Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

Makanisa yachukue hatua, mtu asiingie kanisani bila barakoa, baadhi ya taasisi za umma ukanyaji bila barakoa!
 
Mnataka press ya taifa ili iweje ..na utu uzima wako unaenda kunya unasubiri uambiwe utawaze au uchambe ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila mtu mzima ana uelewa ulio nao wewe kuna wengine ni mtu nusu. press ya taifa ni muhimu itachangia kuleta attention kwa wengi wasio na uelewa wa hili jambo unadhani yule aliyepo "sitimbi" ana elimu yoyote kuhusu ili tatizo? Au hujui kiongozi mkuu ana influence na impact kubwa kwenye jamii?? Uwezo wako wa kuelewa jambo hauwezi kuwa sawa na yeyote yule bado inahitajika elimu kubwa kuhamasisha jamii kuhusu ili janga jombaa.
 
Wajinga wako wengi. Tatizo ni kuwa hamjui english kama baba yenu na elimu yenu ni ya kuungaunga. Sikutegemea kuwa kuna kiongozi wa nchi mwenye level ya uelewa kama huyu. Na wajinga kama wewe mnahoji bila kujua hata mnachohoji. Unajua ilikuwa wafe watu wangapi kama nchi za Ulaya zisingechukuwa hatua? Unajua population ya wazee kule ni kiasi gani?
 
Numbe of fatalities caused by covid 19 in Italy? Kenya? Though lockdown and social distance measures were implemented.
Yaani wewe sijui kwann kichwa kigumu, Nchi hizo uluizotaja vifo vimepungua Sana baada ya Lockdown, social distancing. Sijui unatumia kamasi kufikiri.
 
Mkuu, hao ndio tatizo kwa sababu ndio washauri wake. Wakisimama imara lazima tu na yeye abadilike. Angalia kanisa lilivyosimama imara na yeye kama muumuni ametambua.
Kisirisiri kuna kutoamini kama barakoa zinasaidia. Kuna haja gani kulinganisha ueezo wa barakoa na na uwezo wa Mungu.
Sayansi imetufunza mengi hata mpangilio wa kula. Mbona tunatumia dawa kwa kinga au kutibu kwani kwa kufanya hivyo tunsmpinga Mungu?
 
Numbe of fatalities caused by covid 19 in Italy? Kenya? Though lockdown and social distance measures were implemented.
How do you compare the number of casualities without having any data from Tanzania? What criteria are you using?
 
Serikali ifanye kazi yake na Dini zifanye kazi yake.
Maisha ni kugawana majukumu.
 
Aliyeandika hiyo hotuba anaweza kutumbuliwa kwa kuandika tofauti na hisia za mwenye hotuba.
 
Afadhali amekiri uwepo wa Covid -19

Angeendelea kushupaza shingo angepigwa mapigo kama wa Ayubu hadi akiri kwa kinywa chake
 
Masikini Jaji Mihayo amekutana na Jiwe akavua kabarakoa kake. Siku akifa tunaambiwa kuwa wamekufa kidogo tuu ukilinganisha na huko duniani.
 
Toa elimu bila kueneza chuki zisizo na maana
Chuki gani? Anayesema barokoa zimewekwa virus ili tufe na anayesema tujikinge na virus ni nani anaeneza chuki? Anayesema hili suala la corona ni vita ya kiuchumi na mimi nayesema ni janga la dunia yote ni nani anaeneza chuki? Anayesema kuna watu walikwenda kuchanja wakarudi na corona ndiyo maana watu wanakufa na anayesema tujitahidi tupate chanjo ni nani anayeeneza chuki?
 
Hilo ndilo ninalotaka kusikia kwa kiongozi wa nchi.

Wananchi tupo tayari kusanehe yote yaliyopita, tuungane kwa nguvu zote, Raisi, viongozi was dini, taasisi zote na wananchi wote kupambana na Corona. Tushauriane, tuelekezane, lakini kwa lengo moja, kuyaokoa maisha yetu. Hata tusipofanikiwa kwa 100% lakini nina uhakika tutafanikiwa.

Kwenye tatizo hili hakuna mtu mmoja pekee yake mwenye jibu. Ni lazima tushirikiane sote, kuliko kuendesha Kila kitu kwa amri.
 
"Siku ina masaa 48"... Mwisho wa kunukuu.
Haa haa. Something is very wrong in upstairs. Hata hajui kuwa barakoa hazivaliwi muda wote mpaka unapokuwa umelala au uko nyumbani. Anajifanya hajui kuwa barakoa ni pale unapokuwa kwenye msongamano wa watu wengi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…