Umeandika maelezo mengi yasiyokuwa na maana!
Mi ni mwanasimba! Km kunamtu wa kuchukuliwa hatua hapo ni H.Manara!!! Haji ni mchochezi.
Kuambiwa rudi ukafundishe madrasa nitusi kwa uisram??? Mpaka unaitisha vyombo vya habari??
Aliyekuwa mkuu wa Usarama Wa Taifa Tiss ndg Kipilimba aliwahi kuambiwa na wanasiasa wa upinzani chademaa kuwa! Afanye kazi ya kuhubiri injiri aachane na kazi ya usarama wa taifa imemshinda na wakaenda mbari zaidi wakisema ana kanisa je! Hapo napo chadema walitukana ukristo?
Manara aachane na kazi ya usemaji wa club ya simba! Simba ni team kubwa africa ukiwa mwajiriwa team hii uwe mweredi! Mvumirivu! Na hata ukikosewa ujue namna yakufikisha malalamiko kwa wahusika lakini kwa weredi.
Swala lakuitisha vyombo vya habari nakumalizia hasira zake kwa umma je! Manara ni msemaji wa watanzania waisram!
Simba wamchukulie hatua za haraka manara! Ipo cku ataharibu ndani ya simba pakubwa.
Ngoma ikilia sana huishia kupasuka! Manara very soon atapoteza heshma hata hii ndogo aliyonayo.