Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Mwizi atabaki kuwa mwizi tu hio ndio sifa yenu kuu mengine yanafuata
 
Au masai kuwa mlinzi,.. Masai kabila la kipumbavu sana, yan et wanadumisha mila, mila gani,
Unatukana kabila zima. Wewe kabila gani, ili tulinganishe Masai na kabila lako. Si afadhali Mmasai kuliko Singeli.
 
Ukweli upo hivi wachaga ni wakabila sana na ndio maana 80%ya wafuasi wa chadema ni wachaga ' na wengi wao wanatamaa kubwa ya madaraka ya nchi hivyo wanataraji chadema siku moja itashika dola ili waitafune keki ya taifa kikabila. kama ilivyo zoeleka tunafahamu wanvyogwana nafasi za ajira katika taasisi ambazo kwa bahati mbaya zinaongozwa na mchaga mwenzao hivyo wanamchukia rais kutokana na anavyosambaratisha taasisi zilizo na uchaga . Hilo la utani wanatumia kama mwavuli wa kuficha chuki zao tu kwa rais hakuna kabila ambalo hajalitania hapa nchini lkn hakuna kabila ambalo lilikasirishwa na utani huo ila wachaga tu ndugu zetu wizi ndio sifa yenu kuu na msitarajie uongozi wa juu ktk nchi hii wakati sifa yenu kuu ni wizi na ukabila
 
So tunahitimisha kuwa wachaga ni wezi?Basi tuwatenge kwenye ajira za serikali!
Naunga mkono hoja wapewe sekta binafsi wauze vinywaji bidhaa zingine na walipe kodi wakilipa kodi vzr kwa uaminifu ndani ya miaka 100 tutawafikiria katika mambo ya kiserikali
 
Kwanini makosa ya wachache lawama ziende kwa kabila zima?Hii ni chuki ya wazi kabisa,mwalimu Nyerere alisema mtu mkabila ni mpumbavu!
Mm nilitaka niwe mchaga pia lkn kwa hali niionayo sasa inabidi ni search mahala pengine
 
... wewe jamaa hatari sana! Post hii uliianzisha 17 Machi, 2020; exactly a year later?

"(Ee Bwana) Basi, utujulishe kuzihesabu siku zetu,tujipatie moyo wa hekima"; "BWANA, unijulishe mwisho wangu, na kiasi cha siku zangu ni kiasi gani; nijue jinsi nilivyo dhaifu". AMEN.
 
Jamii ya kichaga na Kendra nagast na uhusano wa Jamii Fulani za Ethiopia,na Mila zao na utaratibu zao zinazofanana na Jewish wakilia sana Huwa ni shida
#Ethicologist.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…