Rais Magufuli, tunaomba ufanye interview na media. Usikae tu baba, mataifa wanahitaji kukusikia

Rais Magufuli, tunaomba ufanye interview na media. Usikae tu baba, mataifa wanahitaji kukusikia

Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate
Unajichanganya sana mzee.
Pale unapomuona kwenye kampeni zake kunakuwa na mahojiano?. Hatutaki aonekane kwenye Tv maana hii kila siku anakuwa live tunataka mahojiano asiwapeleke wakina bashiru wao sio wagombea.

Halafu "yeyote akishinda ni sawa" wewe utakuwa na matatizo kama huoni utofauti.
 
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate
Mkuu urais ni taasisi kubwa no one katika nchi.so inatakiwa iongozwe na MTU mwenye uwezo na upeo mkubwa katika kila jambo.
Sasa kuhojiwa tu na MTU kama zuhura uunus amabae hata sio hata PhD holder unapiga chenga.apishe wenye uwezo washike usukani,kwa kuwa yeye alisukumizwa huko.
 
Hili ni ombi langu kwa Rais John Joseph Pombe Magufuli, tunahitaji kusikia unaongea ma media iwe BBC, Aljazeera au Sauti ya Amerika au media za hapa ndani.

Toka umeingia madarakani hatujasikia ukiongea nao ili utupe maono yako na ujibu maswali mbalimbali ambayo tunahitaji kujua.

Ahsante kwa kutuelewa wananchi wako.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
Asubutuuu!!!
 
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate
[/Q
Kwenye kampeni anajieleza kwa namna anavyotaka yeye lakini mahojiano yatampima mambo mengi ikiwemo ujibuji wa hoja ila kubwa zaidi nikujibu maswali ambayo wananchi wanajiuliza
 
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate
Mkuu kwenye kampeni ni hotuba tu hakuna maswali yanayoulizwa na raia wala wana habari.
 
Anagombea urais wa tz sio wa hayo mataifa. Muulize lissu alivyofanya interview bbc na voa leo anafaidikaje kwa wananchi wa tanzania?
Mkuu mahojiano Kati ya Lissu na bbc ama voa yalileta tija kubwa watu wengi walisikia mengi kutoka kwa Lissu na hii nyomi unayoiona kwenye mikutano ya kampeni ni zao la hayo mahojiano.

Kwanini?Kwasababu kipindi anafanyia mahojiano story zake zili trend mno hivyo kufanya watu wengi kumfatilia.
 
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate
Wewe ndiyo hujitambui !!. Unapofanya mahojiano ni tofauti na mtu anayefanya campaign. Unafanya mahojiano au mdahalo unaulizwa maswali ya msingi na kuyatafutia majibu.

Lakini unapofanya campaign unasema unayoyapenda wewe. Kwenye mapungufu yako hutapaingelea, na hapo ndipo palipo na shida
 
Hili ni ombi langu kwa Rais John Joseph Pombe Magufuli, tunahitaji kusikia unaongea ma media iwe BBC, Aljazeera au Sauti ya Amerika au media za hapa ndani.

Toka umeingia madarakani hatujasikia ukiongea nao ili utupe maono yako na ujibu maswali mbalimbali ambayo tunahitaji kujua.

Ahsante kwa kutuelewa wananchi wako.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
Wao maraisi wa ulaya mbona hawahojiwi na maraisi wa africa
 
Anagombea urais wa tz sio wa hayo mataifa. Muulize lissu alivyofanya interview bbc na voa leo anafaidikaje kwa wananchi wa tanzania?
Imesababisha wananchi wawe na imani naye. Kama huwezi kuona faida yake, basi huko Ccm mna mapungufu sana
 
Hili ni ombi langu kwa Rais John Joseph Pombe Magufuli, tunahitaji kusikia unaongea ma media iwe BBC, Aljazeera au Sauti ya Amerika au media za hapa ndani.

Toka umeingia madarakani hatujasikia ukiongea nao ili utupe maono yako na ujibu maswali mbalimbali ambayo tunahitaji kujua.

Ahsante kwa kutuelewa wananchi wako.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
Hapangiwi....!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate
hata kwenye hili watu wanatetea. kuweni na aibu jamani
 
BBC imemtafuta kwa hali na mali kuweza kumuhoji bila mafanikio. Mpaka juzi, Zuhura Yunus anasema Magufuli anakwepa kabisa kufanya mahojiano nao. Alipoulizwa Bashiru kwanini hilo liko hivyo, akasema hajui ni kwanini na hawezi kuingilia protokali ya Rais Magufuli.
aisee, hapa ni shida kabisa mbona kikwete na mkapa walikuwa wanaongea sana na media, kwanza wakitoka tu safari wanaongea hata wakiwa nchini wanapigiwa simu wanaongea dah mzee baba
 
aisee, hapa ni shida kabisa mbona kikwete na mkapa walikuwa wanaongea sana na media, kwanza wakitoka tu safari wanaongea hata wakiwa nchini wanapigiwa simu wanaongea dah mzee baba
Mkuu tujiulize, ni kiongozi gani wa afrika alisha muhoji macron, au trump au queen elizabeth.
Sisi tukikataa wakorofi
 
We ulishaona maraisi wa ulaya wanahojiwa na media za kiafrika kirahisi. Yani sisi ndo tumejishusha thamani wenyewe
Wewe ndiyo hujitambui !!. Unapofanya mahojiano ni tofauti na mtu anayefanya campaign. Unafanya mahojiano au mdahalo unaulizwa maswali ya msingi na kuyatafutia majibu.

Lakini unapofanya campaign unasema unayoyapenda wewe. Kwenye mapungufu yako hutapaingelea, na hapo ndipo palipo na shida
 
aisee, hapa ni shida kabisa mbona kikwete na mkapa walikuwa wanaongea sana na media, kwanza wakitoka tu safari wanaongea hata wakiwa nchini wanapigiwa simu wanaongea dah mzee baba
ukiona mtu anaongea kwa jazba na kufoka ujue ni mweupe,anatumia jazba na kufoka kuficha udhaifu.interviews ni maswali
 
ukiona mtu anaongea kwa jazba na kufoka ujue ni mweupe,anatumia jazba na kufoka kuficha udhaifu.interviews ni maswali
Kwani misaada na wawekezaji wanatoka Africa kwenda huko duniani au duniani kuja Africa?Maskini hawezi kumuhoji tajiri hata siku moja coz maskini anamuhitaji tajiri kuliko tajiri anavyomuhitaji
 
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate
Hivi unawajua waandishi wa habari wa Aljazira wewe ,BBC au CNN??achana kabisa na hizo media.Mbele ya kampeni anazofanya maeneo mbalimbali nchini Tz kwani kuna sehemu anatoa nafasi ya kuuliza maswali?usifananishe hoja za kwenye kampeni na interviews za hayo mashirika ya habari.
 
Kwani misaada na wawekezaji wanatoka Africa kwenda huko duniani au duniani kuja Africa?Maskini hawezi kumuhoji tajiri hata siku moja coz maskini anamuhitaji tajiri kuliko tajiri anavyomuhitaji
Umasikini ni nn. Au umasikini kwa standard za ulaya.
 
Hv kwan n lazima kukaa mbele ya media hvy mnavotaka, kwan akiwa kwenye kampeni pale sio mbele ya media.?

mbona akiwa tofauti na mkoa niliopo hua namskia kupitia tv, radio na mengineo.! au hizo sio media.?

Ifike wakati watanzania tujitambue, kama kuna changamoto kwa serikali uliopo madarakani bc usidhan huyo mwingine unayemtaka atakuja na solution hapo kwa papo, kama n ajira tujue ajira n janga la dunia mzima.

Binafsi yeyote atakaye-shinda mm naona n sawa tuu, maana mwisho wa siku ataanza kuangalia tumbo lake kwanza ndipo hayo mengine yafuate

magufuli kazidisha media unazozisikia zote kazi yake kumsifia tu, ina maana hakosei ? magufuli ni rais mbovu kuwah kutokea hawez kukubali kuhojiwa na IM sababu ana blunder nying asizoweza kuzitolea maelezo
 
Back
Top Bottom