Rais Magufuli yuko sahihi kabisa baada ya muda tutakuwa kama Ethiopia

Rais Magufuli yuko sahihi kabisa baada ya muda tutakuwa kama Ethiopia

Ethiopia haiwekezi katika "white elephants" bali kupitia vichwa makini vyenye uthubutu wa kutenda na kuleta matokeo chanya ya kiuchumi. Wao huangalia "demand driven financial leverage" badala ya "supply driven political leverage". Huwezi kulinganisha mikakati ya kibiashara ya Ethiopian Airway na hili la kwetu. Huwezi kulinganisha miundombimu ya usafiri wa umma wa "trams" na hii ya kwetu ya mabasi ya mwendokasi, miradi makini ya vyanzo vya umeme, japo kwa kutaja machache.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiuchumi non productive projects huwa haishauriwi kuifanya sana maana hazirudishi pesa moja kwa moja mpaka pawepo na mirandi mingine mtambuka ndio itasaidia kupunguza maumivu kwa mwananchi.

Nchi za afrika zinahitaji sera za taifa na sio utashi wa kikundi cha watu, itapiga maendeleo.
 
Ethiopia inajitahidi sana japo haina resources kama zetu..
Kwetu sisi kama model kwetu ni lazma tu tukubali kuwa kuna mahali tumefeli
 
Tutakuwa mfano katika nchi za Afrika ambazo kwa muda mrefu tumekuwa tunadharaulika. JPM ni game changer, you just watch what will happen. Msione Nchi za magharibi zinaweweseka. We are ready to show the way. Ethiopia ni cha mtoto, hata kabla Bwawa la Mwalimu Nyerere kwisha tumekuwa leading African country kutoa umeme kwa kila raia anayeishi Tanzania vijijini 74% sio haba tanahitaji kufikia 100% ifikapo 2022.

 
Tutakuwa mfano katika nchi za Afrika ambazo kwa muda mrefu tumekuwa tunadharaulika. JPM ni game changer, you just watch what will happen. Msione Nchi za magharibi zinaweweseka. We are ready to show the way. Ethiopia ni cha mtoto, hata kabla Bwawa la Mwalimu Nyerere kwisha tumekuwa leading African country kutoa umeme kwa kila raia anayeishi Tanzania vijijini 74% sio haba tanahitaji kufikia 100% ifikapo 2022.


Aisee!
 
Ethiopia haiwekezi katika "white elephants" bali kupitia vichwa makini vyenye uthubutu wa kutenda na kuleta matokeo chanya ya kiuchumi. Wao huangalia "demand driven financial leverage" badala ya "supply driven political leverage". Huwezi kulinganisha mikakati ya kibiashara ya Ethiopian Airway na hili la kwetu. Huwezi kulinganisha miundombimu ya usafiri wa umma wa "trams" na hii ya kwetu ya mabasi ya mwendokasi, miradi makini ya vyanzo vya umeme, japo kwa kutaja machache.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,
Kwanini unasema ni white elephants?
Unasema miradi ya Ethiopia kama hii ya kwetu lakini hauwezi kuilinganisha. Unamahanisha nini?
 
ukiangalia video hii utagundua kua uchumi wa ETHIOPIA umekua kwa kasi hadi kufikia kuitwa CHINA YA AFRICA kutokana na miradi mikubwa kama anayoifanya Rais wangu mpendwa Mgufuli wajinga wanipinge kwa matusi walevu kwa hoja
Ethiopia hakuna wajinga Kama bongo kwaiyo kuna utofauti hapo

Bongo kuna wajinga asilimia 99

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutakuwa mfano katika nchi za Afrika ambazo kwa muda mrefu tumekuwa tunadharaulika. JPM ni game changer, you just watch what will happen. Msione Nchi za magharibi zinaweweseka. We are ready to show the way. Ethiopia ni cha mtoto, hata kabla Bwawa la Mwalimu Nyerere kwisha tumekuwa leading African country kutoa umeme kwa kila raia anayeishi Tanzania vijijini 74% sio haba tanahitaji kufikia 100% ifikapo 2022.


Rubbish!! Nenda kawadanganye ngumbaro ambao hawajui kusoma
 
Mkuu,
Kwanini unasema ni white elephants?
Unasema miradi ya Ethiopia kama hii ya kwetu lakini hauwezi kuilinganisha. Unamahanisha nini?
Mkuu, Babu M hivi kwako inaingia akilini kuvunja jengo la makao makuu ya TANESCO na kisha kujenga "interchange" ambayo hata haiathiri uwepo wa jengo lililokwisha kuvunjwa, hivi unaona ni vyema kuwekeza mabilioni kufufua shirika la ndege ambalo halimudu biashara za kiushindani, hivi unafikiri kuna uharaka wa kuingia madeni yenye masharti ya kibiashara ili kukamilisha miradi ya SGR na bwawa la umeme, hivi unafikiri ilikuwa ni wazo la kijinga kwa serikali ya awamu ya 4 kutaka kutekeleza miradi ikijumuisha na ile ya bandari ya Bagamoyo (ambayo yameachwa kwa makusudi licha ya uwepo wa MoU) kwa njia ya PPP, pengine haya machache yanatosha kwa ajili ya mjadala zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukiangalia video hii utagundua kua uchumi wa ETHIOPIA umekua kwa kasi hadi kufikia kuitwa CHINA YA AFRICA kutokana na miradi mikubwa kama anayoifanya Rais wangu mpendwa Mgufuli wajinga wanipinge kwa matusi walevu kwa hoja
Subiri zitto huko alikofichwa na mange aje na takwimu zake!
 
Wananchi wa Ethiopia wanatoroka kila siku kama wahamiaji haramu.
Ethiopia ni moja ya nchi top 10 zenye wahamiaji haramu wengi.
Kama Watanzania mnataka kujipima kiuchumi nawasishi mjilinganishe na Kenya tu, hiyo ndiyo nchi ambayo tukijengeana wivu wa maendeleo tutapiga hatua. Kwanza tuna share mpaka kwa sehemu kubwa kuliko nchi nyingine yeyote, tuna muingiliano wa watu wa mpakani, tunafanana historia angalao kwa 70%.

Kubwa kuliko wale wa Kenya wenzetu kiuchumi wako juu kwa kuwa GDP yao ni sawa na GDP ya nhi zote za Afrika Mashariki zilizobaki zikiwekwa kwa pamoja (Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi & South Sudan)

Uchumi wa Ethiopia una takwimu nyingi za kuchakachua ndiyo maana namba ni kubwa ya economic growth sijui 7.4% . Lakin nchi hiyo hiyo yenye takwimu kubwa ndiyo yenye raia maskini kuliko wote Afrika.
 
Mkuu, Babu M hivi kwako inaingia akilini kuvunja jengo la makao makuu ya TANESCO na kisha kujenga "interchange" ambayo hata haiathiri uwepo wa jengo lililokwisha kuvunjwa, hivi unaona ni vyema kuwekeza mabilioni kufufua shirika la ndege ambalo halimudu biashara za kiushindani, hivi unafikiri kuna uharaka wa kuingia madeni yenye masharti ya kibiashara ili kukamilisha miradi ya SGR na bwawa la umeme, hivi unafikiri ilikuwa ni wazo la kijinga kwa serikali ya awamu ya 4 kutaka kutekeleza miradi ikijumuisha na ile ya bandari ya Bagamoyo (ambayo yameachwa kwa makusudi licha ya uwepo wa MoU) kwa njia ya PPP, pengine haya machache yanatosha kwa ajili ya mjadala zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ndiyo guiding principles za economic growth. Bahati mbaya tunaongozwa Dikteta anayejifanya anajuwa kila kitu kumbe anajuwa kemia tu.
 
Back
Top Bottom