Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Asishindwe yeye amekuwa Mungu? Mbona Kabuye alimshinda ubunge tena mara mbiliJPM kushindwa u Rais , ni sawa na jua lianze kutoka magharibi kwenda mashariki, au mvua ianze kunyesha kutokea ardhini kwenda mawinguni au mwezi uanze kuangaza mchana na jua usiku.
Epukeni kujipa matumaini hewa ambayo hapo baadae yatawaacha na simanzi kubwa huku mioyo imejaa machozi kwa kutokuamini kile kilichotokea