Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Ni ujinga kuajili watu kwa kuangalia udini, Dau na wengine wote wenye kutumia dini ni wapumbafu. Hata Asad naye inasemekana ni mdini dini ila ina wezekana watu ka yeye system ilishawaweja kapuni hawezi kufurukutaDau c alishaondoka mwaka wa 3 sasa huu, jazeni wakristo mbona hakuna neno?