Demokrasia ya Africa unazungumzia hii ya Kick the ace kwa Opposition? Yaani hii iliyofanyika kwenye serikali za Mitaa? Nikuulize swala moja, kwa Mungu hakuna linalowezeka, hivi ikaja ikatokea wapinzani wakatwaa Madaraka na wakaendeleza haya yanayofanya na Serikali ya CCM, hivi utaridhika? Nataka useme kwa ukweli wa nafsi yako utaiita ni demokrasia?Eksipiriensi yangu ni kwa uchaguzi wa Tanzania tuu. Hapa tunazungumzia uchaguzi wa Tanzania na demokrasia ya ki Tanzania ambayo ni sehemu ya African democracy.
P
Akili kubwa my butt
Eksipiriensi yangu ni kwa uchaguzi wa Tanzania tuu. Hapa tunazungumzia uchaguzi wa Tanzania na demokrasia ya ki Tanzania ambayo ni sehemu ya African democracy.
P
Siyo sera ya ccm bali ndo sera ya kuombea kuraaaUnajisifia kwa kutoa rushwa, tena eti rushwa ya banana na maji! Hiyo siyo sera ya CCM
,Mkuu Pascal Mayalla hebu tujikumbushe kidogo hapa kabla hujajiunga nao kweli ulikuwa moto sana!!.Mkuu Ngambo Ngali, hizi ni trends, baada ya kushuhudia kilichotokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na kimekubalika, then hicho ndio kiwango chetu cha uchaguzi huru na wa haki na hiki ndicho kitakacho tokea kwenye uchaguzi Mkuu.
Trends za uchaguzi Mkuu wa mwaka huu niliziweka hapa mwaka jana baada ya matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa
PUchaguzi 2020 - Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
Wanabodi, Kuna msemo wa Waswahili usemao, " Mwanzo wa ngoma ni lele" na "Dalili ya Mvua ni Mawingu". Tukubali, tukatae, huu ushindi wa kishindo cha Magufuli, cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni mawingu tuu ya dalili za mvua, lakini mvua yenyewe ni Uchaguzi Mkuu wa 2020...www.jamiiforums.com
P hawezi kuteuliwa asilani! Kwa kosa la kumuuliza JPM maswali ya kuudhi. P kaanza kuimba mapambio ya kusifu akiwa tayari kamtibua JPM.Napata raha sana kuona msomi Pascal Mayala hujateuliwa licha ya kujikomba kila dakika
Utamuamini kama wewe unaamini kuwa yeye ndiye ameshusha bei ya Sukari ya Kikwete Tzs. 5000 kuwa bei ya JPM Tzs. 3000. Kama maccm wa Arusha walivyo amini.Hivi ni nani wa kumuamini huyu mtu?
Lakimi pia Pascal Mayalla anajua kuzichanga karata zake vizuri,Maana ameona waandishi wenzake wanavyopotea na kutiwa ndani hivyo imebidi tu aitumie kalamu yake kwa kujiunga na Praise & Worship Team ili tu apate mkate wake wa kila siku,Hata hivyo mimi bado naamini wanaweza kumfikilia katika awamu hii ya ,miaka mitano hata tu Ubalozi unatosha maana kiukweli anapambana sana humu.P hawezi kuteuliwa asilani! Kwa kosa la kumuuliza JPM maswali ya kuudhi. P kaanza kuimba mapambio ya kusifu akiwa tayari kamtibua JPM.
Mkuu Mtambwe, demokrasia halisi inapaswa kuwa ni ...Demokrasia ya Africa unazungumzia hii ya Kick the ace kwa Opposition? Yaani hii iliyofanyika kwenye serikali za Mitaa? Nikuulize swala moja, kwa Mungu hakuna linalowezeka, hivi ikaja ikatokea wapinzani wakatwaa Madaraka na wakaendeleza haya yanayofanya na Serikali ya CCM, hivi utaridhika? Nataka useme kwa ukweli wa nafsi yako utaiita ni demokrasia?
Ndugu yangu Mayalla, wewe unafikiri upinzani wa kweli utatokea wapi? Upinzani wa kweli utatokea CCM. Wewe unasema unauzoefu wa Uchaguzi tokea 1995. Mimi nimeanza kupiga kura tokee 1985 na wakati huo CCM ikipata 100%. Inakuaje Leo ikipigwa kura wanapata 60% tena za udanganyifu? Kwani hao wote unaowaita wapinzani (makuadi wa Mabeberu) sio walikuwa CCM?Mkuu Mtambwe, demokrasia halisi inapaswa kuwa ni ...
Serikali ya Watu
Inayochaguliwa na Watu
Ili Kuwatumikia Watu walioichagua yaani
Of The People, By The People and for The People.
The African Democracy ni serikali ya Mtu inayejiweka Mwenyewe, na kuteua Watu wa Kumtumikia Mtu!,
Kwenye hili la Mungu naomba nikurekebishe, sio hakuna linalowezekana, bali kwa Mungu hakuna lisilowezekana.
Ukitokea muujiza wa Mungu, wapinzani wakatwa madaraka kimiujiza, then huo ndio utakuwa mwisho mbaya wa CCM, swali linabaki ni wapinzani gani hao hata wakutwaa madaraka kimiujiza?. Hili nimewahi kulizungumza humu.
Poa soma hapa kuhusu waota ndotoCCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?
Wanabodi, Baada ya vyama vya upinzani kupata ushindi wa matumaini na CCM kuporwa mitaa na vijiji kadhaa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kumefufua matumaini ya uwezekano wa CCM kushindwa jumla katika uchaguzi mkuu ujao, hivyo kuweka possibility ya CCM kuwa ni chama cha upinzani Tanzania...www.jamiiforums.com
Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla
Preamble!. "Ukiona mwenzako ananyolewa!" na "Ukiona kwa mwenzako kuna ungua!, kwako kunateketea!" Wale wote wenye matumaini na mategemeo kuwa kuna siku upinzani wa nchi hii, utakuja kushika dola!, hawa ni wishful thinkers na day dreamers, wanao ota ndoto za mchana, wasahau kabisa!. Lengo la...www.jamiiforums.com
Kwenye hili la kuishi kwa kutumainia muujiza, pia nimekuzunguza humu kuwa tuna watu wa aina mbili, wishful thinkers na realists, wishful thinkers wanaishi kwenye utopia, na day dreaming, ma realists wanaishi kwenye ukweli, hivyo kama unaamua kuishi kwenye ndoto ukisubiria muujiza wa wapinzani kutwaa madaraka, it's your right, lakini mimi ni realist ninayekuambia ukweli mtupu wa kitu kilichopo Tanzania ni CCM kutawala milele.
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
P
Wengi humu huwa wanashindwa kumuelewa Pascal. Na kwa muktadha huo, nachelea kusema JF ina vilaza wengi sana. Kama mtu anashindwa kung'amua 'sarcastic remarks' vipi aweze kuelewa big issues. Nimesoma comments naona wote wanamlaumu pasipo kumuelewa.