Rais Magufuli ulimtumbua upesi aliyechana Quran, mbona unachelewa Kumtumbua Jerry Muro aliyewadharau Waislamu?

Haya mpigeni hiyo albadiri tuone.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo Manara Hana uwezo wa kufundisha madrasa! Maana ukisema ameikashifu dini napata shida kuelewa HOW? KUMTUMIKIA MUNGU NI SIFA NA SIO FEDHEHA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuacheni kuongeza chumvi pasipohitajika kufanya hivyo.kauli ya Jerry Muro haina madhara na ni ya kimichezo zaidi wala haina uhusiano na kashfa dhidi ya uislam.Manara aijibu kauli ile kimichezo na si kutafuta huruma ya waislam, Watanzania tuache uchonganishi hautusaidii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,me naona wewe unasababu zako tofauti kabisa kwa Jerry murro,

Hebu acha uchochezi,nenda kafanye kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee wa kulalamika tena.!
Kwa iyo akitumbuliwa ndo kauli itafutika! Je utapata faida gani?
Inaonekana hiyo elimu ushaidharau wewe mwenyewe, kwani kwanini umehisi alivyosema ni kudhihaki?
Kwani kuna tofauti gani, labda manara angesema elimu ya Muro ni ya kufundisha St seminaries tu au Sunday school?

Acheni kukuza mambo, hayo mambo ya kukuza ndo yanaleta machafuko sasa ivi huko India kati ya waislam na wahindu.
 
Kiujumla manara katuudhi hata sisi wanasiba! Tutamfuata mo huko huko instra... tumwambie haya. Kwenye top manegment pale simba wako vizr ila huyu bwana naona kunasababu za kumuacha kuwa pale! Maana hana sifa kabisa! Mo piga chini manara mlete masau bwile! Manara aombe kazi yanga nahisi atafiti kwa kiwango cha kocha walie nae. Ila cyo simba.
 

Kabla sijaanza kujibu Hoja zako naomba Kwanza kujua je, BAKITA haya maneno yako uliyoyaandika hapa wanayajua?

Uisram
Usarama
Chademaa
Injiri
Mbari
Mweredi
Mvumirivu
Swala
 
Waislamu wamekuomba uwatetee au ni kiherehere chako tu!
 
Manara na muro Wanajuana wale
Vita zao za maneno haijaanza leo
Muwavumiliee

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Muro juzi alikuwa anaombewa na mwalimu Mwakasege pale Kawe kwenye mkutano mkubwa wa Injili.

Nadhani safari ya kulitwaa jimbo la Kawe imeanza.

Ikumbukwe hata Manara ananyemelea ubunge wa Kawe ili ausimamie vizuri uwanja wa Simba!
 

Bora Kinuke tu ila Waisalmu wasimuhurumie DC Jerry Muro kwani hiyo ni Kauli ya Kuwadharau kama siyo Kuwadhihaki sana.
 

Hatuna mwana Simba SC Mpuuzi kama Wewe tafadhali. Acha Unafiki!
 
Hajji Manara ni mwalimu wa madrasa.

Sioni tatizo la Muro hapo hata yule Swebe mtangazaji wa E fm ni mwalimu wa madrasa!

Hivi Haji Manara ni mwislamu wa kabila gani? aliingiaje uislam wakati baba yake Sunday Manara alikuwa mkristu au ndio wale watoto walioteguka na kudai demokrasia kabla ya miaka 18? au siku hizi kuna waislamu wanaitwa Sunday? halafu iweje utani wa Simba na Yanga upelekwe Ikulu wakati Hajis Manara siku hizi kapanda daraja yupo na anaongelea Laliga tu wala sio kubwabwaja na akina Utopolotopolo kama wanavyosikika huko wasafi. mwisho ujumbe wangu kwako Hajis wape salaam zao hiyo tarehe 08/03/2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…