Asishindwe yeye amekuwa Mungu? Mbona Kabuye alimshinda ubunge tena mara mbiliJPM kushindwa u Rais , ni sawa na jua lianze kutoka magharibi kwenda mashariki, au mvua ianze kunyesha kutokea ardhini kwenda mawinguni au mwezi uanze kuangaza mchana na jua usiku.
Epukeni kujipa matumaini hewa ambayo hapo baadae yatawaacha na simanzi kubwa huku mioyo imejaa machozi kwa kutokuamini kile kilichotokea
Msiwe na wasiwasi mkuu, zimebaki siku chache sana ili muamini hayo niliyoyasemaAsishindwe yeye amekuwa Mungu? Mbona Kabuye alimshinda ubunge tena mara mbili
Sidhani[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Rais Magufuli kama mgombea wa Chama tawala, anatakiwa kutoa tamko la kukubali matokeo kwa namna yoyote yatakavyokuwa. Itakuwa jambo la hekima kujitokeza hadharani na kuonesha msimamo wake.
Mpinzani wake mkuu, Lissu, ameshasema kuwa akishinda au kushindwa kwa haki, yupo tayari kukubali matokeo.
Wote hawa wanaamini watashinda, lakini je Magufuli ukishindwa utakubali?
TUNAOMBA MSIMAMO WAKO KWA HILI
Hahahahaha Haina shida bwashe ......uchaguzi siyo ugomvi. Maisha lazima yaendelee kama jamii. Kwa kuwa mtashindwa mkubali ili tuendelee kuishi kama jamii moja!Usijali kiongozi, kuanzia tarehe 02 hapo tutaanza kutafutana ila msizime simu tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo la picha kushangilia vituo tupu vya kujiandikisha nalikumbuka sana.Mara zote huwa napenda kuwakumbusha wakati wa uboreshaji wa taarifa kwenye daftari la kudumu la mpiga kura.
CCM ilihamasisha sana watu wake tofauti na nyie mlikuwa mnawaambia wagomee, tena wengine walikuwa wanapost picha mitandaoni kwa furaha kabisa kwamba vituoni hakuna watu na hilo ndio litawagharimu, msitegemee kupata ushindi eti kutoka kwa wana CCM wanaomchukia JPM
Ikulu ni mahali patakatifu, si sehemu pa wanaharakati kufanyia majaribio ya uongoz
Sasa kama watu walishangilia vituo kukosa watu wa kujiandikisha ina maana kwamba wao hawakujiandikisha wala kurekebisha taarifa zao, kigezo kikubwa cha kukufanya upige kura ni taarifa zako kusomeka kwenye hilo daftari.........hesabu ni nyepesi sana ila watu wanajitoa ufahamu tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo la picha kushangilia vituo tupu vya kujiandikisha nalikumbuka sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...........sawa mkuu twenda sawa zimebaki siku 10 tuHahahahaha Haina shida bwashe ......uchaguzi siyo ugomvi. Maisha lazima yaendelee kama jamii. Kwa kuwa mtashindwa mkubali ili tuendelee kuishi kama jamii moja!
JPM kushindwa u Rais , ni sawa na jua lianze kutoka magharibi kwenda mashariki, au mvua ianze kunyesha kutokea ardhini kwenda mawinguni au mwezi uanze kuangaza mchana na jua usiku.
Epukeni kujipa matumaini hewa ambayo hapo baadae yatawaacha na simanzi kubwa huku mioyo imejaa machozi kwa kutokuamini kile kilichotokea
Trh 28 nafasi pekee tukicheza tu mwafaa.Magufuli hata akishindwa uchaguzi na figisu zake zote ni king'ang'anizi hivyo ni ngumu sana kuwa tayari kuachia madaraka.
Kwa kipindi chake tu hiki cha kwanza cha miaka 5 ameonyesha kila dalili za kutaka kuwa Rais asiye na ukomo wa madaraka.
Watanzania tuamke Magufuli anaharibu nchi.
Wewe umechanganyikiwa kwelikweli, wala hujui unachoandika.Muda mwingine tuwe wakweli, kabisaaa Tanzania inaongozwa na mtu aliyejipambanua wazi kabisa kuwa ni mtetezi wa Wezi na Wanyang'anyi wa Rasilimali zetu.
Huyo amegombea ili tu aingie kwenye orodha ya watu waliowahi kugombea Urais.
Kwa kifupi, JPM hana mpinzani.
Sema kutangazwa lazima...Nakazia Magufuli kushinda ni lazima.
Angalia hizi bangi zinavyofanya kazi!JPM kushindwa u Rais , ni sawa na jua lianze kutoka magharibi kwenda mashariki, au mvua ianze kunyesha kutokea ardhini kwenda mawinguni au mwezi uanze kuangaza mchana na jua usiku.
Epukeni kujipa matumaini hewa ambayo hapo baadae yatawaacha na simanzi kubwa huku mioyo imejaa machozi kwa kutokuamini kile kilichotokea
Eti Magufuli ni muoga sana.Hakuna Interview anayo ikubali Magufuli hapa ndio utajua kuwa jamaa ni muoga sana, kauli kama hizi maisha magufuli hawezi kutoa yeye anajua tu kuwa lazima aendelee kutawala kitu ambacho sio kabisa