Tukiachana na cheap politics za CHADEMA and unethical conducts za viongozi wao; on a serious note tuna sheria luluki ambazo zinatoa framework jinsi ya ku approach national disaster na kuna body ambayo imeundwa na sheria 'disaster management act 2014' yenye majukumu ya kufanya research na kujua taratibu sahihi za kufanya intervention. Commonsense ni kujua kila disaster inakuja na changamoto gani, human resources zipi zinahitaji, skills za watu, mobilization, response time, contingency fund ya awali kabla ya misaada na mengine yote kuanzia early stage mpaka mwisho.
Hakuna anaekataa tetemeko la ardhi alifanyiwi na wanasiasa lakini kwakuwa serikari inatambua ya kuwa kuna hizo risks ndio maana ikatunga hiyo sheria. Sasa leo unajiuliza yuko huyu agency alietajwa na serikari ata kama jamii inatoa misaada si ni yeye ndiye alietakiwa kuwa anakusanya, kuwapa habari wananchi, pamoja na kuishauri serikari, wako hao ma expert wa haya mambo.
Serious Magufuli inabidi aingalie timu yake upya this is uncalled majuzi tumemaliza kupambana na kipindu kipindu hawa jamaa wanatakiwa wajue kwenye situation kama hizo mlipuko wa magonjwa ni risk nyingine, kuna watu bado wanashocks wanahitajia assurance to build their confidence sio lazima kupewa pesa, kuna watu wanamajonzi wamepoteza ndugu zao, kuna watu bado wako hospitali surely lazima lugha sahihi itumike na namna sahihi ya kuwapa faraja hawa wananchi sio lazima pesa ata empowerment to move forward.
I mean I can go on and on about this issues lakini ifike wakati waanze kukagua hizi Phd maana hawa ndio wanaopewa accountability kubwa na uwezo wao hafifu ndio unaopelekea kuzorota kwa sehemu nyingi; halafu mtu ukipekuwa kidogo kuangalia kama kuna tofauti na wengine wanavyofanya duniani unakutana na frameworks zile zile za dunia ya kwanza ila response and implementation zake toafauti sasa hawa wasomi walipitia modules tofauti au vipi (imagine tetemeko la ardhi linatokea on busy district si hatari).