HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Hata ikiundwa upya ni sawa na divai kwenye kiriba cha zamani. .....
Polisi ni kuifumua yote iundwe upya, kwa sheria na Miongozo mipyaaa. Hata ukimtoa IGP haisaidii. Polisi waaambiwe ni kosa kuua raia asiekua na hatia.