Rais Magufuli: Wanaoikosoa serikali kwa staha hatuwachukii

Sidhani kama kuna utawala ambao umeongoza kuvunja katiba kama utawala wa awaku ya tano.

Siku utawala wa awamu ya 5, utakapotamka na kuwa tayari kuongoza nchi hii kwa mujibu wa katiba, hata hii ya sasa, ambayo ina kasoro nyingi, malalamiko mengi dhidi ya Serikali, na chuki dhidi dhidi ya serikali na viongozi, vitapungua.
 
Hayo maneno kwenye KATIBA hakuna!! Kama hawezi arudi chato mbona hatujamuomba kuwa Rais

Hapa yenyewe tunamsaidia kupata utajiri.
That is foolish! Unataka katiba ya nchi ikufundishe kutumia mdomo wako. Ikufundishe kuacha matusi? Hiyo siyo Katiba, labda diary yako.
 
Hali halisi kwa takwimu zipi? Zile zile za mapapai?
 
That is foolish! Unataka katiba ya nchi ikufundishe kutumia mdomo wako. Ikufundishe kuacha matusi? Hiyo siyo Katiba, labda diary yako.

Wapi watu wanatakana? Na kwanini unajifisha kwenye Matusi
 

Kasome tena katiba hakuna kukosoa kwa Staha!!

Tunakosoa kutoka na tukio husika!!! Hakuna sehemu watu wanatukana ndio maana Gazeti Uhuru wanaandika uongo lakni hakuna anaesema lakini wengine wakiandika ukweli wanafungiwa .
 
Lakini jambo la kusikitisha ni kuona kuna upotoshaji mkubwa unaofaywa na baadhi ya vyombo vya habari. Mfano ni kuandika habari za uzushi juu ya vifo vya viongozi na kupotosha kuwa sasa kuna maambukizi makubwa ya Corona tofauti na hali halisi.

Hali halisi ikoje; Maambukizi na makubwa, madogo, ya wastani, machache au hayapo ?

Kama hatuambiwi maambukizi yakoje na Taasisi husika unategemea itakuwaje, tatizo ni kwamba either kwa makusudi au bahati mbaya sources za habari ambazo ndio zingetegemea haziaminiki...., Kazi yao imekuwa ni kubisha na kufanya propaganda
 
Hii nii sawasawa na wale wanaosema
Usitoe Talaka ukiwa na hasira kali[emoji849][emoji3]
 
Akishasemaga hivyo kinachofuata hapo lazima mtu apopolewe.Rejea kauli yake ya nyuma baada ya hapo TL yakamkuta ya kumkuta!
 
Hapo ni sawa na kwenda kumuomba kiustarabu, mwizi aliyekuibia mali zako kwa kutumia silaha, akurudishie .Je,atarudisha??!!
 
Hapo ni sawa na kwenda kumuomba kiustarabu mwizi aliyekuibia mali zako kutumia silaha akurudishie .Je,atarudisha??!!
Nimeuliza hivi, kama ni sawa Je nitumie njia gani kuufikisha ujumbe huu wa Katiba na Tume Huru kwa watanzania walio wengi ili hoja yangu ibakie kuwa ya staha ?
 
Nimeuliza hivi, kama ni sawa Je nitumie njia gani kuufikisha ujumbe huu wa Katiba na Tume Huru kwa watanzania walio wengi ili hoja yangu ibakie kuwa ya staha ?
Kudai katiba na tume huru ya uchaguzi ni kutangaza vita.Kwa hiyo kwa vyovyote utakavyodai itaonekana huna lugha ya staha!
 
Je, Katiba yetu tuliyonayo inaruhusu kutokuheshimu mamlaka iliyoko madarakani au kutokuwaheshimu wengine? Kukosoa Serikali bila staha kwa maana nyingine ni kudharau mamlaka iliyoko madarakani. Katiba yetu inaruhusu hilo?

Tatizo lenu mnadhani kukosoa ni ombi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…