Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Unajichanganya, mara wapo wachaga waaminifu halafu hapo hapo wachaga wachache ndo wezi. Ilitakiwa wengi wawe wezi wachache waaminifu ili uhalali wa generalization uwepo.

Wachaga wengi ni wajanja wajanja ila si wezi. Ukimpa hela yako hawezi itunza kabatini, atawaza tu kuizungusha ili ukija ichukua abaki na kifaida chake. Ss kwe kuizungusha hapo ndo anaweza ipoteza akaonekana mwizi.
Na huu ndio ukweli hata biblia inasema Pesa ipitayo mikononi mwako inaweza kukufanya tajiri au masikini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli, ila kwanini mali zinazidi utu? Yaani mchaga yupo tayari aue ili apate hela?
Pole na Kaa nao mbali mkuu kama wanaokuzunguka ni wauaji. Ila mm nipo na wachaga na sijakutana na muuaji.

Ninaowafahamu ni watu wa fursa. Wana maneno matamu ya kukushawishi uwekeze, sasa kwenye biashara ndo ikitokea hasara anaweza tengeneza mazingira uibebe wewe yote au kwa sehemu kubwa ila ukiwa mjanja ni watu wa kukaa nao karibu maana ni wepesi kuona fursa.
 
Nafurahi sana ninaposoma au kusikiliza Speech kwenye movie ya Charlie Chaplin The Great Dictator. Nanukuu

"To those who can hear me, I say - do not despair.
The misery that is now upon us is but the passing of greed - the bitterness of men who fear the way of human progress.
The hate of men will pass, and dictators die, and the power they took from the people will return to the people.
And so long as men die, liberty will never perish."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole na Kaa nao mbali mkuu kama wanaokuzunguka ni wauaji. Ila mm nipo na wachaga na sijakutana na muuaji.

Ninaowafahamu ni watu wa fursa. Wana maneno matamu ya kukushawishi uwekeze, sasa kwenye biashara ndo ikitokea hasara anaweza tengeneza mazingira uibebe wewe yote au kwa sehemu kubwa ila ukiwa mjanja ni watu wa kukaa nao karibu maana ni wepesi kuona fursa.
Wizi na fursa. Nadhani dhana ya wizi inaenda inapungua
 
Wanabodi,

Asalam aleikum!

Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.

Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.

Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.

Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?



Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.

Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.

Tunaomba utuombe radhi mara moja.

Rais hajakosea, ni ukweli kabisa Mchagga si mtu wa kumwachia hela na wala kuoa....hawafai kabisa.
 
Huyu Rais ana tatizo la PR(Public relation). Ndo maana wapambe wake huwa wanasema kabla hajaenda kwene hadhira lazima alikoke....! Ndo maana mikutano yake Ni kutukana na kufokea watu kama watoto. !
Jiwe ana CHUKI na Wachagga simply because wamesoma Sana kuliko kikabila chake cha WAZIRANKENDE AMBAO ASILI YAO NI RWANDA NA BURUNDI ....! Sasa Ni lini Mchagga AKAWA mtani wa Mzirankende?
 
Mkuu msipobadilika mkaacha wizi kamwe madaraka makubwa ya nchi hii mtayasikia tu. Siyo siri, kuna Dr wa kabila la wachaga toka chuo fulani aliwatapeli wanafunzi. Yaani yeye ni kibosile kwenye kitu fulani so kwenye selection ya wanafunzi ili waende kwenye shindano fulani yeye akawa anawatoza wale watoto hela. Wachaga ni smart kwa kuiba na hii inatokana na watangulizi wenu kuwa wezi na kurejesha hela za wizi uchagani hivyo ni mashindano kwenda mbele. Hatukatai wapo wachaga waaminifu sana hata ktk serikali ya awamu ya 5, ila kuna wachaga wachache ni wezi na wanapendeleana kwa ukabila waziwazi, mfano kulikuwa na mchaga mmoja shirika moja alikuwa mtu wa ajabu sana yaani aliwapa ajira wachaga tu, tena huku anajigamba kusema lazima wachaga wapewe kazi, ila uzuri alishafukuzwa kazi sasa anaisoma namba mjinga kabisa.
Hayo madaraka makubwa yamesaidia nini hayo makabila ya wenye madaraka makubwa?huwezi kuwa tajiri kwa kumchukia tajiri
 
Najaribu kufikiri iwapo Rais Magufuli ndio angekuwa Rais wa kwanza wa Tanganyika sio kama suala la lingekuwa vipi.

Mwl Nyerere alijenga nchi ya heshima sana,katika baraza lake la mawaziri walikuwepo wazungu,wahindi,wasukuma,wachagga,wahehe,wanyakyusa,wasandawe,wapogoro........haya mambo ya ukabila walikuwa nayo majirani zetu waKenya tena tulikuwa tukiwacheka sana.

Najaribu kufikiria Askofu Mkuu Ruaichi Mchagga sijui nae mwizi,Askofu Shoo sijui nae mrushi,jambazi kwasababu tu ya kabila lake ?.Naenda mbali kidogo Kalasinga na Rugemalila sijui nao wachagga au Commissioner Andengenye na Lugola walikana makabila yao lini hata wakaingizwa sasa wachagga ?.

Wafungwa wote katika magereza yetu ni wachagga ?.Nadhani yafaa sana viongozi wetu wakatafakari kabla ya kutamka kuepuka na kuepusha jamii yetu ikajaonekana tulikuwa na viongozi wa ajabu sana kuwahi kutokea katika karne ya 21.

Udokozi au wizi hauna kabila,dini wala jinsia.washindwe na walegee wale wote wanaotaka kutuingizia ukabila kwa manufaa ya siasa nyepesi.
 
Mkuu msipobadilika mkaacha wizi kamwe madaraka makubwa ya nchi hii mtayasikia tu. Siyo siri, kuna Dr wa kabila la wachaga toka chuo fulani aliwatapeli wanafunzi. Yaani yeye ni kibosile kwenye kitu fulani so kwenye selection ya wanafunzi ili waende kwenye shindano fulani yeye akawa anawatoza wale watoto hela. Wachaga ni smart kwa kuiba na hii inatokana na watangulizi wenu kuwa wezi na kurejesha hela za wizi uchagani hivyo ni mashindano kwenda mbele. Hatukatai wapo wachaga waaminifu sana hata ktk serikali ya awamu ya 5, ila kuna wachaga wachache ni wezi na wanapendeleana kwa ukabila waziwazi, mfano kulikuwa na mchaga mmoja shirika moja alikuwa mtu wa ajabu sana yaani aliwapa ajira wachaga tu, tena huku anajigamba kusema lazima wachaga wapewe kazi, ila uzuri alishafukuzwa kazi sasa anaisoma namba mjinga kabisa.
Wizi na ukabila uko makabila yote. Hivi aliyeficha\iba 1.5trn ni ni mchaga? Mbona huzungumzii ukabila wa sasa bapo teuzi karibu zote ni kanda ya ziwa na haswa wasukuma
 
Ule mpango wa kujitenga uliishia wapi maana kule kaskazin ni nchi inayoweza kujitegemea kwa mambo mengi hata mkiwabagua
 
Unaturudisha karne ya 16 unazukungumzia ukabilaa??!!!? ..mbavu.
 
Kwa hiyo mhaya ana hela ? We ndio hujui kitu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba mhaya ni maskini?[emoji23][emoji23]


Hebu nenda vijijini huko bukoba.



Na tembelea mbezi beach,ununio,mbweni ,kunduchi nk utazame idadi ya wahaya.


Kama uko mwanza nenda bwiru, kiloleli ,nyasaka huko utazame idadi ya wahaya.



Tazama idadi ya shule maarufu hapa dar tusiime,st Mary's,Anne Maria nk

Hadi vyuo vikuu na hospital kubwa mfano kairuki hospital na chuo kikuu cha kairuki.




Kama ilikuwa hujui top ten ya matajiri kulikuwa na mhaya mmoja na mchaga moja mfuruki na mengi respectively.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kuwaza hivi itakuwa ni jinsia gani kati ya (ME) na (KE) inayomfanya Mtawala awaDIS Kina Mangi Meli.....
 
Back
Top Bottom