko? Hlo nalo swali
Wengine tulisema bora akae kimya, akiongea tutapoteana humu.....na kweli yametokea. ...Kwa kweli sina milioni saba ya kulipa... Ila Mkuu ana maneno mazito! Anasema waathirika wasikae tu huko wanangoja hela za serikali kwa sbb wanasikia zimechangwa,waanze kujisaidia kwanza wao na serikali itawasaidia pale waliposhindwa.
Mkuu anasema mtu ukuta umedondoka, anataka asubiri serikali ndio imtengenezee! Watu wajue tetemeko ni janga la asili halijaletwa na CCM. Waanze kwa kujenga wenyewe kuta zilizodondoka sio wasubiri serikali, sababu maisha yanendelea na watu wanatakiwa wafanye kazi kwa kujenga nyumba zao na sio kila kitu serikali itafanya.
Na wale wanasiasa wanaotaka kutumia janga hili kujinufaisha kisiasa mkuu anasema waache mara moja.
Na kasema wote wanaotumia janga hili kukusanya misaada kwa njia ya kitapeli, basi wakamatwe mara moja.
Mambo ya sangoma hayo usizungumzie hilo jambo siku7Alkuw wap huyuu
Yataenda kulipa mishahara,jamani watu si wametoa misaada?sasa hiyo misaada kwa nini isipelekwe?Hayo mabilioni yaende wapi? Nawaza tu, na kisha ntapitia, sina mens rea!
Ukuta si ulipigwa marufukukawambia waathirika wa tetemeko wajenge UKUTA na wasisubiri serikari.