Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ukishindwa uchaguzi uko tayari kukabidhi Ikulu?

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ukishindwa uchaguzi uko tayari kukabidhi Ikulu?

Magufuli hata akishindwa uchaguzi na figisu zake zote ni king'ang'anizi hivyo ni ngumu sana kuwa tayari kuachia madaraka.

Kwa kipindi chake tu hiki cha kwanza cha miaka 5 ameonyesha kila dalili za kutaka kuwa Rais asiye na ukomo wa madaraka.

Watanzania tuamke Magufuli anaharibu nchi.
a
JamiiForums-826045662_235x197.jpg
 
Mara zote huwa napenda kuwakumbusha wakati wa uboreshaji wa taarifa kwenye daftari la kudumu la mpiga kura.

CCM ilihamasisha sana watu wake tofauti na nyie mlikuwa mnawaambia wagomee, tena wengine walikuwa wanapost picha mitandaoni kwa furaha kabisa kwamba vituoni hakuna watu na hilo ndio litawagharimu, msitegemee kupata ushindi eti kutoka kwa wana CCM wanaomchukia JPM
Fake information.
 
Mara zote huwa napenda kuwakumbusha wakati wa uboreshaji wa taarifa kwenye daftari la kudumu la mpiga kura.

CCM ilihamasisha sana watu wake tofauti na nyie mlikuwa mnawaambia wagomee, tena wengine walikuwa wanapost picha mitandaoni kwa furaha kabisa kwamba vituoni hakuna watu na hilo ndio litawagharimu, msitegemee kupata ushindi eti kutoka kwa wana CCM wanaomchukia JPM
Sasa ndugu unafikiri rais anachaguliwa nawanachama tu siokweli unaweza amasisha nauliowamasisha wakakuchapa hata mm niccm lakini tumepigika wote au tunaisoma namba ngoja nikupe orodha ya makundi yalioumizwa utawala huu alafu jiulize ndani yake hawamo ccm unafikiri wataipa ccm alafu utanijibu
1 wavuvi
2 vyeti feki
3 korosho
4 pamba
5 kahawa
6 bomoabomoa bila fidia
7ccm waliosota nafasizao kuchukuliwa na wageni toka upinzani
8 kupandamadaraja na mishahara kwa watumishi
9 ajira watu wakada mbalimbali wapo mtaani
10 ukame wamzunguko wapesa
11 rambirambi kagera
12 kutoweka watu na kushambuliwa nawasio julikana
13kwa mujibu wa mh lisu kunawatu wanauwawa sana hifadhini
Nk naona niishie hapo kwasasa nisikukatishe tamaa ila nifikra zangu tu sio mipango mipango anayo mungu lolote linaweza kutokea
 
Hilo la picha kushangilia vituo tupu vya kujiandikisha nalikumbuka sana.
Ile Picha ilikua kwenye kujiandikisha kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ambayo tayari chadema walikua wameisusia Ndo maana uliona Picha za kucheka vituo kua wazi ila kwenye uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura watu walijitokeza tena kulikua na foleni kubwa tu especially kwa mazingira ninayoishi mimi
 
Rais Magufuli kama mgombea wa Chama tawala, anatakiwa kutoa tamko la kukubali matokeo kwa namna yoyote yatakavyokuwa. Itakuwa jambo la hekima kujitokeza hadharani na kuonesha msimamo wake.

Mpinzani wake mkuu, Lissu, ameshasema kuwa akishinda au kushindwa kwa haki, yupo tayari kukubali matokeo.

Wote hawa wanaamini watashinda, lakini je Magufuli ukishindwa utakubali?

TUNAOMBA MSIMAMO WAKO KWA HILI
Nani kakuambia atashindwa? Kuwa siliasi kidogo
 
Sasa ndugu unafikiri rais anachaguliwa nawanachama tu siokweli unaweza amasisha nauliowamasisha wakakuchapa hata mm niccm lakini tumepigika wote au tunaisoma namba ngoja nikupe orodha ya makundi yalioumizwa utawala huu alafu jiulize ndani yake hawamo ccm unafikiri wataipa ccm alafu utanijibu
1 wavuvi
2 vyeti feki
3 korosho
4 pamba
5 kahawa
6 bomoabomoa bila fidia
7ccm waliosota nafasizao kuchukuliwa na wageni toka upinzani
8 kupandamadaraja na mishahara kwa watumishi
9 ajira watu wakada mbalimbali wapo mtaani
10 ukame wamzunguko wapesa
11 rambirambi kagera
12 kutoweka watu na kushambuliwa nawasio julikana
13kwa mujibu wa mh lisu kunawatu wanauwawa sana hifadhini
Nk naona niishie hapo kwasasa nisikukatishe tamaa ila nifikra zangu tu sio mipango mipango anayo mungu lolote linaweza kutokea
Ni mtazamo tu, lakin tukumbuke bado siku 10
 
Rais Magufuli ushindi ni 98%

October 28 Unachukua unaweka waaa kwa Rais Magufuli na Ccm
 
Ni mtazamo tu, lakin tukumbuke bado siku 10
Bahati mbaya nyie ndio mnajua kua atashinda kama mlivomdanganya miaka yote mitano kwamba upinzani umekufa lakini mpaka Leo haamini anachokiona kwa macho yake na mpaka sasa mnamfariji lakini ye mwenyewe ameishasoma upepo anaona hakuna matumaini tena ya kushinda kwenye sanduku la kura ndo maana anaongea mpaka anapiga magoti ili aonewe Huruma au ategemee jeshi
 
Ikulu sio chumba cha kupanga,kiasi kwamba baada ya kuondoka mpangaji huyu ,chumba hicho aweza ingia mtu yoyote,haijalishi ni mhuni, mjinga au mpumbavu.


Lissu kamwe, narudia tena, lissu kamwe hawezi na hataweza kukabidhiwa ikulu, labda jua libadili uelekeo.
 
Watu walihama huko kitambo wakaja......

Comrade ni watu gani unaowazungumzia hapo juu? Na wananihusu nini katika kuchangia mada za jf?
Mimi sio comrade Tafadhali nakukumbusha tu kua hizo propaganda zilipitwa na wakati wenzenu Sikh hizi hawazitumii tena coz wananchi wameishaelewa nini cha kufanya tarehe 28
 
Bahati mbaya nyie ndio mnajua kua atashinda kama mlivomdanganya miaka yote mitano kwamba upinzani umekufa lakini mpaka Leo haamini anachokiona kwa macho yake na mpaka sasa mnamfariji lakini ye mwenyewe ameishasoma upepo anaona hakuna matumaini tena ya kushinda kwenye sanduku la kura ndo maana anaongea mpaka anapiga magoti ili aonewe Huruma au ategemee jeshi
Kinachowadanganya ni;

Mafuriko mnayoyaona ambayo hayawezi kufikia ya Lowasa 2015

Mataifa ya nje kufuatilia kwa karibu uchaguzi huu
 
Mimi sio comrade Tafadhali nakukumbusha tu kua hizo propaganda zilipitwa na wakati wenzenu Sikh hizi hawazitumii tena coz wananchi wameishaelewa nini cha kufanya tarehe 28
Wenzetu wapi comrade mbona huwataji? Kama unafikiri tarehe 28 hatutampigia kura Magufuli na wagombea wa ccm nikupe pole sana.
 
Ile Picha ilikua kwenye kujiandikisha kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ambayo tayari chadema walikua wameisusia Ndo maana uliona Picha za kucheka vituo kua wazi ila kwenye uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura watu walijitokeza tena kulikua na foleni kubwa tu especially kwa mazingira ninayoishi mimi
Yote heri. Na pia labda watu walikuwa na mahitaji ya kitambulisho cha ki-Serikali kwa matumizi yao mengine.
 
JPM kushindwa u Rais , ni sawa na jua lianze kutoka magharibi kwenda mashariki, au mvua ianze kunyesha kutokea ardhini kwenda mawinguni au mwezi uanze kuangaza mchana na jua usiku.

Epukeni kujipa matumaini hewa ambayo hapo baadae yatawaacha na simanzi kubwa huku mioyo imejaa machozi kwa kutokuamini kile kilichotokea
😀😀
 
Back
Top Bottom