Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The president is correct, I hated that thing from the beginning
White elephant Project!Ule mradi huwezi kuamini kama ni hela za wavuja jasho....
He was a Minister at the time when the project commencedThe president is correct, I hated that thing from the beginning.
sio kila mtu anaweza kushauri kwa sbb yupo serikaliniwakati unaanzishwa alikuwa serikalini mbona hakushauri hivyo?
Wewe ulitaka ndege ya Rais itue kwenye mwembe?, acha wivu wa kijingaUmakini wake ni kujenga uwanja wa ndege wa kisasa kule Chato?
Una akili wewe au matope?
Natumaini ulimaanisha Revoke.Mheshimwa rais wetu, okoa pesa zilizowekezwa kifisadi na Dau kule kigamboni kwa kufuta hati ya viwanja vyote vya akbar, ili akose uhalali kisheria na hivyo kuwakabidhi nssf waendelee kutafuta mbia mpya.
Tafadhali sana mheshimiwa rais
Akifanya Muislamu Mdini ila akifanya mkristo sio Mdini. Hii inathibitisha DINI pekee ya haki Duniani ni Uislamu.Dau pale NSSF alipageuza udini, alishawahi mdharau waziri mpakakatibu mkuu wake wa wizara ya mambo yake, kisa ni waziri mkristo. Yaani Dau hafai kuongoza watu ktk jamii. Na mtu yeyote hata ka hana dini ni dhambi kupendelea, acha kila mtu apate kazi kwa uwezo. Ukienda bakhresa naye kajaza udini tupu
Sawa ni typing error tu.
Hivi nyie uvccm mmeenda shule kweli mna ubongo au makamasi?Mheshimwa rais wetu, okoa pesa zilizowekezwa kifisadi na Dau kule Kigamboni kwa kufuta hati ya viwanja vyote vya Akbar, ili akose uhalali kisheria na hivyo kuwakabidhi NSSF waendelee kutafuta mbia mpya.
Tafadhali sana mheshimiwa rais
Rais Magufuli ameshindwa kabisa kuielewa biashara ya real estate. Ameshindwa pia kuelewa kuwa Kigamboni ndiyo city mpya. Pia ameshindwa kuelewa uwekezaji wa dege na daraja jipya ulikuwa na uhusiano upi kibiashara.Mheshimwa rais wetu, okoa pesa zilizowekezwa kifisadi na Dau kule Kigamboni kwa kufuta hati ya viwanja vyote vya Akbar, ili akose uhalali kisheria na hivyo kuwakabidhi NSSF waendelee kutafuta mbia mpya.
Tafadhali sana mheshimiwa rais
magufuri anadandia sana vitu bila kujua chanzo na nia,watu tumewekeza sama kigamboni baada ya kuona hiyo miradi,leo hii anakwambia havina faida,yani mzee hafikiri nje ya box hata kidogoRais Magufuli ameshindwa kabisa kuielewa biashara ya real estate. Ameshindwa pia kuelewa kuwa Kigamboni ndiyo city mpya. Pia ameshindwa kuelewa uwekezaji wa dege na daraja jipya ulikuwa na uhusiano upi kibiashara.
Nadhani kuna hila kama aliyaelewa yote hayo.
Mradi wa dege ungeachwa umalizike, ni mradi mzuri sana na wenye faida endelevu kwa hesabu zozote zile.
Cha mwisho alichojitetea ni kusema ule mradi unafaa "private".
Makemikali na biashara wapi na wapi?
Hivi nyie uvccm mmeenda shule kweli mna ubongo au makamasi?
Sasa mkuu hela akbar hajatoa mradi ungeishaje? Ule mradi ni ufisadi mkubwa kuliko fisadi zote zilizowahi kutokea tanzania.Mi nachosema badala ya kubwata kila leo na mradi ukiendelea kusimama kwa sababu za ugumu kisheria, basi kuondoa sheria ktk mradi huo njia pekee ni rais ku revoke hati ya hilo shamba ili akbar akose nguvu ya kushtaki na serikali ichukue mradi na kutafuta mbia wa kumalizia.OVERRais Magufuli ameshindwa kabisa kuielewa biashara ya real estate. Ameshindwa pia kuelewa kuwa Kigamboni ndiyo city mpya. Pia ameshindwa kuelewa uwekezaji wa dege na daraja jipya ulikuwa na uhusiano upi kibiashara.
Nadhani kuna hila kama aliyaelewa yote hayo.
Mradi wa dege ungeachwa umalizike, ni mradi mzuri sana na wenye faida endelevu kwa hesabu zozote zile.
Cha mwisho alichojitetea ni kusema ule mradi unafaa "private".
Makemikali na biashara wapi na wapi?
Unazidi kujithihirisha jinsi ubongo wako ulivyo kama ugaliSisi ni vichaa kama babayako