Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Mwinyi aliwaambia wamakonde wakazane kwenye korosho? ikawa heka heka watu kuinamishana chini ya mokorosho

na ndio kule sehemu fulani "mwafyaaaa" sileti chakula cha msaada. huenda ni hulka yake na tambo za ma babu zetu.
wakumbuka hata kwenye ule msiba si jui wanani nimesahau alisema juu ya marehemu kuwa na watoto wengine hahaha
 
Huyu hapendi watu wajanja na wenye akili anapenda mazwazwa tu. Wachaga msikate tamaa kaja kawakuta ataondoka mtabaki kuwepo
Mkuu msipobadilika mkaacha wizi kamwe madaraka makubwa ya nchi hii mtayasikia tu. Siyo siri, kuna Dr wa kabila la wachaga toka chuo fulani aliwatapeli wanafunzi. Yaani yeye ni kibosile kwenye kitu fulani so kwenye selection ya wanafunzi ili waende kwenye shindano fulani yeye akawa anawatoza wale watoto hela. Wachaga ni smart kwa kuiba na hii inatokana na watangulizi wenu kuwa wezi na kurejesha hela za wizi uchagani hivyo ni mashindano kwenda mbele. Hatukatai wapo wachaga waaminifu sana hata ktk serikali ya awamu ya 5, ila kuna wachaga wachache ni wezi na wanapendeleana kwa ukabila waziwazi, mfano kulikuwa na mchaga mmoja shirika moja alikuwa mtu wa ajabu sana yaani aliwapa ajira wachaga tu, tena huku anajigamba kusema lazima wachaga wapewe kazi, ila uzuri alishafukuzwa kazi sasa anaisoma namba mjinga kabisa.
 
Ila jamani tuache masihara ivi nani asiyewajua wachagga kwenye pesa.... Ingekuwa JF ni vicoba tungekubaliana pesa akae nazo manka au mangi? [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana tofauti na baadhi ya wana Jf hapa wenye chuki za kikabila, ila kwa upande mwingine hao wananchi kwanini wasipeleke malalamiko yao mahakamani?
Hongera JPM kusikiliza shida za wahitaji, ushauri wangu ni vyema akawa anatoa maelekezo nchi nzima kwa mfano wa shauri husika.Kina mama wamejipanga sana kwa vikundi, ni vyema maamlaka zikawashika mkono kwa kuwawekea sheria na mifumo rafiki.Rais pia kagua huenda mama yule anatumia sehemu ya zile pesa kuwanyima haki wenzake, polisi na mahakama dole hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani msimlaumu Magu ni kweli wachaga kwa issue ya fedha hamuaminiki.Mko tayari kuua kwa ajili ya fedha
Hili liko wazi kwa Kila mtanzania na Wala hamjinasui.Kwenye ukabila mko na ushahidi uko tena wa wazi hivyo msimlaumu raisi kaeni kimywa mjitafakari wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaunga mkono hoja ipi?

Paskali una utaalamu wa uandishi na ni mjuzi wa kuvuta nyuzi za zamani na kuzipandisha naomba baada ya hili la wachaga unisaidie kumbukumbu ya Rais wa nchi hii aliyemfokea waziri wake hadharani.Tusaidie!!

nimemuonea huruma sana yule mzee, kama anajielewa aache kazi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata sheria za nchi zimeruhusu utani na Msukuma ni mtani wa makabila mengi hapa Tanzania, hata hivyo record za wakina mushi kwenye pesa sio nzuri, mukulu naye katumia mwanya huohuo kurusha jiwe gizani kwa Wachaga.
Mimi siyo mchaga,
Lakini ninachokifahamu kwa makabila mengi Tanzania
1. Wavivu
2. Akili ndogo
Kwakuwa wachaga wanahela,wenye akili ndogo,wanashindwa kujua wanapataje pesa.
Wenye akili ndogo wanaweza kuzaana tu.
Kukuthibitisha haya,NI nadra kumsikia mhaya alamsema mchaga kwa kashfa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…