Rais Magufuli, tunaomba ufanye interview na media. Usikae tu baba, mataifa wanahitaji kukusikia

Rais Magufuli, tunaomba ufanye interview na media. Usikae tu baba, mataifa wanahitaji kukusikia

Hili ni ombi langu kwa Rais John Joseph Pombe Magufuli, tunahitaji kusikia unaongea ma media iwe BBC, Aljazeera au Sauti ya Amerika au media za hapa ndani.

Toka umeingia madarakani hatujasikia ukiongea nao ili utupe maono yako na ujibu maswali mbalimbali ambayo tunahitaji kujua.

Ahsante kwa kutuelewa wananchi wako.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
Kuongea kote anakofanya kwa miaka mitano wakati wenzake kawafunga mdomo hakujakutosha?
 
Alipoingia 2015,tulisema huyu mtendaji sio msemaji.
Kama una maswali juu ya serkali,mtafute msemaji wa serkali.
Kama wana maswali juu ya wizara,wamtafute waziri husika.
Kama ni wananchi wana haja nae,wamwendee mwakilishi wao wa jimbo (Mbunge),atayafikisha kwa Rais.
Kama mataifa wana haja nae,basi kuna mabalozi wa serkali,wawahoji hukohuko,laaah hawakuwapata,basi wamtafute Kabudi.
Muacheni mtendaji,ana mambo mengi ya kufanya bado anahitaji muda wa kutekeleza.
Km hakuongea na vyombo vya ndani kwa miaka 5,hivyo vya nje akafanye nn huko?
Subiri akichaguliwa atawaita waandishi wote ikulu,mtauliza maswali yenu yatunzenu,tu.
 
Huyu magu hawez kabisa kujieleza na hana haiba ya uanasiasa, nimtu mwenye jeuri majivuno ka kiburi. Na sikuzote watu wenye uelewa mdogo hutumia nguvu kubwa kwenye mambo yake. Hivo swala la inteeview ni ndoto kwake
Pamoja na kwamba simkubali ki maamuzi ila kusema anauelewa mdogo sio kweli.Yule mwamba hutoa takwimu bila karatasi .Uelewa mdogo maana take nini ? Mtu mwenye digrii tu ana uelewa mkubwa sembuze PhD + uzoefu wa ubunge na uwaziri na aasa uraisi miaka 5.Huwezi kusoma chemistry na hesabu kama una uelewa mdogo. Labda ungesema ana madharau, haamini wengine nk ningekuelewa.
 
Hili ni ombi langu kwa Rais John Joseph Pombe Magufuli, tunahitaji kusikia unaongea ma media iwe BBC, Aljazeera au Sauti ya Amerika au media za hapa ndani.

Toka umeingia madarakani hatujasikia ukiongea nao ili utupe maono yako na ujibu maswali mbalimbali ambayo tunahitaji kujua.

Ahsante kwa kutuelewa wananchi wako.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

Alipotuambia watanzania kuhusu corona kwenye mbuzi na mapapai na kuikataa lockdown walimsikia sanaaa na wakamwogopa na kumchukia zaidi
 
Anagombea urais wa tz sio wa hayo mataifa. Muulize lissu alivyofanya interview bbc na voa leo anafaidikaje kwa wananchi wa tanzania?

Kwa hiyo unataka kusema anachokiongea kwenye majukwaa kila mtu anakielewa. Hakuna mwenye maswali wala hawezi kutolea ufafanuzi baadhi ya matamko yake yenye kuleta maswali.
 
Mkuu tujiulize, ni kiongozi gani wa afrika alisha muhoji macron, au trump au queen elizabeth.
Sisi tukikataa wakorofi

Unachanganya mada, issue sio kiongozi wa Afrika kuhoji Trump Bali media kuhoji rais /mgombea. Na kuhusu viongozi wa Afrika kuhoji marais wa USA mbona ziko nyingi tuu wenyewe wanaita MAZUNGUMZO.
 
Hili ni ombi langu kwa Rais John Joseph Pombe Magufuli, tunahitaji kusikia unaongea ma media iwe BBC, Aljazeera au Sauti ya Amerika au media za hapa ndani.

Toka umeingia madarakani hatujasikia ukiongea nao ili utupe maono yako na ujibu maswali mbalimbali ambayo tunahitaji kujua.

Ahsante kwa kutuelewa wananchi wako.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
Hana uwezo. He is simply incapacitated.
 
BBC imemtafuta kwa hali na mali kuweza kumuhoji bila mafanikio. Mpaka juzi, Zuhura Yunus anasema Magufuli anakwepa kabisa kufanya mahojiano nao. Alipoulizwa Bashiru kwanini hilo liko hivyo, akasema hajui ni kwanini na hawezi kuingilia protokali ya Rais Magufuli.
Tatizo lugha kaka
 
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate

Huna akili
 
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate
Kwahiyo unashauri watu wasihoji..!??
 
Back
Top Bottom