dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Kuna wadanganyika watarukaruka kwa shangwe kutukuza jiwe kwa hii porojo figganigga
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dom kuna upepo wa dhiki. Kwa maendeleo sayansi na tekinologia e government, amani na utulivu hoja za Dodoma makao kwa zama hizi hazikuwa na mashiko. Uwekezaji Dom ungewekezwa ktk miundombinu umwagiliaji kilimo na kilimo tungelisha Africa.
Haaaminiki, aliongeza siku 20 zimepita watu wanaendelea kusajili kapiga kimya.Mheshimiwa hajahamia Dodoma
Napata raha sana kuona msomi Pascal Mayala hujateuliwa licha ya kujikomba kila dakikaHii ni ahadi nzuri sana, na victory margin ni ile ile ya 99.9% kama kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
P
Ni kweli bila tume huru ya uchaguzi hakuna uchaguzi huru na wa haki.Kama anasema hivyo aonyeshe mpango mkakati wa kuunda tume huru ya uchaguzi, vinginevyo hizo hadithi akasimulie kwao
Subiri October!Anawazuga hao mabalozi, ukweli ni kuwa yeye hasa ndio tatizo la chaguzi zetu kwa sasa. Kama kweli anaamini katika chaguzi huru na haki, tuwe na tume huru ya uchaguzi isiyoundwa wala kuchukua maagizo kutoka kwake. Kinyume na hapo ni kuwa anaongea maneno ya kufurahisha genge.
Subiri october!
Ni kweli!Hii ni ahadi nzuri sana, na victory margin ni ile ile ya 99.9% kama kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
P
Amekumbuka kuwaambia hao Mabalozi kuwa kuna maagizo alishatoa kwa Wakurugenzi wake yakua amewateua yeye, magari amewapa yeye na mafuta amewapa yeye, aje asikie WAMETANGAZA MPINZANI KASHINDA?
Bashiri alisema uchaguzi mkuu ni photocopy ya ule wa mitaa
Hii ni ahadi nzuri sana, na victory margin ni ile ile ya 99.9% kama kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
P