Rais Magufuli, tunaomba ufanye interview na media. Usikae tu baba, mataifa wanahitaji kukusikia

Mkuu tujiulize, ni kiongozi gani wa afrika alisha muhoji macron, au trump au queen elizabeth.
Sisi tukikataa wakorofi
Ndugu sio viongozi waulaya wamuhoji ila ni waandishi wa habari wamuhoji, trump anahojiwa kila kukicha na waandishi wa habari
 
Sipangiwi mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…