wilmar
JF-Expert Member
- Nov 27, 2018
- 416
- 1,113
aMagufuli hata akishindwa uchaguzi na figisu zake zote ni king'ang'anizi hivyo ni ngumu sana kuwa tayari kuachia madaraka.
Kwa kipindi chake tu hiki cha kwanza cha miaka 5 ameonyesha kila dalili za kutaka kuwa Rais asiye na ukomo wa madaraka.
Watanzania tuamke Magufuli anaharibu nchi.