DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
Habari za sasa wanajamii , natumai ni nzuri.
Nilikuwa na maswali kadhaa kuhusu ziara za viongozi wetu wakuu wa nchi wa tatu (Rais, Makamu wa Rais, na Waziri mkuu)
1. Je ziara za viongozi wetu hawa kwa mataifa waliyo enda kuzuru zitatamatika lini kwa kila mmoja?
2. Kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wote wakuu wa tatu wa nchi kwenda nje ya mipaka ya nchi yetu kwa wakati mmoja?
3. Kwa sasa kiongozi wa juu wa kiserikali ndani ya mipaka yetu ni nani (Cheo na jina lake)
4. Hatari ni ipi kwa nchi endapo viongozi wote watatu wa juu wa serikali wasipokuwepo ndani ya mipaka ya nchi yetu ?
5. Ni faida zipi taifa ina zipata kwa ziara za viongozi hawa watatu kwa mataifa waliyo zuru?
Nilikuwa na maswali kadhaa kuhusu ziara za viongozi wetu wakuu wa nchi wa tatu (Rais, Makamu wa Rais, na Waziri mkuu)
1. Je ziara za viongozi wetu hawa kwa mataifa waliyo enda kuzuru zitatamatika lini kwa kila mmoja?
2. Kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wote wakuu wa tatu wa nchi kwenda nje ya mipaka ya nchi yetu kwa wakati mmoja?
3. Kwa sasa kiongozi wa juu wa kiserikali ndani ya mipaka yetu ni nani (Cheo na jina lake)
4. Hatari ni ipi kwa nchi endapo viongozi wote watatu wa juu wa serikali wasipokuwepo ndani ya mipaka ya nchi yetu ?
5. Ni faida zipi taifa ina zipata kwa ziara za viongozi hawa watatu kwa mataifa waliyo zuru?