christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
Kwa huu uandishi wako sidhani kama watakuelewa.Mheshimwa rais wetu, okoa pesa zilizowekezwa kifisadi na Dau kule Kigamboni kwa kufuta hati ya viwanja vyote vya Akbar, ili akose uhalali kisheria na hivyo kuwakabidhi NSSF waendelee kutafuta mbia mpya.
Tafadhali sana mheshimiwa rais
Rais anapaswa kubadilisha mshauri wake wa Masuala ya Biashara Na Uchumi
Kwenye Uchumi wa Soko huria Kuwa Na mshauri Mwenye mlengo wa Kijamaa sio sahihi
Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pesa inazokusanya lazima iwekeze Kwenye Miradi ambayo ni ya longterm ambayo risk yake ni ndogo Sana Na kawaida Biashara yoyote ambayo level of risk is very minimal lazima return yake iwe ndogo Pia japo inadumu Kwa Muda mrefu
Sasa hivi NSSF imeshauriwa Na imeanza kuwekeza Kwenye zao la Pamba
Biashara ya Mazao hasa ya Biashara ni Biashara ya Muda mfupi ( seasonal ) Na Pia ni very risk Kwa Kuwa determinants zake ni nyingi Sana mfano haki ya hewa Na Soko la Kimataifa ambapo vyote hivyo ni uncontorable factors
Mradi wa Dege Beach ulikuwa Mradi Mzuri Sana Kwa Mwenye kuwaza Kwenye Falsafa ya kibiashara.
Rais hataki pension fund wawekeze Kwenye Majengo ila hasemi wawekeze wapi ambapo ni risk free
Imagine umewekeza Kwenye Soko la hisa Halafu linatikisika within 24 hrs unakuja kuwaeleza vipi wastaafu?
Fedha Za Pension Pia sio Za kuweka Kwenye Biashara ili zizalishe sio kuweka Kwenye Kibubu kusubiri Mtu astaafu!
Serikal kuu haikupaswa kuwekeza Kwenye Majengo, kazi hiyo ingefanywa Na Pension fund Halafu wao wakawa wakodishaji kuepuka gharama kubwa Za maintenance Na zinginezo
Ukiwaza Na kujitia Sana Hofu ya kuogopa kuibiwa Na Wafanyakazi wako usifanye Biashara tafuta shughuli nyingine
Mbia akipatikana pesa yake itarudije baada ya mradi wake kwisha???Sasa mkuu hela akbar hajatoa mradi ungeishaje? Ule mradi ni ufisadi mkubwa kuliko fisadi zote zilizowahi kutokea tanzania.Mi nachosema badala ya kubwata kila leo na mradi ukiendelea kusimama kwa sababu za ugumu kisheria, basi kuondoa sheria ktk mradi huo njia pekee ni rais ku revoke hati ya hilo shamba ili akbar akose nguvu ya kushtaki na serikali ichukue mradi na kutafuta mbia wa kumalizia.OVER
Utajiri unahesabiwa kwy investments unazo miliki na sio cash iliyoko bank, na ndio sustainable wealth.wachina wanahakiba ya pesa za kigeni trilion 4,nyingi kuliko hata marekani alizonazo hazina,lakini wanajua pesa kuiweka ikae hazina ni risk maana inapoteza thamani,ndo maana unaona wana invest huku africa na dunia kote kwenye long time investment kama hawana akili nzuri,
usiweke hela kwenye kibubu,itapoteza thamani,invest invest,
mimi ni mchumi niliehitimu darasa la saba
Sasa mkuu hela akbar hajatoa mradi ungeishaje? Ule mradi ni ufisadi mkubwa kuliko fisadi zote zilizowahi kutokea tanzania.Mi nachosema badala ya kubwata kila leo na mradi ukiendelea kusimama kwa sababu za ugumu kisheria, basi kuondoa sheria ktk mradi huo njia pekee ni rais ku revoke hati ya hilo shamba ili akbar akose nguvu ya kushtaki na serikali ichukue mradi na kutafuta mbia wa kumalizia.OVER
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Rais Magufuli ameshindwa kabisa kuielewa biashara ya real estate. Ameshindwa pia kuelewa kuwa Kigamboni ndiyo city mpya. Pia ameshindwa kuelewa uwekezaji wa dege na daraja jipya ulikuwa na uhusiano upi kibiashara.
Nadhani kuna hila kama aliyaelewa yote hayo.
Mradi wa dege ungeachwa umalizike, ni mradi mzuri sana na wenye faida endelevu kwa hesabu zozote zile.
Cha mwisho alichojitetea ni kusema ule mradi unafaa "private".
Makemikali na biashara wapi na wapi?
Heshima yako Bibi, umeongea point kubwa sana hapa kibiashara ulikuwa bonge la mradi ko tungekubali kuwa tuliibiwa lakin ilikuwa too late kuusimamisha na kuyaacha yale majengo vilevile mwishowe yawe magofu ...Rais Magufuli ameshindwa kabisa kuielewa biashara ya real estate. Ameshindwa pia kuelewa kuwa Kigamboni ndiyo city mpya. Pia ameshindwa kuelewa uwekezaji wa dege na daraja jipya ulikuwa na uhusiano upi kibiashara.
Nadhani kuna hila kama aliyaelewa yote hayo.
Mradi wa dege ungeachwa umalizike, ni mradi mzuri sana na wenye faida endelevu kwa hesabu zozote zile.
Cha mwisho alichojitetea ni kusema ule mradi unafaa "private".
Makemikali na biashara wapi na wapi?
hivi huyo dau alitumikia serikali iliyokuwa inaongozwa na chama gani cha siasa?, je mawaziri waliokuwa kwenye hiyo serikali kwa sasa wako wapi?Niongeze yepi mkuu maana yeye mwenyewe amekuwa analalamika sana kuhusu mradi wa DEGE, solution ili asistakiwe a revoke hati za hivyo viwanja then akbar akose wa kumshitaki.
Ugali chakula wako kama kinyesi cha fisi😛Unazidi kujithihirisha jinsi ubongo wako ulivyo kama ugali
Tatizo la mwalimu wa kemia ni mjuaji wa kilakitu, kuna siku nimemsikia akiwashauri mifuko ya jamii wawekeze kwenye viwanda, nadhani they bought that, sijui wanamuogopa? Tangu lini machineries zikakezwa na kwenye mifuko ya jamii?Rais anapaswa kubadilisha mshauri wake wa Masuala ya Biashara Na Uchumi
Kwenye Uchumi wa Soko huria Kuwa Na mshauri Mwenye mlengo wa Kijamaa sio sahihi
Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pesa inazokusanya lazima iwekeze Kwenye Miradi ambayo ni ya longterm ambayo risk yake ni ndogo Sana Na kawaida Biashara yoyote ambayo level of risk is very minimal lazima return yake iwe ndogo Pia japo inadumu Kwa Muda mrefu, Miradi ya Majengo Ni Moja ya hizo investment
Sasa hivi NSSF imeshauriwa Na imeanza kuwekeza Kwenye zao la Pamba
Biashara ya Mazao hasa ya Biashara ni Biashara ya Muda mfupi ( seasonal ) Na Pia ni very risk Kwa Kuwa determinants zake ni nyingi Sana mfano haki ya hewa Na Soko la Kimataifa ambapo vyote hivyo ni uncontorable factors
Mradi wa Dege Beach ulikuwa Mradi Mzuri Sana Kwa Mwenye kuwaza Kwenye Falsafa ya kibiashara.
Rais hataki pension fund wawekeze Kwenye Majengo ila hasemi wawekeze wapi ambapo ni risk free
Imagine umewekeza Kwenye Soko la hisa Halafu linatikisika within 24 hrs unakuja kuwaeleza vipi wastaafu?
Fedha Za Pension Pia ni Za kuweka Kwenye Biashara ili zizalishe sio kuweka Kwenye Kibubu kusubiri Mtu astaafu!
Serikal kuu haikupaswa kuwekeza Kwenye Majengo, kazi hiyo ingefanywa Na Pension fund Halafu wao wakawa wakodishaji kuepuka gharama kubwa Za maintenance Na zinginezo
Ukiwaza Na kujitia Sana Hofu ya kuogopa kuibiwa Na Wafanyakazi wako usifanye Biashara tafuta shughuli nyingine
Hujaelewa kwa kuwa huna uelewa wa mamboKwa huu uandishi wako sidhani kama watakuelewa.
Mradi kutokuendelea sio kwasababu ya Akbar, Akbar alichangia ardhi NSSF walikuwa wanatoa pesa, Rais nikama mradi ukapigwa stop, waturki wakaondoka kwahiyo issue hapo ni either NSSF wamalizie mradi au yaendelee kuwa magofu kwa akili ya kibiashara ule mradi ni mkubwa sana ku fail
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ya sasa haitaki kutambua yaliyofanywa na awamu ya nne kwa kuwa awamu hiyo ilikuwa ya kipigajihivi huyo dau alitumikia serikali iliyokuwa inaongozwa na chama gani cha siasa?, je mawaziri waliokuwa kwenye hiyo serikali kwa sasa wako wapi?
Wizi pale ni wa kusadikika.Heshima yako Bibi, umeongea point kubwa sana hapa kibiashara ulikuwa bonge la mradi ko tungekubali kuwa tuliibiwa lakin ilikuwa too late kuusimamisha na kuyaacha yale majengo vilevile mwishowe yawe magofu ...
Sent using Jamii Forums mobile app
NAOMBA NIJIBU SWALI LANGU, ACHA MAELEZO YASIYO NA TIJA. KWANI HUYO ANAYEONGOZA SERIKALI YA SASA, KWENYE AWAMU YA NNE ALIKUWA WAPI? AU UNAFIKIRI WATU WAMESAHAU NYUMBA ZA SERIKALI, KIVUKO CHA BAGAMOYO NA BARABARA ZILIZOJENGWA CHINI YA KIWANGOSerikali ya sasa haitaki kutambua yaliyofanywa na awamu ya nne kwa kuwa awamu hiyo ilikuwa ya kipigaji
Kama hujui alikuwa wapi we syo mtanzania na sina haja ya kukujibia, hata nikikujibia hope hutaelewa maana huna uwezo wa kuelewa.NAOMBA NIJIBU SWALI LANGU, ACHA MAELEZO YASIYO NA TIJA. KWANI HUYO ANAYEONGOZA SERIKALI YA SASA, KWENYE AWAMU YA NNE ALIKUWA WAPI? AU UNAFIKIRI WATU WAMESAHAU NYUMBA ZA SERIKALI, KIVUKO CHA BAGAMOYO NA BARABARA ZILIZOJENGWA CHINI YA KIWANGO