Rais Magufuli, tunaomba ufanye interview na media. Usikae tu baba, mataifa wanahitaji kukusikia

Rais Magufuli, tunaomba ufanye interview na media. Usikae tu baba, mataifa wanahitaji kukusikia

Brightg

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
372
Reaction score
662
Hili ni ombi langu kwa Rais John Joseph Pombe Magufuli, tunahitaji kusikia unaongea ma media iwe BBC, Aljazeera au Sauti ya Amerika au media za hapa ndani.

Toka umeingia madarakani hatujasikia ukiongea nao ili utupe maono yako na ujibu maswali mbalimbali ambayo tunahitaji kujua.

Ahsante kwa kutuelewa wananchi wako.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Muoga na muongo, ataishia kuharibu badala ya kujenga. Hana ushawishi wala upeo wa kujibu na kujieleza.

Kama huamini hilo muulize Pasco Mayala (kada wa CCM) na Sam Awadhi (mwandishi wa BBC) nini kiliwakuta siku ile pale ikulu walipomuuliza maswali.
 
BBC imemtafuta kwa hali na mali kuweza kumuhoji bila mafanikio. Mpaka juzi, Zuhura Yunus anasema Magufuli anakwepa kabisa kufanya mahojiano nao. Alipoulizwa Bashiru kwanini hilo liko hivyo, akasema hajui ni kwanini na hawezi kuingilia protokali ya Rais Magufuli.
 
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate
 
BBC imemtafuta kwa hali na mali kuweza kumuhoji bila mafanikio. Mpaka juzi, Zuhura Yunus anasema Magufuli anakwepa kabisa kufanya mahojiano nao. Alipoulizwa Bashiru kwanini hilo liko hivyo, akasema hajui ni kwanini na hawezi kuingilia protokali ya Rais Magufuli.

Umburula ni kama kabila huwezi ku-graduate kuwa kitu kingine.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate
Umeandika nje ya context.
Kufanya mkutano ya kampeni ni jambo lingine na kufanya mahojiano ni jambo lingine tofauti.

Mahojiano na waandishi yanatoa nafasi kwa watu kukuhoji, kukupima upeo wako na kukutaka uzungumze kitu kwa akili yako nje ya kile ulichokaririshwa. Kifupi mahojiano halisi ni kama kufanya mtihani kwa mwanafunzi.

Magufuli hayuko tayari kwa hilo.
 
Umeandika nje ya context.
Kufanya mkutano ya kampeni ni jambo lingine na kufanya mahojiano ni jambo lingine tofauti.

Mahojiano na waandishi yanatoa nafasi kwa watu kukuhoji, kukupima upeo wako na kukutaka uzungumze kitu kwa akili yako nje ya kile ulichokaririshwa. Kifupi mahojiano halisi ni kama kufanya mtihani kwa mwanafunzi.

Magufuli hayuko tayari kwa hilo.
Kwa ufupi n kwamba, kama kigezo cha yeye kushinda n kuwa mbele ya media bc angefanya hvy na hayo ya kuwa mbele ya media sio sheria kwamba lazima awepo, kama kuna mwingine ameona yeye n bora kuwepo mbele ya media bc atafanya hvy ili apate anachotaka
 
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate
Hujui hata umuhimu wa raisi kuongea na International Media!!!?
kuna faida nyingi mojawapo ni kujenga confidence kwa current na future investors....Tz
 
Hili ni ombi langu kwa Rais John Joseph Pombe Magufuli, tunahitaji kusikia unaongea ma media iwe BBC, Aljazeera au Sauti ya Amerika au media za hapa ndani.

Toka umeingia madarakani hatujasikia ukiongea nao ili utupe maono yako na ujibu maswali mbalimbali ambayo tunahitaji kujua.

Ahsante kwa kutuelewa wananchi wako.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
Anagombea urais wa tz sio wa hayo mataifa. Muulize lissu alivyofanya interview bbc na voa leo anafaidikaje kwa wananchi wa tanzania?
 
Magufuli is a country bumpkin,usitegemee kitu kama hicho
450908765.jpg
 
Amechaguliwa na Watanzania, anatakiwa kuongea na Watanzania!
Ndio kachaguliwa na watanzania , pia kuna maswali mengi Sana watanzania hawana majibu na yy ndio wakutoa hayo majibu na hajawahi hata siku moja kutoa nafasi yakuulizwa chochote , swala LA kuulizwa maswali na kuyajibu pia inajenga imani Fulani kwa wananchi anaowaongoza , sio yeye kuongea tuu pasipo kuulizwa chochote ,
Hii inapelekea kuondoa imani kwa baadhi ya watu na kuona kua hajiamini
 
Back
Top Bottom