Ni ujinga kuajili watu kwa kuangalia udini, Dau na wengine wote wenye kutumia dini ni wapumbafu. Hata Asad naye inasemekana ni mdini dini ila ina wezekana watu ka yeye system ilishawaweja kapuni hawezi kufurukutaDau c alishaondoka mwaka wa 3 sasa huu, jazeni wakristo mbona hakuna neno?
Ni ujinga kuajili watu kwa kuangalia udini, Dau na wengine wote wenye kutumia dini ni wapumbafu. Hata Asad naye inasemekana ni mdini dini ila ina wezekana watu ka yeye system ilishawaweja kapuni hawezi kufurukuta
Una ushahidi na unayosema kwa data, au mradi tu umesikia?Ni ujinga kuajili watu kwa kuangalia udini, Dau na wengine wote wenye kutumia dini ni wapumbafu. Hata Asad naye inasemekana ni mdini dini ila ina wezekana watu ka yeye system ilishawaweja kapuni hawezi kufurukuta
mkuu tutakupima mkojo.....KASAHAU KUWA REFA KAWA JAJI 😀😀😀
Dau pale NSSF alipageuza udini, alishawahi mdharau waziri mpakakatibu mkuu wake wa wizara ya mambo yake, kisa ni waziri mkristo. Yaani Dau hafai kuongoza watu ktk jamii. Na mtu yeyote hata ka hana dini ni dhambi kupendelea, acha kila mtu apate kazi kwa uwezo. Ukienda bakhresa naye kajaza udini tupuNi kweli ujinga ila uzuri pia upo, maana kumbe inajuliakana dini ni uislam tu. Hamdulillah naomba niishie hapa.
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto njoo kuna ugomvi wa ngumi hapaDuh Dau alikuwa mwizi kweli kweli, na ofisi alijaza waislam tu mpaka kero
Hawakopeshi ili nikakopee kiinuamgongo changu?Ngoj tuone... ati unasema nyumba za gharama na bei nafuu... ukiuliza ni shillingi ngapi... miliion180 kwa nyumba... hahahaha...
Cc: mahondaw
KANUNI MPYA ZIMEPIGWA CHINI
FAO LA KUJITOA KAMA ZAMANI
MIRADI YA OVYO STOP.
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chamsingi wangemalizia mradi kieleweke tuu. Pamoja na makao makuu kuhamia dodoma Dar itaendelea kutanuka kutokana na kuongezeka Kwa watu. Ni kama Nigeria Lagos vs Abuja, south Africa Pretoria Vs Capetown vs Johannesburg's vs Durban, India Mumbai vs newdelh, China Beijing vs Shanghai, USA Newyork vs Los Angeles vs Chicago Vs Boston's vs Washington dcAsema bila kujali ulianzishwa na nani na kwa malengo gani ni uwekezaji usio na tija. Ungefanywa na kampuni binafsi ingeeleweka
Asisitiza, tena kwa sasa ndo haufai kabisa kufuatia Serikali kuhamia Dodoma.
Amewataka NSSF kujitafakari juu ya uwekezaji huu.
Amesema kama SSRA wangekuwa makini miradi kama hii isingekuwepo.
Soma pia:
Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Kigamboni ulioanzishwa na NSSF (Dege Eco Village) unapigwa mnada - JamiiForums
Ujenzi Mkubwa unaoendelea Kigamboni(Dege Eco Village), ni mradi wa nani? - JamiiForums
Ulitaka baraza la mawaziri lipanguliwe?wakati unaanzishwa alikuwa serikalini mbona hakushauri hivyo?
Dau pale NSSF alipageuza udini, alishawahi mdharau waziri mpakakatibu mkuu wake wa wizara ya mambo yake, kisa ni waziri mkristo. Yaani Dau hafai kuongoza watu ktk jamii. Na mtu yeyote hata ka hana dini ni dhambi kupendelea, acha kila mtu apate kazi kwa uwezo. Ukienda bakhresa naye kajaza udini tupu
Chamsingi wangemalizia mradi kieleweke tuu. Pamoja na makao makuu kuhamia dodoma Dar itaendelea kutanuka kutokana na kuongezeka Kwa watu. Ni kama Nigeria Lagos vs Abuja, south Africa Pretoria Vs Capetown vs Johannesburg's vs Durban, India Mumbai vs newdelh, China Beijing vs Shanghai, USA Newyork vs Los Angeles vs Chicago Vs Boston's vs Washington dc
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani apange laki 3 kulee??mafuta Tu ya kufika mjini kila siku ya elfu 40,kama not kupangisha basi laki na nusu walau watatushawishi Ila siwez lips laki 3 kule hela ambayo hapa chang'ombe napata apartment nzuri tuNawapeni ushauri wa maana!
vike vijumba vyenu vya vyumba vitatu mkivotaka kuuza kwa Mil 85
ambavyo thamani yake ni 20M msihangaike kuviuza! Pangisheni, nasema PANGISHENI hata kwa laki 3 au 2 na nusu kwa mwezi! na mnaowapangisha kama ni watu binafsi walipe miezi sita sita au kama ni wa serikali basi akatwe kwa mshahara wakee kila mwezi!
Msilazimishe kuuza wapuuzi nyieeee! msirudie tena ujinga huoo wa kuuza!
kwanza kupangisha kutawaletea hela nyingi na kwa maisha yoteeee itakuwa ni mafaida tuuuu
Kina ndiyoooooooooo huwa wanaitikia kama kasuku hata bila kufikiri kwamba ndiyo yao ina maanisha nini.KANUNI MPYA ZIMEPIGWA CHINI
FAO LA KUJITOA KAMA ZAMANI
MIRADI YA OVYO STOP.
Ukitoa tuhuma nzito kama hizi za wizi na udini uwe na ushahidiDuh Dau alikuwa mwizi kweli kweli, na ofisi alijaza waislam tu mpaka kero
Magufuli ni rais makini.NakupongezaAsema bila kujali ulianzishwa na nani na kwa malengo gani ni uwekezaji usio na tija. Ungefanywa na kampuni binafsi ingeeleweka
Asisitiza, tena kwa sasa ndo haufai kabisa kufuatia Serikali kuhamia Dodoma.
Amewataka NSSF kujitafakari juu ya uwekezaji huu.
Amesema kama SSRA wangekuwa makini miradi kama hii isingekuwepo.
Soma pia:
Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Kigamboni ulioanzishwa na NSSF (Dege Eco Village) unapigwa mnada - JamiiForums
Ujenzi Mkubwa unaoendelea Kigamboni(Dege Eco Village), ni mradi wa nani? - JamiiForums
Umakini wake ni kujenga uwanja wa ndege wa kisasa kule Chato?Magufuli ni rais makini.Nakupongeza