Rais Magufuli ulimtumbua upesi aliyechana Quran, mbona unachelewa Kumtumbua Jerry Muro aliyewadharau Waislamu?

Rais Magufuli ulimtumbua upesi aliyechana Quran, mbona unachelewa Kumtumbua Jerry Muro aliyewadharau Waislamu?

Nawaaminia Waislamu na najua kama Mheshimiwa Rais atashindwa Kumwajibisha DC wake Jerry Muro basi Wao watamuwajibisha kwa namna yao ya Kipekee kabisa na nitashangaa kuona Waislamu wote nchini Tanzania wanalinyamazia hili. Nawakubali sana Waislamu hivyo msiniangushe katika hili na lazima DC Jerry Muro ama awaombeni Radhi haraka au asubiri yale Maombi yenu Maalum na ya Kipekee ya Wakaidi Kwake Allah ( Mwenyezi Mungu ) Msikubali kabisa Waislamu tafadhali.
Uchonganishi tu huu.
 
hili bandiko lakipumbavu hata kama mi ndo raisi siwezi lifanyia kazi ova
 
Tayari ushawadhalilisha hao walimu kwa maana ya kukiona hicho kitengo kina mapungufu
In God we Trust
 
Kwa mara ya kwanza leo umeongea neno logical
Kawadharau vipi hapo waislam? Kumwambia Manara akafundishe madrasa? Kwani kufundisha madrasa nayo imekuwa dhambi au jambo ambalo mtu apaswi kuambiwa?

Ni kweli Manara akistaafu anapaswa akafundishe madrasa au angekuwa mkristo tunge mwambia akafundishe walimu wa Kipaimara au Sunday School!


Nimegundua Muro ni kiboko ya Manara

In God we Trust
 
Mzukulu,
Dah..nimesoma huu uzi zaidi mara 10....sijaelewa kabisa... unaweza kujaziajazia nyama kidogo ili nasi tuelewe?..kwa faida ya umma .....
 
Yani inaonyesha ni Jinsi gan waislam Mna roho ya KISASI Dah Lord Have Mercy...Apo sasa mkiwa kwenye Misikiti kuswali Alah mnamsujudu sijui wa nini kwani hamuwezi kusamehe? au kwenye Kitabu chenu cha Dini hamna maandiko yasemayo Samehe?
 
Unatudhalilisha sana sisi waislam, nakushauri ikiwezekana futa huu uzi wako maana kwenye dini yetu hakuna mtu asiye na busara kama wewe
Nawaaminia Waislamu na najua kama Mheshimiwa Rais atashindwa Kumwajibisha DC wake Jerry Muro basi Wao watamuwajibisha kwa namna yao ya Kipekee kabisa na nitashangaa kuona Waislamu wote nchini Tanzania wanalinyamazia hili. Nawakubali sana Waislamu hivyo msiniangushe katika hili na lazima DC Jerry Muro ama awaombeni Radhi haraka au asubiri yale Maombi yenu Maalum na ya Kipekee ya Wakaidi Kwake Allah ( Mwenyezi Mungu ) Msikubali kabisa Waislamu tafadhali.

In God we Trust
 
Ndo nmeona udogo wa IQ ya Manara na mtoa post.Kuambiwa kufundisha Madrasa ni tusi??Kwa mantiki hyo unataka kusema wanaofundisha Madrasa akili zao ndogo??kama ni ndogo kasema Muro? Tatzo mtoa post kakimbia na hatajibu swali hata moja hapo juu
 
Nadhani tatizo la Manara ni elimu yake, either haitumii vema au hiyo nafasi aliyopo ni kubwa kuliko elimu aliyo nayo
Umeandika maelezo mengi yasiyokuwa na maana!

Mi ni mwanasimba! Km kunamtu wa kuchukuliwa hatua hapo ni H.Manara!!! Haji ni mchochezi.

Kuambiwa rudi ukafundishe madrasa nitusi kwa uisram??? Mpaka unaitisha vyombo vya habari??

Aliyekuwa mkuu wa Usarama Wa Taifa Tiss ndg Kipilimba aliwahi kuambiwa na wanasiasa wa upinzani chademaa kuwa! Afanye kazi ya kuhubiri injiri aachane na kazi ya usarama wa taifa imemshinda na wakaenda mbari zaidi wakisema ana kanisa je! Hapo napo chadema walitukana ukristo?

Manara aachane na kazi ya usemaji wa club ya simba! Simba ni team kubwa africa ukiwa mwajiriwa team hii uwe mweredi! Mvumirivu! Na hata ukikosewa ujue namna yakufikisha malalamiko kwa wahusika lakini kwa weredi.
Swala lakuitisha vyombo vya habari nakumalizia hasira zake kwa umma je! Manara ni msemaji wa watanzania waisram!

Simba wamchukulie hatua za haraka manara! Ipo cku ataharibu ndani ya simba pakubwa.

Ngoma ikilia sana huishia kupasuka! Manara very soon atapoteza heshma hata hii ndogo aliyonayo.

In God we Trust
 
Hivi waislamu kwann kitu kidogo tu huwa mnamaind?
Upuuzi huo bwan
 
Nafikiri wewe una mtindio wa ubongo na unatafuta kutuchafulia dini yetu mbele ya jamii yetu ya kitanzania na ulimwengu kwa ujumla.

Inabidi tukulaani kabisa sisi kama wenye dini yetu
Dhihaka hiyo angefanyiwa Mkristo nchi ingetulia sasa? Acheni Unafiki DC Jerry Muro amewadhihaki na kuwadhalilisha Waislamu hasa kupitia Walimu wao wa Madrassa. Waislamu wote nchini Tanzania mkilinyamazia hili nanyi sitokuja kuwaelewa tena kwani hapa mmedhihakiwa vilivyo na sasa muda wa Kudhihakiwa hivi ufikie Kikomo. Msikubali ng'o na Sisi Wakristo tunaopenda Haki tutakuwa nyuma yenu kuwaungeni mkono kwani hata Sisi ( Wakristo tunaojielewa ) tumesikitishwa na kukasirishwa sana na Kauli hizi za Kifedhuli za aliyewahi kuwa Msemaji wa Yanga SC sasa ni Mkuu wa Wilaya Ndugu Jerry Muro.

In God we Trust
 
Tatizo la mleta mada ni kutaka kuichafua dini, kati ya vitu sensitive katika jamii ni dini na haitakiwi kuviongelea pasipo kuwa na tahadhali
Manara na muro Wanajuana wale
Vita zao za maneno haijaanza leo
Muwavumiliee

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Nawaaminia Waislamu na najua kama Mheshimiwa Rais atashindwa Kumwajibisha DC wake Jerry Muro basi Wao watamuwajibisha kwa namna yao ya Kipekee kabisa na nitashangaa kuona Waislamu wote nchini Tanzania wanalinyamazia hili. Nawakubali sana Waislamu hivyo msiniangushe katika hili na lazima DC Jerry Muro ama awaombeni Radhi haraka au asubiri yale Maombi yenu Maalum na ya Kipekee ya Wakaidi Kwake Allah ( Mwenyezi Mungu ) Msikubali kabisa Waislamu tafadhali.
Mkwara mbuzi ..Mashekhe wanaoza Keko nenda kawatoe
 
Mtoa mada atakuwa wale waislam wa kusilimu ukubwani.. Yaani mtu alikuwa wale watumishi wa kanisa unakutaga wanavaa mashati ya rangi ya karoti, bluu au zambarau na suruali zinang'aa kama mabati na viatu vinaisha upande mmoja.. Wa hivi akija kuwa mwislam baadae wanakuwaga na itikadi kali za kidini haina mfano
 
Wacha sasa tuanze kukufuatilia maana tunaona unataka kuliingiza taifa letu kwenye machafuko ya kidini
Kabla sijaanza kujibu Hoja zako naomba Kwanza kujua je, BAKITA haya maneno yako uliyoyaandika hapa wanayajua?

Uisram
Usarama
Chademaa
Injiri
Mbari
Mweredi
Mvumirivu
Swala

In God we Trust
 
Back
Top Bottom