Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Wanabodi,

Asalam aleikum!

Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.

Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.

Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.

Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?



Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.

Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.

Tunaomba utuombe radhi mara moja.

WAchagga walimtesa sana pale faculty mwaka 1987, UDSm, na alitoswa mara 3 na dada Flora Ringia, tuyaache lakini anawachukia kuliko hata CORONA
 
Huyu hapendi watu wajanja na wenye akili anapenda mazwazwa tu. Wachaga msikate tamaa kaja kawakuta ataondoka mtabaki kuwepo

Wapumbavu nyie Kuna corona huku duniani. Utani kwa wachaga tangu kuumbwa Kwa watanzania. Shida kubwa mna chuki za kimama mama Sasa mnatafuta kichwa tu cha habari na kuandika upumbavu. My dear stupid group of disorganized und misled people kumbukeni „ well done is better than well said“ na pia unapochukia kijinga unatengeneza personal corona Ndani ya moyo na maisha yako. Work hard.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Asalam aleikum!

Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.

Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.

Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.

Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?



Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.

Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.

Tunaomba utuombe radhi mara moja.



Wapumbavu nyie Kuna corona huku duniani. Utani kwa wachaga tangu kuumbwa Kwa watanzania. Shida kubwa mna chuki za kimama mama Sasa mnatafuta kichwa tu cha habari na kuandika upumbavu. My dear stupid group of disorganized und misled people kumbukeni „ well done is better than well said“ na pia unapochukia kijinga unatengeneza personal corona Ndani ya moyo na maisha yako. Work hard.
 
Najaribu kufikiri iwapo Rais Magufuli ndio angekuwa Rais wa kwanza wa Tanganyika sio kama suala la lingekuwa vipi.

Mwl Nyerere alijenga nchi ya heshima sana,katika baraza lake la mawaziri walikuwepo wazungu,wahindi,wasukuma,wachagga,wahehe,wanyakyusa,wasandawe,wapogoro........haya mambo ya ukabila walikuwa nayo majirani zetu waKenya tena tulikuwa tukiwacheka sana.

Najaribu kufikiria Askofu Mkuu Ruaichi Mchagga sijui nae mwizi,Askofu Shoo sijui nae mrushi,jambazi kwasababu tu ya kabila lake ?.Naenda mbali kidogo Kalasinga na Rugemalila sijui nao wachagga au Commissioner Andengenye na Lugola walikana makabila yao lini hata wakaingizwa sasa wachagga ?.

Wafungwa wote katika magereza yetu ni wachagga ?.Nadhani yafaa sana viongozi wetu wakatafakari kabla ya kutamka kuepuka na kuepusha jamii yetu ikajaonekana tulikuwa na viongozi wa ajabu sana kuwahi kutokea katika karne ya 21.

Udokozi au wizi hauna kabila,dini wala jinsia.washindwe na walegee wale wote wanaotaka kutuingizia ukabila kwa manufaa ya siasa nyepesi.
Nyamaza wachaga mnajulikana kwa wizi na kwenu hiyo ni sifa. Yaani mchaga (baadhi) akipewa nafasi kubwa cha kwanza ni kuiba. Ni wezi sana wachaga
 
Wachagga tumepitia mengi kuliko haya.

Mangi Mkuu, Thomas Lenana Marealle alienda kuonana na malkia, uingereza kudai uhuru wa Kilimanjaro,

Mwalimu alistaajabu kuona kazidiwa akili na huyu jembe kutoka London school of business, Marealle.

Akaandaa mpango wa kuwanyima Wachagga elimu, kwakuwa sisi Akili nyingi tukasafiri kote nchini na kubadili majina.

Tukatoboa sana sekta zote nyeti.

Mwalimu kwa aibu akampa lucy lameck, mwanamke wa kwanza kuwa waziri kutoka moshi.

Maana wasomi walikuwa Wachagga kidogo na wahaya.

Mwalimu amekufa bhado tunadunda na hata huyu mshamba wa kisukuma atakufa Wachagga wataendelea kupeta.

Ukitaka kujua ni akili nyingi, kuna kabila hapa Tanzania lina tajiri mwenye networth ya Reginald Mengi? Hakuna.

Mti mzuri lazima upigwe mawe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa Mbowe.
Mbowe alivyosema..... kuna Mmasai mmoja hivi (Sanaya).......ndo anatusumbua.....atakuwa anawachukia wamasai?
Na aliyesema Msukuma mfupi......(JPM) anawabagua wasukuma?
Haya mepesi tusiyakuze kisa eti mtu kataja kabila la mtu.
 
Mtu anaweza kuandika kitabu kupitia matamshi ya rais yaani hotuba zake. Ikiwa huyo mtu ana nia mbaya anaweza kujenga hoja ambazo sio nzuri.
Hivyo ukiwa mfalme kila neno litokalo kinywani mwako inatakiwa ulitafakari sana.
Angalia hapa tayari hoja inasema raisi ana chuki na wachaga.
So, mtu akichagua upande wa negative kuhusu Magufuli kupitia hotuba zake ni nani ataweza kubisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe alivyosema..... kuna Mmasai mmoja hivi (Sabaya).......ndo anatusumbua.....atakuwa anawachukia wamasai?
Na aliyesema Msukuma mfupi......(JPM) anawabagua wasukuma?
Haya mepesi tusiyakuze kisa eti mtu kataja kabila la mtu.
Sabaya siyo sanaya.
 
Huyu hapendi watu wajanja na wenye akili anapenda mazwazwa tu. Wachaga msikate tamaa kaja kawakuta ataondoka mtabaki kuwepo
Kabisa Mkuu.

Wachagga ni Akili kubwa tangu kabla ya uhuru.

Hata waasisi wa vyama vya upinzani karibia wote ni Wachagga.

Taasisi nyeti hukosi kina mangi.

Biashara kubwa hapa ndio usiseme.

Hata maendeleo ya vijijini Wachagga tuna utaratibu wa kuchanga kuleta miundombinu bila kuwa tegemezi kwa serikali, kabila gani wanafanya hivi?

Tulichanga billions of money, kuweka lami jimbo la vunjo.

Hata Israel inachukiwa na arabs.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Asalam aleikum!

Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.

Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.

Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.

Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?



Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.

Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.

Tunaomba utuombe radhi mara moja.
Hataafanye nini,mchaga atabaki kuwa juu,
Utajiri,ujasiliamali kwa mchaga haukuanza jana,ni kitu kimejengwa vizazi na vizazi,msukuma na ushamba wake atasubili sana,
Nyerere alijaribu kuwagandamiza wahaya,kwenye elimu,mpaka viwango vya ufaulu kwa wanafunzi wa kagera vikawa vya juu kuriko mikoa mingine,lakini wapi,mhaya akazidi ku shine tu,
Maghu kwa mangi atasubiri sana,
Mangi walioamia bagamoyo,wanafungua baa,hardware,maduka,msukuma anauza genge,na kulima!
Mtasubili sana,
Bravo shemeji zangu,endeleeni kukimbiza mpaka watu wajinyonge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom