Rais, Makamu wake na Waziri Mkuu wote wapo nje ya nchi?

Rais, Makamu wake na Waziri Mkuu wote wapo nje ya nchi?

Zitatamatika soon baada ya shughuli iliyowapeleka kumalizika.

Kila mmoja amekwenda kwa tukio muhimu, ila imetokea tuu matukio yamegongana.

Tuna kitu kinachoitwa hierarchy anaanza Rais, VP, Rais wa ZnZ, PM, Spika, JM,
Wale VP wawili wa Zanzibar, katiba ya JMT haiwatambui!. Ikitokea wote sita hawapo, anateuliwa most senior cabinet minister mmoja kukaimu urais.

Hakuna hatari yoyote!. Ulinzi wa nchi ni chini ya CinC, ambayo haikaimishwi, CinC asipokuwepo nchini, ulinzi wa nchi uko chini ya CDF.

Faida ni nyingi!.
P
Anaanza Rais wa Jamhuri, anafata Makamu wa kwanza wa Rais (Rais wa Zanzibar) anafata Makamu wa Rais, Anafuata Spika wa Bunge na Jaji mkuu,

Waziri Mkuu ni mtendaji wa shughuli za Serikali bungeni
 
1. Zitatamatika lini ? Siku gani ?
Zitatamatika ile siku zitakapofikia tamati, siku hiyo itakuwa siku ya hiyo tamati, jina la siku hiyo ni ama Jumamosi, Jumapili, Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, au Ijumaa.
2. Faida ni nyingi , kama zipi hizo ? Zitaje
Faida za ziara za viongozi nje ya nchi ni nyingi sana siwezi kutaja zote, ila naweza kukusaidia wewe mwenyewe kuzijua. Kwa vile kwako una chumba na una kitanda cha kulalia, fikiria faida utakazo zipata kama utaamua kujifungia tuu chumbani kwako bila kutoka nje na ukitoka ni sebuleni, na ukitoka nje nikwa jirani tuu?. Chumbani ni Tanzania, kwa jirani ni Africa.
3. Kwani utaratibu wa ziara za viongozi wetu upoje ? [ Umesema zimetokea zime gongana ].
Utaratibu wa ziara za viongozi wetu uko ok kama unavyoendelea hauna tatizo lolote. Shughuli ni zimegongana na hii sio mara ya kwanza kwa shughuli kungongana, Samuel Sitta akiwa Spika amewahi kuachiwa nchi.
P
 
Zitatamatika soon baada ya shughuli iliyowapeleka kumalizika.

Kila mmoja amekwenda kwa tukio muhimu, ila imetokea tuu matukio yamegongana.

Tuna kitu kinachoitwa hierarchy anaanza Rais, VP, Rais wa ZnZ, PM, Spika, JM,
Wale VP wawili wa Zanzibar, katiba ya JMT haiwatambui!. Ikitokea wote sita hawapo, anateuliwa most senior cabinet minister mmoja kukaimu urais.

Hakuna hatari yoyote!. Ulinzi wa nchi ni chini ya CinC, ambayo haikaimishwi, CinC asipokuwepo nchini, ulinzi wa nchi uko chini ya CDF.

Faida ni nyingi!.
P
CinC ndo nini kiongozi?????!!!!???
 
Usijali hakuna baya la kutokea, kama halijatokea viongozi nchi nyingi za Africa zikiwa kwa kwini na wakawekwa kwenye bus la king msukuma iweje itokee leo? Relax.
 
Zitatamatika ile siku zitakapofikia tamati, siku hiyo itakuwa siku ya hiyo tamati, jina la siku hiyo ni ama Jumamosi, Jumapili, Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, au Ijumaa.

Faida za ziara za viongozi nje ya nchi ni nyingi sana siwezi kutaja zote, ila naweza kukusaidia wewe mwenyewe kuzijua. Kwa vile kwako una chumba na una kitanda cha kulalia, fikiria faida utakazo zipata kama utaamua kujifungia tuu chumbani kwako bila kutoka nje na ukitoka ni sebuleni, na ukitoka nje nikwa jirani tuu?. Chumbani ni Tanzania, kwa jirani ni Africa.

Utaratibu wa ziara za viongozi wetu uko ok kama unavyoendelea hauna tatizo lolote. Shughuli ni zimegongana na hii sio mara ya kwanza kwa shughuli kungongana, Samuel Sitta akiwa Spika amewahi kuachiwa nchi.
P
Hata Babu yangu MSEKWA Alishawahi achiwa nchi akiwa Spika
 
CinC ndo nini kiongozi?????!!!!???
Commander in Chief, hata rais akiwa hayup nchini, huu ukamanda in Chief hakasimu!, anasafiri nao popote!. Akitokea ni mgonjwa na hawezi kumudu majukumu, anayekaimishwa anaapishwa na Jaji Mkuu kuwa Kaimu Rais.
P
 
Habari za sasa wanajamii , natumai ni nzuri.

Nilikuwa na maswali kadhaa kuhusu ziara za viongozi wetu wakuu wa nchi wa tatu (Rais, Makamu wa Rais, na Waziri mkuu)

1. Je ziara za viongozi wetu hawa kwa mataifa waliyo enda kuzuru zitatamatika lini kwa kila mmoja?

2. Kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wote wakuu wa tatu wa nchi kwenda nje ya mipaka ya nchi yetu kwa wakati mmoja?

3. Kwa sasa kiongozi wa juu wa kiserikali ndani ya mipaka yetu ni nani (Cheo na jina lake)

4. Hatari ni ipi kwa nchi endapo viongozi wote watatu wa juu wa serikali wasipokuwepo ndani ya mipaka ya nchi yetu ?

5. Ni faida zipi taifa ina zipata kwa ziara za viongozi hawa watatu kwa mataifa waliyo zuru?
Wameenda huko walikokwenda kwa sababu maalum, hawakwenda kutalii ndugu wewe. Soma magazeti na uangalie walichoenda kufanya kule. Acha mambo ya uchimvi wewe.
 
hiyo hierarchy hujaiandika sawa kwa mujibu wa katiba

katiba inasema

raisi
makamu wa raisi
spika wa bunge
jaji mkuu

pm hayupo kabisa,anaangukia kwenye hilo group la anayeweza kuteuliwa na raisi kushika hiyo nafasi.

Sent from my BLA-L09 using JamiiForums mobile app


Nimegundua anatulisha sana matango Pori
 
Mkuu Sam Wellson
Naomba uweke ibara na vifungu vinavyoelezea hilo (hayo mabadiliko) uyasemayo.

Kama ukiweza pia weka na huo waraka na sisi tuupitie ili kujiongezea maarifa.

It's document against document here.

Asante
Soma iyo Mkuu
Screenshot_2022-10-05-18-12-30-637-edit_cn.wps.moffice_eng.jpg
 
Back
Top Bottom