The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Na ni kama kawaida yake, huwa akijitokeza kuzungumza tu, lazima azue mjadala usio hata na ulazima!
Sasa kwa mtazamo wake na waliomshauri kwa umoja wao anadhani kuna mtu aliyeathirika na janga hilo ambaye anaitegemea serikali imfanyie na kumpatia kila kitu kwa 100%!!!??
Mbona bado kuna watu na familia zao walioathiriwa na janga hilo, mpaka sasa hawajafikiwa hata na kiongozi yeyote wa serikali wala msaada wowote wa kibinadamu toka ktk serikali yanye kitengo maalumu cha maafa chenye bajeti tokana na kodi ya maskini haohao lakini wapo wanaendelea kuishi kwa "kujiongeza" wao wenyewe!!??
I think, Mr President could have said something sympathetic better than what he just said....kama hana kitu, watu wanaweza kumuelewa tu kwa kuongea kwa lugha njema especially kwa sasa ambao watu wamepoteza ndugu zao, mali na makazi yao!!
Bado engo ya matumizi ya lugha kwa kuzingatia situation inamsumbua sana bwana mkubwa huyu!!!
Sasa kwa mtazamo wake na waliomshauri kwa umoja wao anadhani kuna mtu aliyeathirika na janga hilo ambaye anaitegemea serikali imfanyie na kumpatia kila kitu kwa 100%!!!??
Mbona bado kuna watu na familia zao walioathiriwa na janga hilo, mpaka sasa hawajafikiwa hata na kiongozi yeyote wa serikali wala msaada wowote wa kibinadamu toka ktk serikali yanye kitengo maalumu cha maafa chenye bajeti tokana na kodi ya maskini haohao lakini wapo wanaendelea kuishi kwa "kujiongeza" wao wenyewe!!??
I think, Mr President could have said something sympathetic better than what he just said....kama hana kitu, watu wanaweza kumuelewa tu kwa kuongea kwa lugha njema especially kwa sasa ambao watu wamepoteza ndugu zao, mali na makazi yao!!
Bado engo ya matumizi ya lugha kwa kuzingatia situation inamsumbua sana bwana mkubwa huyu!!!