Ad majorem
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 939
- 1,460
Kwa hiyo lengo lenu mnataka baada ya Muda Watanzania tuanze kuwa wahamiaji haramu kwenye nchi za watu kama hawa Waethiopia wanaokamatwa kila Mara Bagamoyo na Iringa wakijarib kwenda kutafuta maisha mbali na nchi yao, kutokana na ugumu wa maisha ya Ethiopia? Mungu tunusuru.