Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,363
Pascal Mayalla,
Pascal,
Kuita kilichotokea mwaka Jana kuwa ni uchaguzi ni keleta dhihaka kwenye mfumo mzima wa demokrasia. Ule hauluwa uchaguzi hata kidogo, na haukidhi hata nusu vya kufanya uchaguzi, achilia mbali uchaguzi ulio guru na haki.
Kama kilichitokea mwaka jana ndio kitatokea kwenye uchaguzi mkuu (ambapo imejitokeza Mara kadhaa kwenye uchaguzi ndogo) basis ni dhahiri uchaguzi hautakuwa hiru na haki.
Naleta tena swali langu ambalo ulilikwepa kwenye post nyingine " ni nini kinakufanya useme tume ya uchaguzi ni huru"??
Pascal,
Kuita kilichotokea mwaka Jana kuwa ni uchaguzi ni keleta dhihaka kwenye mfumo mzima wa demokrasia. Ule hauluwa uchaguzi hata kidogo, na haukidhi hata nusu vya kufanya uchaguzi, achilia mbali uchaguzi ulio guru na haki.
Kama kilichitokea mwaka jana ndio kitatokea kwenye uchaguzi mkuu (ambapo imejitokeza Mara kadhaa kwenye uchaguzi ndogo) basis ni dhahiri uchaguzi hautakuwa hiru na haki.
Naleta tena swali langu ambalo ulilikwepa kwenye post nyingine " ni nini kinakufanya useme tume ya uchaguzi ni huru"??