Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Nilishawahi kuwa na kamanzi ka kichagga, kana umri kama miaka 20 hivi, ila kapo speed balaa na maswala ya pesa. Yaani ukikaa nae unamuona anawaza pesa tu muda wote hadi anaboa sijui wanatoa wapi hii tabia ya tamaa ya pesa.

Kuna siku nimekwenda nako Fuel station, kufika nikawa naweka mafuta ya Full tank kwaajiri ya wiki nzima (Gari yangu ni ndogo tu) ...... So kaka sikia ninavyoongea na muhudumu na kakachungulia amount iliyosoma..... Yuko heeeeh yaani unaweka mafuta ya 87,000?! Nikamwambia yeah inanisave bajeti ya mafuta kwa wiki nzima na ni nzuri kwa afya ya gari.

Ghafla akawa mpole kma mtu anaetafakari jambo zito. Sasa nimekwenda nako maskani nikakapiga piston, nikakarejesha kwake.

Kesho asubuhi ananitext kuwa ametoka hospitali na hajisikii poa, ila ameandikiwa dawa na gharama za matibabu ya UTI na vidonda vya tumbo. Amelipia tayari ya matibabu tu ila ya prescription hajalipia. Nikamuuliza bili ya prescription ni ngapi ananiambia ni 50,000. Mmmmmmmmhmn nikaguna, nikamwambia hiyo 50,000 inalipia nini na nini?!

Akaanza babaika kujibu kwa kigugumizi. Nikamwambia subiri nakutumia. Aaaaaah nikachuna wiki..... Akanitext "yaani una roho mbaya sana, sasa ikitokea umeoa huyo mkeo si atafia nyumbani akiwa anayumwa" nikajaribu kumtuliza akaanza kuniletea tantrums za kikorea akitaka tuanze bembelezana na upuuzi mwingineo.......

Sikujibu chochote nikala bati hadi leo....... But nikaona ile nature yao mabinti wa kichagga kujifanya pesa wanaijua sana.... Alinikera balaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyewe umesha sema anaongea kwa utani halafu tena unasema liko moyoni mwake utadhani umeingia huko moyoni mwake,siyo kila kitu ni lazima uchambue chambue maneno ya mtu..utani wa wachaga kua wajanja wajanja upo sana na sometimes siyo utani tu ni ukweli,hii iko midomoni mwa waTanzania wengi kwa miaka mingi kiasi hupaswi kustuka sasa hv eti tu kwa sababu amesema Rais,hapo unaathilika nini?kama wewe ni mchaga anza kufundisha wanao kutokua wajanja wajanja ili kizazi kijacho kiwe kimefuta fedheha yenu ya kikabila
Wanabodi,

Asalam aleikum!

Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.

Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.

Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.

Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?



Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.

Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.

Tunaomba utuombe radhi mara moja.


JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Nashauri kila anayechangia huu uzi akumbuke yaliyotokea Ujerumani ya Hitler, USSR ya Stalin na hapo jirani Rwanda 1994.
Mzaha mzaha hutumbukia usaha.

Kwamba wachaga ni wezi ni utani wa jadi ambao umepitwa na wakati lakini naona watu wakiuchukulia kwa hisia kali na wakiwa tayari kuhukumu.

Ni vizuri tujikumbushe kuwa hakuna jinai ya makundi( collective crime) zaidi ya kuhalalisha kumwua mbwa kwa kumpa jina baya.
 
Nilishawahi kuwa na kamanzi ka kichagga, kana umri kama miaka 20 hivi, ila kapo speed balaa na maswala ya pesa. Yaani ukikaa nae unamuona anawaza pesa tu muda wote hadi anaboa sijui wanatoa wapi hii tabia ya tamaa ya pesa.

Kuna siku nimekwenda nako Fuel station, kufika nikawa naweka mafuta ya Full tank kwaajiri ya wiki nzima (Gari yangu ni ndogo tu) ...... So kaka sikia ninavyoongea na muhudumu na kakachungulia amount iliyosoma..... Yuko heeeeh yaani unaweka mafuta ya 87,000?! Nikamwambia yeah inanisave bajeti ya mafuta kwa wiki nzima na ni nzuri kwa afya ya gari.

Ghafla akawa mpole kma mtu anaetafakari jambo zito. Sasa nimekwenda nako maskani nikakapiga piston, nikakarejesha kwake.

Kesho asubuhi ananitext kuwa ametoka hospitali na hajisikii poa, ila ameandikiwa dawa na gharama za matibabu ya UTI na vidonda vya tumbo. Amelipia tayari ya matibabu tu ila ya prescription hajalipia. Nikamuuliza bili ya prescription ni ngapi ananiambia ni 50,000. Mmmmmmmmhmn nikaguna, nikamwambia hiyo 50,000 inalipia nini na nini?!

Akaanza babaika kujibu kwa kigugumizi. Nikamwambia subiri nakutumia. Aaaaaah nikachuna wiki..... Akanitext "yaani una roho mbaya sana, sasa ikitokea umeoa huyo mkeo si atafia nyumbani akiwa anayumwa" nikajaribu kumtuliza akaanza kuniletea tantrums za kikorea akitaka tuanze bembelezana na upuuzi mwingineo.......

Sikujibu chochote nikala bati hadi leo....... But nikaona ile nature yao mabinti wa kichagga kujifanya pesa wanaijua sana.... Alinikera balaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wote ndio wako hivyo hao wachaga
 
Nafurahi sana ninaposoma au kusikiliza Speech kwenye movie ya Charlie Chaplin The Great Dictator. Nanukuu

"To those who can hear me, I say - do not despair.
The misery that is now upon us is but the passing of greed - the bitterness of men who fear the way of human progress.
The hate of men will pass, and dictators die, and the power they took from the people will return to the people.
And so long as men die, liberty will never perish."

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo Vizuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu msipobadilika mkaacha wizi kamwe madaraka makubwa ya nchi hii mtayasikia tu. Siyo siri, kuna Dr wa kabila la wachaga toka chuo fulani aliwatapeli wanafunzi. Yaani yeye ni kibosile kwenye kitu fulani so kwenye selection ya wanafunzi ili waende kwenye shindano fulani yeye akawa anawatoza wale watoto hela. Wachaga ni smart kwa kuiba na hii inatokana na watangulizi wenu kuwa wezi na kurejesha hela za wizi uchagani hivyo ni mashindano kwenda mbele. Hatukatai wapo wachaga waaminifu sana hata ktk serikali ya awamu ya 5, ila kuna wachaga wachache ni wezi na wanapendeleana kwa ukabila waziwazi, mfano kulikuwa na mchaga mmoja shirika moja alikuwa mtu wa ajabu sana yaani aliwapa ajira wachaga tu, tena huku anajigamba kusema lazima wachaga wapewe kazi, ila uzuri alishafukuzwa kazi sasa anaisoma namba mjinga kabisa.

Hao wanaotuibia miaka yote hii wao vipi? wana baraka zenu au sio?
 
we angalia tu chadema ilivyojaa wachaga,check wanavyotafuna ruzuku kama mchwa.
 
Wanabodi,

Asalam aleikum!

Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.

Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.

Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.

Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?



Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.

Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.

Tunaomba utuombe radhi mara moja.

Kushabikia ukabila wa chuki against kabila jingine si uungwana.
 
Back
Top Bottom