Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #41
Kwa hiyo unataka tukae kimya hata kama viongozi wanakosea?Chagu wa malundi:
Ni wewe kweli wa kukosoa utendajikazi wa serikali hii uliyoipigania kwa nguvu zako zote?
Nikupe angle za kuona mtakavyocharazwa bakora za kutosha siku za usoni na msiweze kujitetea. Mlivyoitwa wanyonge na yeye ni mtetezi wa wanyonge ulitakiwa kujua alimaanisha kuwa ninyi ni wanyonge na mtaendelea kuwa wanyonge Hadi atakapotwaliwa mawinguni!
1: wafanyabiashara unajua walichofanyiwa na wanachofanyiwa Hadi Sasa.
2: ajira kuminywa ili mkose nguvu na jeuri ya pesa.
Na huu ndio uzalendo unaofundishwa kwa kulambwa bakora. Kuwa mpole.
Malaika hakosei Bali wewe uliyempigania ndiye mwenye makosa!Kwa hiyo unataka tukae kimya hata kama viongozi wanakosea?
HAKUNA KUTUMBUA WALA NINIKudhalilisha mamlaka ya uteuzi ni kosa kubwa sana.
Unakuwa na mkuu wa wilaya ambae anajua fika anamamlaka kisheria ya kukamata mtu akifanya kosa ndani ya wilaya yake. Sheria inatamka wazi anatakiwa akikamata mtu amfikishe polisi kisha mahakamani na sheria ifuate mkondo.
Anakamata watu wanaotumia walemavu kama kitega uchumi,wanawachalaza bakora akiwa na waziri mdogo kama vile hawajui ibara ya 13 ya katiba ya JMT inasemaje juu ya usawa mbele ya sheria.
Mbali ya hayo vipi kuhusu haki ya kusikilizwa mtuhumiwa? Vipi kuhusu mamlaka ya kutoa adhabu?
Nini ambacho kinaendelea hapa Tanzania? Wateule wa rais ambao hawajui sheria za nchi? Mbona akina L Mrema walikamata bunduki,wakwepa kodi na wala rushwa hatukuona watu wakichapwa bakora?
Mkuu wa kaya safisha hawa wanaoharibu taswira ya utawala wako.
Pm ni civilized kiki hazina rooms kwakeVipi kama PM Majaliwa angewachapa viboko wale Wakurugenzi wa Bandari!
Mara ya kwanza hakukaa kimya alimpongeza Chalamila!Inaonekana yeye mwenyewe anabariki haya maujinga ujinga,hili jambo limefanywa mara ya kwanza amekaa kimya,limejirudia tena mara ya pili,bado kapiga kimya,
Mbona Yule aliyeshindwa kuapa alimtumbua fasta fasta?
Kumbuka kila mtanzania ana wajibu wa kuheshimu sheria za nchi. Kushabikia upigwaji bakora hadharani ni kukosa busara.Mi5 tena. Kazia hapo hapo mzee Magu.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Mkuu nae kwenye mmamuzi huwa anajishauri sana, uongo ndugu zangu?Kudhalilisha mamlaka ya uteuzi ni kosa kubwa sana.
Unakuwa na mkuu wa wilaya ambae anajua fika anamamlaka kisheria ya kukamata mtu akifanya kosa ndani ya wilaya yake. Sheria inatamka wazi anatakiwa akikamata mtu amfikishe polisi kisha mahakamani na sheria ifuate mkondo.
Anakamata watu wanaotumia walemavu kama kitega uchumi,wanawachalaza bakora akiwa na waziri mdogo kama vile hawajui ibara ya 13 ya katiba ya JMT inasemaje juu ya usawa mbele ya sheria.
Mbali ya hayo vipi kuhusu haki ya kusikilizwa mtuhumiwa? Vipi kuhusu mamlaka ya kutoa adhabu?
Nini ambacho kinaendelea hapa Tanzania? Wateule wa rais ambao hawajui sheria za nchi? Mbona akina L Mrema walikamata bunduki,wakwepa kodi na wala rushwa hatukuona watu wakichapwa bakora?
Mkuu wa kaya safisha hawa wanaoharibu taswira ya utawala wako.
Kwa hiyo wateule wa mheshimiwa hawana busara?Kumbuka kila mtanzania ana wajibu wa kuheshimu sheria za nchi. Kushabikia upigwaji bakora hadharani ni kukosa busara.
Hawa wanaochapa watu bakora,hawana busara kabisa.Kwa hiyo wateule wa mheshimiwa hawana busara?
Hahhaaa basi aliyewateua hakutumia busara kwenye kuchaguaHawa wanaochapa watu bakora,hawana busara kabisa.
Hapana.Hahhaaa basi aliyewateua hakutumia busara kwenye kuchagua
Mara ya kwanza hakukaa kimya alimpongeza Chalamila!
Kwa ujinga zaidi,"eti KUNA WAZIRI ANAYEHUSIKA NA UTAWALA BORA!Kudhalilisha mamlaka ya uteuzi ni kosa kubwa sana.
Unakuwa na mkuu wa wilaya ambae anajua fika anamamlaka kisheria ya kukamata mtu akifanya kosa ndani ya wilaya yake. Sheria inatamka wazi anatakiwa akikamata mtu amfikishe polisi kisha mahakamani na sheria ifuate mkondo.
Anakamata watu wanaotumia walemavu kama kitega uchumi,wanawachalaza bakora akiwa na waziri mdogo kama vile hawajui ibara ya 13 ya katiba ya JMT inasemaje juu ya usawa mbele ya sheria.
Mbali ya hayo vipi kuhusu haki ya kusikilizwa mtuhumiwa? Vipi kuhusu mamlaka ya kutoa adhabu?
Nini ambacho kinaendelea hapa Tanzania? Wateule wa rais ambao hawajui sheria za nchi? Mbona akina L Mrema walikamata bunduki,wakwepa kodi na wala rushwa hatukuona watu wakichapwa bakora?
Mkuu wa kaya safisha hawa wanaoharibu taswira ya utawala wako.
Kwani kuwa CCM ndio kuwa mwizi na mvunja sheria?Chama siyo utaifa.Weka itikadi zako za Cdm pembeni,jadili ishu kama mtanzania. Hakuna kiongozi anaejua wajibu wake anaweza kuruhusu huu ubaradhuli. Najua uliweka pesa nyingi upate ubunge,wananchi walikukataa tulia tuli na Chadema yako