Kweli kabisa rais wa wanyonge huyuMsema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Nacho kipenda zama hii rais wetu ni msema kweli.
Umeonaaee !! Mswahili anasingiziwa aise duuuh .mpaka nimechafukwa na roho .Mungu atusaidieMiaka mitano tutaona Kama decade kwa mipasho utafikiri mswahili dah aseee.
Ukweli upi kwa mfano?Ila ni maneno yenye ukweli mtupu...
Ndio umesahau wa njombe kuwa magufuli kareta kupatwa kwa jua [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hatimaye mkuu kazungumza japo kwa kuchelewa sana. Ila naomba niulize: hivi inawezekana kukawa na watu wanaoamini kuwa "tetemeko limeletwa na serikali" mpaka mkuu atake wananchi wafahamishwe kuhusu hilo?
Tatizo waswahili tumezoea ahadi hewa za wanasiasa. Ndo maana tunadanganywa kila siku na tunakubali. Magufuli kaamua kuwa mkweli of what is on his mind. Go figure.
Hivi kweli kwa akili yako tukufu...serikali inaweza kuwajengea nyumba wahanga wote wa hili tetemeko? Get real bro!
Endelea kufanya kampeni.Hivi Masanja unategemea nini wakati:Watu binafsi,makampuni Na nchi nyingi zimechangia kwenye hili janga la mtetemeko wa Ardhi.Mpaka Sasa karibu shilingi Bilion 5 zimekusanywa Pamoja Na saruji,mabati Na misumari.
Ina maana huu msaada unaenda wapi Kama sio Kwa waathirika.Halafu Kwa nini JWTZ lisishughulike Na ujenzi.Ngosha hana hekima kwenye hili janga.Waathiriwa wengi NI wakulima masikini.Wakafanye kazi wapi?Wengi wanataka kufarijiwa sio kubezwa Na kauli kali.
Asante sana mkuu.Wanawake ni viumbe wa ajabu sana,naamini Mungu aliwapa wanawake moyo wa kipekee sana,moyo wa uvumilivu na upendo.Wakati jamii inashangazwa na baadhi ya mienendo ya wanaume,mienendo ya ubabe na kutojali,wanaume hao wanaoonekana wa ajabu huku mitaani hutoka katika familia zao.
Pamoja na mitazamo hasi juu ya wababe hawa,nyuma yao kuna wanawake wavumilivu,waliowapenda jinsi walivyo na waliotayari hata kuhatarisha Maisha yao kwa kuwatetea.Laiti wanadamu wote wangeumbiwa moyo wa kike,naamini dunia ingekuwa tofauti na ilivyo sasa.Hongereni Mama zetu,kwani wababe wote tunaowashangaa katika dunia hii,pamoja na ubabe wao bado mnamudu kuishi nao!!Kama haya ndiyo tunayashuhudia sisi tulio nje ya nyumba,Mama aliye ndani anashuhudia na kuona mangapi?Asanteni akina mama.
Kwamba Serikali haitakujengea Nyumba!Ukweli upi kwa mfano?
Hivi Masanja unategemea nini wakati:Watu binafsi,makampuni Na nchi nyingi zimechangia kwenye hili janga la mtetemeko wa Ardhi.Mpaka Sasa karibu shilingi Bilion 5 zimekusanywa Pamoja Na saruji,mabati Na misumari.
Ina maana huu msaada unaenda wapi Kama sio Kwa waathirika.Halafu Kwa nini JWTZ lisishughulike Na ujenzi.Ngosha hana hekima kwenye hili janga.Waathiriwa wengi NI wakulima masikini.Wakafanye kazi wapi?Wengi wanataka kufarijiwa sio kubezwa Na kauli kali.
Waswahili bana,,, mnahusudu sana talalila,,,Hivi Masanja unategemea nini wakati:Watu binafsi,makampuni Na nchi nyingi zimechangia kwenye hili janga la mtetemeko wa Ardhi.Mpaka Sasa karibu shilingi Bilion 5 zimekusanywa Pamoja Na saruji,mabati Na misumari.
Ina maana huu msaada unaenda wapi Kama sio Kwa waathirika.Halafu Kwa nini JWTZ lisishughulike Na ujenzi.Ngosha hana hekima kwenye hili janga.Waathiriwa wengi NI wakulima masikini.Wakafanye kazi wapi?Wengi wanataka kufarijiwa sio kubezwa Na kauli kali.
ππππππππππππkawambia waathirika wa tetemeko wajenge UKUTA na wasisubiri serikari.
Hivi wewe aliyekwambia anataka kujengewa nyumba ni nani? Tangu nchi hii iumbwe ni serikali ipi iliwahi kuwajengea wananchi nyumba waliopatwa na majanga kama haya? Watu wanacho complain ni kauli zisizo na faraja zilizotolewa na mkuu wa nchi.hata kama wakiamuwa wasitoe chochote huwezi kuwambia wananchi msitegemee serikali fanyeni kazi kana kwamba wao hawafanyagi kazi au wamekaa tu kusubiri serikali. Haina shida ndugu zao wapo na watakaoguswa watawasaidia nakuwafariji. Sikutegemea kama rais angeweza kuongea kauli zile achilia mbali kwenda kuwatembelea wahanga wa tetemeko. Wana kagera hawana hiyana wataendelea kumuombea huku wakitambuwa sura siyo roho.
UNATAKA KUFANANISHA JAPAN NA TZ,AU HATA ITALY HAPO TETEMEKO LIMETOKEA JUZI TU HAPO WAMEJENGEWA.Mm majanga ni matukio ya asili yanapotokea huja bila taarifa .tujenge uzalendo wa kusaidiana pale inapobidi kule japan niliona rule mji wa Kumamoto ulipatwa Na tetemeko .serikali imeshajenga Nyumba Na tayar wale wahanga wamehamia .bila kuathiri masharti maisha yaendelee.
2020 tuone kama hizo pushups zitaleta kura. Mtaanza kuwalamba miguu watu wa Kagera huku jeuri mmeficha mfukoni lakini washastuka. Ujinga wa njia ni kwenda kurudi akili yakoBweteka sasa.