Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Mkuu msipobadilika mkaacha wizi kamwe madaraka makubwa ya nchi hii mtayasikia tu. Siyo siri, kuna Dr wa kabila la wachaga toka chuo fulani aliwatapeli wanafunzi. Yaani yeye ni kibosile kwenye kitu fulani so kwenye selection ya wanafunzi ili waende kwenye shindano fulani yeye akawa anawatoza wale watoto hela. Wachaga ni smart kwa kuiba na hii inatokana na watangulizi wenu kuwa wezi na kurejesha hela za wizi uchagani hivyo ni mashindano kwenda mbele. Hatukatai wapo wachaga waaminifu sana hata ktk serikali ya awamu ya 5, ila kuna wachaga wachache ni wezi na wanapendeleana kwa ukabila waziwazi, mfano kulikuwa na mchaga mmoja shirika moja alikuwa mtu wa ajabu sana yaani aliwapa ajira wachaga tu, tena huku anajigamba kusema lazima wachaga wapewe kazi, ila uzuri alishafukuzwa kazi sasa anaisoma namba mjinga kabisa.
Na bado utatokwa povu hadi ufe aliyetangulia katangulia tu wakati tukisoma nyie mlikuwa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshangaa sana kwa Rais wa nchi kutamka jambo mithili ya Msela wa Manzese kwa mfuga mbwa !
Ulitaka atamke kama anatoka mbinguni au? Mbona sisi mnatuita washamba.wala hatumind tunaendelea kuwanyoosha tu! Ni kweli wachanga kwa pesa ni shida mimi nawajua ni shemeji zangu nimeoa dada yao mweupe peeee!!
 
Wachaga=Wayahudi(antisemitisim). Wachagga jibidiisheni kujiajiri, huko serikali na mashirika ya umma hamna chenu.
Ikifika december msiache kwenda Moshi kumshukuru na kumlilia Mwenyezi Mungu na kutoa fungu la kumi.
Hakuna idara au sekta ktk serikali iliyokosa wachaga tupo Sana tu uzuri wa kusoma huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri kila anayechangia huu uzi akumbuke yaliyotokea Ujerumani ya Hitler, USSR ya Stalin na hapo jirani Rwanda 1994.
Mzaha mzaha hutumbukia usaha.

Kwamba wachaga ni wezi ni utani wa jadi ambao umepitwa na wakati lakini naona watu wakiuchukulia kwa hisia kali na wakiwa tayari kuhukumu.

Ni vizuri tujikumbushe kuwa hakuna jinai ya makundi( collective crime) zaidi ya kuhalalisha kumwua mbwa kwa kumpa jina baya.
Hata Mimi nakuunga mkono..ukabila ni Jambo baya mno...Ila wakati mwingi huwa siwaelewi baadhi ya watu wa Kilimanjaro ambao hupenda kujiita wa kaskazini kuwaponda watu wa makabila mengine kuwa hawajaendelea na kwamba eti wanakaa kwenye nyumba za tende na kwamba eti hawajasoma na kwamba eti ndiyo maana wanaichagua CCM...watu hao husahau kuwa kwa kufanya hivyo wanajenga chuki...
 
Hahahah tukiacha masihara ila ndugu zetu wachaga kwenye hela sio wa kuaminika nakazia🏃🏃🏃🏃🏃
 
Ninamjuwa jamaa wa Kichaga mfanyabiashara anaitwa Mushi pia, huyu jamaa hawezi dhulumu hata senti tano yako moja aisèe! Namuamini huyu kuliko hata mchungaji wa Kisukuma
Basi na wewe utakuwa ni mchaga ( mushi mwaminifu labda kwa wachaga wenzie)
 
Huyu Rais ana tatizo la PR(Public relation). Ndo maana wapambe wake huwa wanasema kabla hajaenda kwene hadhira lazima alikoke....! Ndo maana mikutano yake Ni kutukana na kufokea watu kama watoto. !
Jiwe ana CHUKI na Wachagga simply because wamesoma Sana kuliko kikabila chake cha WAZIRANKENDE AMBAO ASILI YAO NI RWANDA NA BURUNDI ....! Sasa Ni lini Mchagga AKAWA mtani wa Mzirankende?
Ukweli unauma lkn
 
Najaribu kufikiri iwapo Rais Magufuli ndio angekuwa Rais wa kwanza wa Tanganyika sio kama suala la lingekuwa vipi.

Mwl Nyerere alijenga nchi ya heshima sana,katika baraza lake la mawaziri walikuwepo wazungu,wahindi,wasukuma,wachagga,wahehe,wanyakyusa,wasandawe,wapogoro........haya mambo ya ukabila walikuwa nayo majirani zetu waKenya tena tulikuwa tukiwacheka sana.

Najaribu kufikiria Askofu Mkuu Ruaichi Mchagga sijui nae mwizi,Askofu Shoo sijui nae mrushi,jambazi kwasababu tu ya kabila lake ?.Naenda mbali kidogo Kalasinga na Rugemalila sijui nao wachagga au Commissioner Andengenye na Lugola walikana makabila yao lini hata wakaingizwa sasa wachagga ?.

Wafungwa wote katika magereza yetu ni wachagga ?.Nadhani yafaa sana viongozi wetu wakatafakari kabla ya kutamka kuepuka na kuepusha jamii yetu ikajaonekana tulikuwa na viongozi wa ajabu sana kuwahi kutokea katika karne ya 21.

Udokozi au wizi hauna kabila,dini wala jinsia.washindwe na walegee wale wote wanaotaka kutuingizia ukabila kwa manufaa ya siasa nyepesi.
Kusema kweli jamaa zetu wanasifa ya wizi
 
Wachagga tumepitia mengi kuliko haya.

Mangi Mkuu, Thomas Lenana Marealle alienda kuonana na malkia, uingereza kudai uhuru wa Kilimanjaro,

Mwalimu alistaajabu kuona kazidiwa akili na huyu jembe kutoka London school of business, Marealle.

Akaandaa mpango wa kuwanyima Wachagga elimu, kwakuwa sisi Akili nyingi tukasafiri kote nchini na kubadili majina.

Tukatoboa sana sekta zote nyeti.

Mwalimu kwa aibu akampa lucy lameck, mwanamke wa kwanza kuwa waziri kutoka moshi.

Maana wasomi walikuwa Wachagga kidogo na wahaya.

Mwalimu amekufa bhado tunadunda na hata huyu mshamba wa kisukuma atakufa Wachagga wataendelea kupeta.

Ukitaka kujua ni akili nyingi, kuna kabila hapa Tanzania lina tajiri mwenye networth ya Reginald Mengi? Hakuna.

Mti mzuri lazima upigwe mawe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila uongozi wa juu muusahau nyie endeleeni kudunda dunda tu
 
Kabisa Mkuu.

Wachagga ni Akili kubwa tangu kabla ya uhuru.

Hata waasisi wa vyama vya upinzani karibia wote ni Wachagga.

Taasisi nyeti hukosi kina mangi.

Biashara kubwa hapa ndio usiseme.

Hata maendeleo ya vijijini Wachagga tuna utaratibu wa kuchanga kuleta miundombinu bila kuwa tegemezi kwa serikali, kabila gani wanafanya hivi?

Tulichanga billions of money, kuweka lami jimbo la vunjo.

Hata Israel inachukiwa na arabs.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlichanga pesa za wizi
 
Huyo ngosha sio mwizi?

Zile nyumba za NHC alizohonga kwa mashangingi je?

Wale samaki wa magufuli?

Sijui unatoka mkoa gani usikute ndio wale mnaogopa kurudi vijijini kwenu kwasababu mmepanga mjini na kwenu huko nyumba ni ya matope? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usifananishe Wachagga na upupu.

Mkoa wenye shule nyingi kuliko wowote nchini.

Mkoa wenye makazi bora vijijini kuliko sehemu yoyote Tanzania.

Mkoa wenye kivutio kikuu cha watalii Tanzania.

Mkoa wenye ma Dons kuliko wowote Tanzania.

Mkoa wenye mandhari nzuri kuliko popote Tanzania.

Mkoa wenye wasomi wengi kuliko wowote Tanzania.

Huoni aibu sister? [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mkoa ambao haujatoa kiongozi wa wa juu tanzania
 
Kwa bahati mbaya hii ndio mindset ya utawala huu. Chuki na ukabila. Rais mzima ana prejudice? Saa nyingine unajiuliza hivi kafikaje hapo? Point Sasa so wachaga tuwafanyaje? Tuwatenge au tuwaue wote maana system inawachukia waziwazi Kama vile nchi hii sio kwao. Sad.
Mkauze madukani nafasi serikalini na taasisi za kifedha hamtopata labda ubadili jina
 
Ila jamani tukubali tukatae wachaga maendeleo walianza nayo zamani sana,Wakati sie mababu zetu wanakazania kulima na kuchunga mbuzi wenzetu waliitafuta elimu kwa udi na uvumba ndio matokeo yake haya,tunawachukia na kuwananga wakati elimu kwao ilifika miaka iyo ya mkoloni
Kwani kumwambia mtu sifa yake ni kumnanga?
 
Back
Top Bottom