Haya maneno ya Raisi Magufuli yana ukweli mwingi sana, na haya kuanza leo, nyerere alihujimiwa sana lakini alivumilia sana na tukipata shida sana.
Huko Somalia Siad Barre 1977, alishawishiwa na Jimmy Carter aivamie Ethopia, Urusi ilipo badilisha kambi kuwahama Somalia na kwenda kwa Mengistu Ethopia, na baadaye America wakamtelekeza Barre mpaka machafuko yakaanza somalia.
Waingereza walimshawishi Iddi Amin ampindue Obote hatimaye tuliona yaliyotokea, na wakamshawishi Nyerere aivamie Uganda, wakatutelekeza peke yetu, hadi uchumi wetu ukaharibika.
Leo hii wanatumia NGO na WHO kutudhibiti kwa kutumia chanjo za Polia na maradhi mengineyo, huku wachanganya dawa za kufunga uzazi, tuzizaane.
Kuna mengi yanafanywa tusiendele na wazidi kutudhibiti.
Mradi wa Steigle Gorge unapigwa vita, eti mazingira na utawateketeza wanyama, mbona mradi wa REINASENCE DAM wa Ethopia hawaupingi wala kuuzungumzia, kwa sababu wanaodhurika ni waafrika, na hakuna wanyama pori kwa starege zao, lakini Waafrika zaidi ya million 120 hakuna neno wakiteseka kukosa maji kwa maisha yao.
Sent using
Jamii Forums mobile app