Rais Magufuli, tumbua viongozi wanaokudhalilisha

Rais Magufuli, tumbua viongozi wanaokudhalilisha

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Kudhalilisha mamlaka ya uteuzi ni kosa kubwa sana.

Unakuwa na mkuu wa wilaya ambae anajua fika anamamlaka kisheria ya kukamata mtu akifanya kosa ndani ya wilaya yake. Sheria inatamka wazi anatakiwa akikamata mtu amfikishe polisi kisha mahakamani na sheria ifuate mkondo.

Anakamata watu wanaotumia walemavu kama kitega uchumi,wanawachalaza bakora akiwa na waziri mdogo kama vile hawajui ibara ya 13 ya katiba ya JMT inasemaje juu ya usawa mbele ya sheria.

Mbali ya hayo vipi kuhusu haki ya kusikilizwa mtuhumiwa? Vipi kuhusu mamlaka ya kutoa adhabu?

Nini ambacho kinaendelea hapa Tanzania? Wateule wa rais ambao hawajui sheria za nchi? Mbona akina L Mrema walikamata bunduki,wakwepa kodi na wala rushwa hatukuona watu wakichapwa bakora?

Mkuu wa kaya safisha hawa wanaoharibu taswira ya utawala wako.
 
Kudhalilisha mamlaka ya uteuzi ni kosa kubwa sana.

Unakuwa na mkuu wa wilaya ambae anajua fika anamamlaka kisheria ya kukamata mtu akifanya kosa ndani ya wilaya yake. Sheria inatamka wazi anatakiwa akikamata mtu amfikishe polisi kisha mahakamani na sheria ifuate mkondo.

Anakamata watu wanaotumia walemavu kama kitega uchumi,wanawachalaza bakora akiwa na waziri mdogo kama vile hawajui ibara ya 13 ya katiba ya JMT inasemaje juu ya usawa mbele ya sheria.

Mbali ya hayo vipi kuhusu haki ya kusikilizwa mtuhumiwa? Vipi kuhusu mamlaka ya kutoa adhabu?

Nini ambacho kinaendelea hapa Tanzania? Wateule wa rais ambao hawjui sheria za nchi? Mbona akina L Mrema walikamata bunduki,wakwepa kodi na wala rushwa hatukuona watu wakichapwa bakora?

Mkuu wa kaya safisha hawa wanaoharibu taswira ya utawala wako.



Inaonekana yeye mwenyewe anabariki haya maujinga ujinga,hili jambo limefanywa mara ya kwanza amekaa kimya,limejirudia tena mara ya pili,bado kapiga kimya,

Mbona Yule aliyeshindwa kuapa alimtumbua fasta fasta?
 
Kudhalilisha mamlaka ya uteuzi ni kosa kubwa sana.

Unakuwa na mkuu wa wilaya ambae anajua fika anamamlaka kisheria ya kukamata mtu akifanya kosa ndani ya wilaya yake. Sheria inatamka wazi anatakiwa akikamata mtu amfikishe polisi kisha mahakamani na sheria ifuate mkondo.

Anakamata watu wanaotumia walemavu kama kitega uchumi,wanawachalaza bakora akiwa na waziri mdogo kama vile hawajui ibara ya 13 ya katiba ya JMT inasemaje juu ya usawa mbele ya sheria.

Mbali ya hayo vipi kuhusu haki ya kusikilizwa mtuhumiwa? Vipi kuhusu mamlaka ya kutoa adhabu?

Nini ambacho kinaendelea hapa Tanzania? Wateule wa rais ambao hawjui sheria za nchi? Mbona akina L Mrema walikamata bunduki,wakwepa kodi na wala rushwa hatukuona watu wakichapwa bakora?

Mkuu wa kaya safisha hawa wanaoharibu taswira ya utawala wako.
Vipi kama PM Majaliwa angewachapa viboko wale Wakurugenzi wa Bandari!
 
Kudhalilisha mamlaka ya uteuzi ni kosa kubwa sana.

Unakuwa na mkuu wa wilaya ambae anajua fika anamamlaka kisheria ya kukamata mtu akifanya kosa ndani ya wilaya yake. Sheria inatamka wazi anatakiwa akikamata mtu amfikishe polisi kisha mahakamani na sheria ifuate mkondo.

Anakamata watu wanaotumia walemavu kama kitega uchumi,wanawachalaza bakora akiwa na waziri mdogo kama vile hawajui ibara ya 13 ya katiba ya JMT inasemaje juu ya usawa mbele ya sheria.

Mbali ya hayo vipi kuhusu haki ya kusikilizwa mtuhumiwa? Vipi kuhusu mamlaka ya kutoa adhabu?

Nini ambacho kinaendelea hapa Tanzania? Wateule wa rais ambao hawjui sheria za nchi? Mbona akina L Mrema walikamata bunduki,wakwepa kodi na wala rushwa hatukuona watu wakichapwa bakora?

Mkuu wa kaya safisha hawa wanaoharibu taswira ya utawala wako.
Ukiona hawatumbui, kawatuma.
Jiongeze ndugu!
 
Je kama ingekuwa ni ww unaombewa utumbuliwe ili ukalime matikiti ungejiskiaje, tusiwe wachawi kwenye kazi za wenzetu
 
Hawa wanaoteuliwa wanajiona wako peponi kabisa.....inasikitisha sana binafsi naona hao wanaochapwa hawajitambui......bora niende jela kuliko kudhalilishwa maana naweza kufa na mtu,yaani unichape kisa DC,waziri au sijui unacheo gani.

Kuna watu wanateuliwa na wanaitia aibu serikali na kuonekana yote ni ya ovyo.....upumbavu sana huu
 
Kama ana bariki ipo aibu kubwa inafuata.

Hao viongozi walisimamia wizi wa kura, ni sheria gani walifuata? Kama waliweza kushiriki kuchafua uchaguzi ni sheria ipi unawataka wafuate wakati wameona wanaongoza makondoo? Hapo walipo wamelewa madaraka sasa wanawadhalilisha wananchi ambao hawakuwapa kura, bali mabavu ya dola ndio yamewaweka madarakani. Enzi za mkoloni alidhalilisha watu maana hakuwa anatawala kwa ridhaa ya wananchi. Kiongozi aliyepata ridhaa ya wananchi hawezi kuwadhalilisha maana anajua mamlaka yake inatoka kwa watu.
 
Hao viongozi walisimamia wizi wa kura, ni sheria gani walifuata? Kama waliweza kushiriki kuchafua uchaguzi ni sheria ipi unawataka wafuate wakati wameona wanaongoza makondoo? Hapo walipo wamelewa madaraka sasa wanawadhalilisha wananchi ambao hawakuwapa kura, bali mabavu ya dola ndio yamewaweka madarakani. Enzi za mkoloni alidhalilisha watu maana hakuwa anatawala kwa ridhaa ya wananchi. Kiongozi aliyepata ridhaa ya wananchi hawezi kuwadhalilisha maana anajua mamlaka yake inatoka kwa watu.
Weka itikadi zako za Cdm pembeni,jadili ishu kama mtanzania. Hakuna kiongozi anaejua wajibu wake anaweza kuruhusu huu ubaradhuli. Najua uliweka pesa nyingi upate ubunge,wananchi walikukataa tulia tuli na Chadema yako
 
Back
Top Bottom